Daaaah!! aiseee umeua.Anaambiwa ukwli..anajiskiaje kuongoza taifa LA watu wenye manung'uniko? au anachekelea anavoshangiliwa kila anapotokea? qcheni upuuzi..Mara paap! bendera nusu mlingoti..maombolezo ya kitaifa! ntakunywa balimi kreti zima
Daaaah!! aiseee umeua.Anaambiwa ukwli..anajiskiaje kuongoza taifa LA watu wenye manung'uniko? au anachekelea anavoshangiliwa kila anapotokea? qcheni upuuzi..Mara paap! bendera nusu mlingoti..maombolezo ya kitaifa! ntakunywa balimi kreti zima
matunda yapi? mbona Hata dalili za mti kuchipua hakuna?ninachoona ni miti kunyauka na kukauka kabisa.hakuna matunda hapo.Wewe kijana na mzee unayekaa kumsema vibaya Rais wa jamuhuri ya Tanzania ukumbuke pia mdomo wako unaosema mabaya unajenga laana yakutokula mema ya nchi.
Katika historia taifa fulani kulikuwa na njaa kali sana ila mfalme akamwambia nabii atabiri juu ya mwisho wa njaa katika taifa. Jambo la ajabu pakatokea mtu akamkejeli nabii basi yule nabii akasema utaona ila hutokula.
Kweli muda ukafika chakula kikawepo ila ajabu yule bwana akakanyagwa kwenye foleni mpaka akafa.
Tunajua hizi ndizo akili zenu wote pale Lumumba na magogoni manadhani huyo mtu wenu ndie mungu wa kuwaamulia hata mlo wenu kwa taarifa yako hata sudan ama kongo au kenya ama libya kuna watu wanakula vizuri hata kama mfalme wenu hapendi. Ndo maana mmekazana kuweka watu lokapu kwa kuwaonea gere kwakuwa wanakula vizuri kuliko ninyi!!! Hauwezi wewe wala yeyote yule kuzuia kula ya mtu kwakuwa hajakusifu! Kwani wewe mungu mtu???Wewe kijana na mzee unayekaa kumsema vibaya Rais wa jamuhuri ya Tanzania ukumbuke pia mdomo wako unaosema mabaya unajenga laana yakutokula mema ya nchi.
Katika historia taifa fulani kulikuwa na njaa kali sana ila mfalme akamwambia nabii atabiri juu ya mwisho wa njaa katika taifa. Jambo la ajabu pakatokea mtu akamkejeli nabii basi yule nabii akasema utaona ila hutokula.
Kweli muda ukafika chakula kikawepo ila ajabu yule bwana akakanyagwa kwenye foleni mpaka akafa.
Tuonyeshe huyo Nabii ambae raisi anaukubali unabii au ushauri wake !!?? Ili tujue uende tukanyamaza au tuendelea kusema ,vinginevyo nyamaza ya Mungu tumwachie Mungu na kaisari apewe vidonge vyake kaisari ,Wewe kijana na mzee unayekaa kumsema vibaya Rais wa jamuhuri ya Tanzania ukumbuke pia mdomo wako unaosema mabaya unajenga laana yakutokula mema ya nchi.
Katika historia taifa fulani kulikuwa na njaa kali sana ila mfalme akamwambia nabii atabiri juu ya mwisho wa njaa katika taifa. Jambo la ajabu pakatokea mtu akamkejeli nabii basi yule nabii akasema utaona ila hutokula.
Kweli muda ukafika chakula kikawepo ila ajabu yule bwana akakanyagwa kwenye foleni mpaka akafa.
Huu mfano wako wala hauendani kabisa na hali iliyopo hapa Tz. Taifa unalotolea mfano ni Israel ambalo lilikuwa limezingirwa na jeshi la Waashami kila kona. Kulikuwa hakuna kuingia wala kutoka, ndiyo sababu ya njaa iliyokuwepo. Hapa Tz hakuna vita wala njaa. Nabii Elisha ndiye aliyetabiri hayo uliyoandika, sasa sijui nabii wetu hapa Tz ni yupi huyo na atatabiri kitu gani wakati hali yetu haifanani kabisa na ile iliyokuwepo Israel?Wewe kijana na mzee unayekaa kumsema vibaya Rais wa jamuhuri ya Tanzania ukumbuke pia mdomo wako unaosema mabaya unajenga laana yakutokula mema ya nchi.
Katika historia taifa fulani kulikuwa na njaa kali sana ila mfalme akamwambia nabii atabiri juu ya mwisho wa njaa katika taifa. Jambo la ajabu pakatokea mtu akamkejeli nabii basi yule nabii akasema utaona ila hutokula.
Kweli muda ukafika chakula kikawepo ila ajabu yule bwana akakanyagwa kwenye foleni mpaka akafa.
Shida ni wewe ndio mwenye njaa kali,tunaishi kwa mitaji yetu hatumtegemei yeye....wewe endelea kulala sebuleni kwa shemeji umsaidie dada kuosha vyomboWewe kijana na mzee unayekaa kumsema vibaya Rais wa jamuhuri ya Tanzania ukumbuke pia mdomo wako unaosema mabaya unajenga laana yakutokula mema ya nchi.
Katika historia taifa fulani kulikuwa na njaa kali sana ila mfalme akamwambia nabii atabiri juu ya mwisho wa njaa katika taifa. Jambo la ajabu pakatokea mtu akamkejeli nabii basi yule nabii akasema utaona ila hutokula.
Kweli muda ukafika chakula kikawepo ila ajabu yule bwana akakanyagwa kwenye foleni mpaka akafa.