Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,591
- 4,635
kumbe haya mambo yapo hv!
kwannWe umejiloga mwenyewe
Hujapata shida ya pesa wewe unatuzingua tuUnajua watu wengi hawafahamu kuwa wachawi wapo mjini mfano angalia nyumba nyingi ukianza kujenga ikafikia sehemu ya finishing ukaweka mmasai mlinzi au mmakonde na wengine ujue nyumba hiyo huwezi kuimalizia itakaa hivyo hivyo mda mrefu utakuwa umeisahau kabisa..
Nenda kwa Mwamposa case closedUnajua watu wengi hawafahamu kuwa wachawi wapo mjini mfano angalia nyumba nyingi ukianza kujenga ikafikia sehemu ya finishing ukaweka mmasai mlinzi au mmakonde na wengine ujue nyumba hiyo huwezi kuimalizia itakaa hivyo hivyo mda mrefu utakuwa umeisahau kabisa...
Kama jina lako lilivyo huwezi kuelewaAtakua na nyumba nyingi huyo jamaa.
Masikini/choka mbovu mwenye kuishi kwny ka-banda ka-mbwa ka kupanga huko uswazi hawezi kusahau nyumba yake anayoijenga kamwe.
Hayajakukuta mkuu. Iko siku.Kuamini kwenye nguvu za giza lazima kwanza nawe uwe Mshirikina.
Pili kuamini kwamba binaadamu mwenzako mnayefanana kwa kila kitu kwamba ana uwezo wa kuhusika na hisia au nafsi yako ni kumtukuza kulikopitiliza...
Alierogwa hajitambui wewe unakuja jf kuleta stori humu!Unajua watu wengi hawafahamu kuwa wachawi wapo mjini mfano angalia nyumba nyingi ukianza kujenga ikafikia sehemu ya finishing ukaweka mmasai mlinzi au mmakonde na wengine ujue nyumba hiyo huwezi kuimalizia itakaa hivyo hivyo mda mrefu utakuwa umeisahau kabisa...
Mh sasa si ukubali tu kupangisha, hujalogwa wala nini ni wewe mwenyewe bwana. Halafu unashida kama hivyo yaanUnajua watu wengi hawafahamu kuwa wachawi wapo mjini mfano angalia nyumba nyingi ukianza kujenga ikafikia sehemu ya finishing ukaweka mmasai mlinzi au mmakonde na wengine ujue nyumba hiyo huwezi kuimalizia itakaa hivyo hivyo mda mrefu utakuwa umeisahau kabisa.
Mfano mimi nina nyumba buguruni barabara kubwa nina fremu 4 za maduka zipo tupu niliwahi kumpangisha mdada mmoja fremu mmoja. Na zingine nikawa sijapangisha kwa sababu nilikuwa naishi nje ya nchi ila kila 3 month nakuja tz huyu mdada alipanga kwa miaka 4 lakini ajabu kila watu wakija kutaka fremu nilikuwa nakataa kupangisha moyo hautaki kabisa mdada huyu akapata fremu nyumba ya jirani akahama lakini mpaka leo sijapangisha zaidi ya miaka 10 fremu zote 4 na watu wananiijia kunibembeleza kupanga moyo unakataa mtaa wangu huu umechangamka sana maduka majirani wananishangaa sana kwa nini sipangishi na mpaka sasa nina shida ya pesa kulipa school fees ya mwanangu form 5.
Napata tabu kupata pesa na fremu ninazo na watu wanataka kupanga kila fremu laki 250 lakini nakataa naomba mniombee kila anaesoma.maana kazi niliacha mda mrefu sana baada ya kuumia na umri pia.mimi najijua kuwa huyo mdada kanifanyia maana kila akiniona anatabasamu nakuniuliza hujapangisha tu au nirudi mimi
Vijana masuala ya Ujenzi ukikosea step kamwe hiyo nyumba hutokuja kuimaliza na ukifanikiwa kuimaliza kamwe unaweza usilale pia.
Shika neno sana, shirikisha watu wazima sana hutooona shida.
Pona pona yako ujenge nyumba iishe mwanzo mwisho, lakn nyumba umejenga boma umepiga na bati ukaiacha???? Hapo umechuma janga.
Vijana masuala ya Ujenzi ukikosea step kamwe hiyo nyumba hutokuja kuimaliza na ukifanikiwa kuimaliza kamwe unaweza usilale pia.
Shika neno sana, shirikisha watu wazima sana hutooona shida.
Pona pona yako ujenge nyumba iishe mwanzo mwisho, lakn nyumba umejenga boma umepiga na bati ukaiacha???? Hapo umechuma janga.