Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Ni "kipapai " , ana bahati angekufa katika mazingara ya kutatanisha. Hayo mambo yapo.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Huko Mimi nimeishi kidogo Ila sikutaki Tena, Kuna Mambo Sana huko
dah ni hatari mkuu,mkuu mjingamimi wewe ni mtu wa pwani mkuu?Bagamoyo mwisho.
Kila dalali ana mganga wake..
Unaweza ukauziwa makaburi na ukatoa hela
dah ni hatari mkuu,mkuu mjingamimi wewe ni mtu wa pwani mkuu?
Hiyo kitu mkuu,waafrika sio watu wazuriYaani usahau kuwa una nyumba?
Nipe kazi ya kupangisha halaf nitakuwa nakuletea pango ili tupate hrla kama wewe unaogopaUnajua watu wengi hawafahamu kuwa wachawi wapo mjini mfano angalia nyumba nyingi ukianza kujenga ikafikia sehemu ya finishing ukaweka mmasai mlinzi au mmakonde na wengine ujue nyumba hiyo huwezi kuimalizia itakaa hivyo hivyo mda mrefu utakuwa umeisahau kabisa...
Kuna bro wangu ingawa scenario yake ni tofauti kidogo yeye yupo nje alijenga nyumba yake Makongo halafu akaweka mlinzi kwa miaka kadhaa amlindie yule mlinzi baadaye bro alipotaka kuweka mpangaji jamaa akagoma akidai nyumba ni yake hawezi kutoka au alipwe ilikuwa issue nenda mpk mahakamani huko ndiyo kushindwa akatolewa