npe namba ya mdogo akoHaya mshamaliza kuzoza karibuni tanga
Daahh,si mchezo,wapi huko?!Hili la warangi ni kweli..
Kuna jamaa jirani yetu hapa kaletewa kijiji cha warangi na mkewe mpaja wengine wanakosa sehemu ya kulala.. Huwa namuonea hadi huruma
Kashaolewa tayarinpe namba ya mdogo ako
Ndio mana nkasema vitu ka hivi vikisemwa saa ingine unabaki kucheka tu.Bila shaka, Tanga raha sana. Chujio la chai chupi kama mwenyewe anavyodai.
Kama ni MKRISTO hakuna shida Mkuu.
Nasikia Singida haivumi lakini imo. Unajua wanawake wa Tanga customer care ni ya kiwango cha juu sana. Tanga ndio maji ya kuoga huungwa na hiliki, hapo mtu bado hajabebwa mgongoni, kisha akasingwa(scrubbing), na mambo kibao.Nimekuja Mtani.
Ila nadhani mleta uzi hajajua kwamba kupenda ushirikina hiyo huwa ni hulka ambayo mwanamke wa Mkoa wowote anaeza kuwa nayo.
Naunga mkono hoja ShadeeyaNa hii kusema sijui familia zina watu wengi hayo ni makubaliano ya wenyewe wanandoa kama wamekubaliana kujaza watu majumbani mwao ni wao. Utawakatazaje kwa mfano.
Kwani lait wangekuwa hawafurahii si wangekaa tu wenyewe na watoto wao.
MmhhNimepata mzigua mmoja matata, toto nyembamba, massage kwa sanaa, sura ya mzungu basi mchaga pesa zinanitoka mwenyewee.....
Acheni vitoto vya huko bhanaa
Raha jipe mwenyewe mkuu, dah nimecheka sanaNimepata mzigua mmoja matata, toto nyembamba, massage kwa sanaa, sura ya mzungu basi mchaga pesa zinanitoka mwenyewee.....
Acheni vitoto vya huko bhanaa
Hasa Wasukuma wakifika Tanga hua hawaondoki tena🤣 Ushamba wao tu Mtani. 🤣.
Swali zuri sanaUnafiki huo unaletwa na kitu gani?