Mnaokataa Chato isiwe mkoa, kuna swali moja kwenu

Shule zetu hizi nazo ni majnga matupu; we jamaa si una degree ya SAUT? So kama kuna kosa tumewahi kulifanya then tuendelee kulifanya kwasababu huko nyuma tuliwahi kukosea!
Kusoma Kwangu SAUT na Kuleta hapa walichokihoji wakazi wa Chato vina 'Logical Connection' ipi? Pumbavu.,...!!
 
Two wrongs,do not make it light,

S
ongwe, haikutakiwa kuwa mkoa, ingebaki Mbeya tu, Katavi ingefutwa, Manyara ingefutwa, Pwani Ingefutwa, Dar ingebaki na wilaya zake tatu tu, Ubungo, Kigamboni zingefutwa,

Hizi hoja kwamba unasogeza huduma kwa wananchi? Kwani umbali unaongezeka? Lazima tuwe na kikomo Cha idadi ya mikoa, wilaya, kata, bila hivyo kwa miaka 100 ijayo,tutakuwa na mikoa 70!
pwani unaijua?
 
Two wrongs,do not make it light,

Songwe, haikutakiwa kuwa mkoa, ingebaki Mbeya tu, Katavi ingefutwa, Manyara ingefutwa, Pwani Ingefutwa, Dar ingebaki na wilaya zake tatu tu, Ubungo, Kigamboni zingefutwa,

Hizi hoja kwamba unasogeza huduma kwa wananchi? Kwani umbali unaongezeka? Lazima tuwe na kikomo Cha idadi ya mikoa, wilaya, kata, bila hivyo kwa miaka 100 ijayo,tutakuwa na mikoa 70!
Harafu ikiwepo mikoa 100, wewe unapata hasara gani mdanganyika?
 
Umemsikiliza mnazi wa Chato akiongea BBC Swahili kupambania mkoa na wewe umebeba vilevile alivyosema na kutengeneza 'hoja' pasipo kufanya utafiti huku bando unalo.

Mkoa wa Katavi una Ukubwa wa kilometa za mraba 45,843 huku Mkoa wa Geita ambao unapendekezwa kumegwa ili Chato iwe mkoa una ukubwa wa kilometa za mraba 20,054. Sasa hapo tu hiyo kijiografia uliyoizungumza inakataa, mkoa wa Katavi ni mkubwa kuliko Geita, Geita ikikatwa hata nusu basi Chato itakuwa na ukubwa wa kilometa za mraba elfu 10.
Prof. Tibaijuka aliwapa pendekezo badilisheni jina la mkoa wa Geita uitwe Chato na makao makuu ya mkoa yawe Chato itakuwa poa kuliko kung'ang'aniza kupata mkoa mpya.

Mimi mpaka leo sioni faida wala hasara ya kuwa na mkoa wa Chato. Sana sana ni watu kupeana ulaji. Hata wasipopeana kupitia mkoa wa Chato watatafuta njia nyingine! Kama tungekuwa na KATIBA inayoheshimika tungeweza kulijadili hili kwa vigezo...mwisho wa siku atakayeamua ni mama na wanasiasa wenzake. Wengi hata tungekuwa na hoja za msingi tunaonekana tuna chuki kwa Hayati!
 
Two wrongs,do not make it light,

Songwe, haikutakiwa kuwa mkoa, ingebaki Mbeya tu, Katavi ingefutwa, Manyara ingefutwa, Pwani Ingefutwa, Dar ingebaki na wilaya zake tatu tu, Ubungo, Kigamboni zingefutwa,

Hizi hoja kwamba unasogeza huduma kwa wananchi? Kwani umbali unaongezeka? Lazima tuwe na kikomo Cha idadi ya mikoa, wilaya, kata, bila hivyo kwa miaka 100 ijayo,tutakuwa na mikoa 70!


Ili mkoa uwe mkoa inahitajika nini??

Vigezo ni vipi??
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom