Mnaolilia Bunge kuoneshwa moja kwa moja, hebu tajeni nchi zinazofanya hivyo

Wanabodi JF!
Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge live.
Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa live ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia.

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususan za jumuia ya madola,sikuona hata moja ambayo inaonyesha live vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.
Ila kama nyinyi mmeziona ebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
Picha unayotoa ni kuwa wewe ni wale wa kuhadithiwa kila kitu kwenye kijiwe tu na kushangilia. Ungependa pia kila mtu awe afurahie hali hiyo kama wewe na wenzio wa lumumba.
Unaogopa kuuliza, kutafakari lolote, wapo wanaotafakari kwa niaba yako. Na nyie NDIO mliyojaa hapa tz na mwaitwa wazalendo. Poleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Amini amini nawaambieni,leo hii JPM akiruhusu bunge liruke mubashara,huyu mtoa mada atakuwa wa kwanza kuja hapa kumpongeza rais kwa uamuzi wake.
 
Umemmaliza kabisa.Kuna watu tunafikiri ni wazima wanaweza login JF Ila ukweli ni kwamba wana matatizo ya akili.
Taja nchi nyingine yenye mlima Kilimanjaro, ama taja nchi nyingine inayochimba Tanzanite duniani. Kama hivyo viko Tanzania tu, unashangaa nini kama bunge live litakuwa linarushwa Tanzania tu? Unaweza ukatuambia kosa la jambo au kitu kuwa Tanzania tu? Halafu inaonekana ww ni mzee na kama ni kijana basi ni mtoto wa mganga wa Bashite.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi JF!

Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge mubashara.

Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa mubashara ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususani za jumuia ya madola, sikuona hata moja ambayo inaonesha mubashara vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.

Ila kama ninyi mmeziona hebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
Sitakueleza kwasababu wewe ni zezeta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi JF!

Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge mubashara.

Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa mubashara ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususani za jumuia ya madola, sikuona hata moja ambayo inaonesha mubashara vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.

Ila kama ninyi mmeziona hebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu ! Hebu jizuie kuleta nyuzi za hivi !! Utaishia kuoga matusi....
 
Zama hizi hazitaki kimbelembele utaumbuka ukakosa cha kuongea, maana unaweza sifia jambo baada ya muda likabadilika sijui utaendelea lisifia au utapinga....au utaendelea kusifia hilo jipya
Kama wewe unaishi maisha yako kwa kuangalia jirani yako kafanya nini then una-copy lifestyle yake una matatizo mkichwa. Bunge ni letu, Kodi za kuliendesha ni zetu. Bunge sio mali ya mtu binafsi. Kweli kwa mawazo kama yako kufikia ndoto ya maisha ya kweli ni zaidi ya karne moja ijayo. Tuendelee kuimba kidumu chama tawala
 
Wanabodi JF!

Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge mubashara.

Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa mubashara ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususani za jumuia ya madola, sikuona hata moja ambayo inaonesha mubashara vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.

Ila kama ninyi mmeziona hebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetafutia wapi, na wewe tupe source ya searching zako. Google??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi JF!

Naomba niseme wazi hapa, bila kupoteza muda wenu mwingi.

Mojawapo ya mambo yanayotamkwa sana humu JF, ni pamoja na urushaji wa vikao vya bunge mubashara.

Wanaotaka hivyo wanadai kwamba kutoonyeshwa mubashara ni ukiukwaji na uminyaji wa demokrasia

Sasa mimi nimejaribu kutafuta nchi mbalimbali hususani za jumuia ya madola, sikuona hata moja ambayo inaonesha mubashara vikao vyake vya bunge, tofauti na utaratibu unaotumika hapa kwetu kwa sasa.

Ila kama ninyi mmeziona hebu tuziweke humu ndani ili tuondowe ubishi!

Karibuni....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Maisha tunayoishi ni lazima kwanza wawe wameishi wengine? Ina maana sisi ni watu wa Ku copy tu Vya watu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada inaonekana anapenda mkumbo si kila kitu tu "paste".
Kama tulikuwa na utaratibu wetu na unaleta ukweli na uwazi shida ipo wapi? Kama Mbunge anatuwakilisha, watu wa jimbo lake tunapaswa kuna anachofanya,nilifikiri ungependekeza ata Kesi za Kisiasa/Ufisadi ziwe Live TBC maana majengo hayatoshi watu kuhudhuria kwa wingi..nadhani unatatizo la kufahamu umuhimu wa taarifa kutoka katika chanzo halisi; ikipita katika mlolongo wa watu wengine inapoteza uhalisia..
 
Back
Top Bottom