kila mara wanafiki utawasikia tunatoa tamko na kulaani kamati kuu ya cdm.kama mmeshaona cdm hakuna demkorasia si nendeni vyama vingine kama kafulila alivyofanya.kuna madiwan cdm mz matata na chagulani walivuliwa uanachama wakaenda mahakamani kuzuia.lakini unasikia wanalalamika cdm hakuna demokrasia.achani kutumika