Jesusfreak08
JF-Expert Member
- Jul 20, 2019
- 823
- 1,797
Kweli kabisa !!Wapuuzi tu wale hawana lolote.
Kweli kabisa !!Wapuuzi tu wale hawana lolote.
Hii itakua chai mkuu Yani unajijua kabisa Kama unakataaUnajua watu wengi hawafahamu kuwa wachawi wapo mjini mfano angalia nyumba nyingi ukianza kujenga ikafikia sehemu ya finishing ukaweka mmasai mlinzi au mmakonde na wengine ujue nyumba hiyo huwezi kuimalizia itakaa hivyo hivyo mda mrefu utakuwa umeisahau kabisa...
Mimi na jamaa yangu tulisahaulishwa mashamba yetu Bagamoyo toka mwaka 2014 mpaka leo hatujawahi kurudi hata sikumbuki ni eneo gani. Watu wako vizuri sana huenda hata walishayauza kwa wengine.Ila baada tu ya kumuweka huyo jamaa kama mlinzi ALISAHAU kabisa kuhusu ile nyumba na hakuwahi kukumbuka kama ana ile nyumba mpaka alipobahatika kwenda kuombewa huko kwenye makanisa ya walokole (though alienda kwa shida nyngne)
Dunia ina mambo mengi sana, TUWENI MAKINI JAMANI
Mkuu usipende kubisha jambo ambalo hujawahi kukutana nalo ktk maisha ya duniani. Pengine mtoa post ameshindwa kueleza vizuri tukio lilivyo Lakini ni kweli baadhi ya watu wanaokabidhiwa nyumba kulinda sio watu wazuri. Zipo nyumba nyingi hadi leo zinamilikiwa na walinzi wa kimakonde na wenye nyumba zile hawajulikani walipo. Na wao kujimilikisha kama ni zao.Atakua na nyumba nyingi huyo jamaa.
Masikini/choka mbovu mwenye kuishi kwny ka-banda ka-mbwa ka kupanga huko uswazi hawezi kusahau nyumba yake anayoijenga kamwe.
Yani una akili ya kujua fremu iko wazi na wateja wapo halafu unasema umelogwa. Labda kama una wadudu unawafuga huko kwenye hizo fremu.Unajua watu wengi hawafahamu kuwa wachawi wapo mjini mfano angalia nyumba nyingi ukianza kujenga ikafikia sehemu ya finishing ukaweka mmasai mlinzi au mmakonde na wengine ujue nyumba hiyo huwezi kuimalizia itakaa hivyo hivyo mda mrefu utakuwa umeisahau kabisa...
Hapo umakini wa kibinadamu hautasaidia lolote. Yesu hakuja duniani kuzurura.Alikuja akijua fika tunamuhitaji sana,hasa kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wetu wa kibinadamu kama haya.Wasalaam,
Naomba tu kutoa wito kwa wale wenzangu na mimi tunaojidunduliza ili kujenga nyumba za kuishi na familia zetu kuwa MAKINI sana na WATU tunaowaweka wawe walinzi wa nyumba zetu..
Hamia mwenyeweAiaeee. Nimeghairi kumweka mtu anilindie nyumba yangu. Waswahili ni watu wabaya sana
Wamakonde ni noma eeh?Haya matukio yapo sana, ogopa kumuweka Mmakonde kama mlinzi wako ogopa sana.
Huko Mimi nimeishi kidogo Ila sikutaki Tena, Kuna Mambo Sana hukoWaswahili wanasema" KAPIGWA KIATU".huku Bagamoyo unanunua kiwanja lakini hata hamu ya kwenda kwenye kiwanja chako hunaa mwisho wa siku unakisahau anauziwa mwingine.jamani uchawi upo
Tena mkuu umenizinduwa usingizuni, wacha nijiandae nielekee Kibaha...
nimecheka saaana. Nimekumbuka enzi hizo kuna mwenye nyumba aliipangisha nyumba yake yote kwa familia fulani. Ila baada ya kupita kipindi fulani na kodi ya mpangaji kuisha, mpangaji akawa halipi kodi.Wasalaam,
Naomba tu kutoa wito kwa wale wenzangu na mimi tunaojidunduliza ili kujenga nyumba za kuishi na familia zetu kuwa MAKINI sana na WATU tunaowaweka wawe walinzi wa nyumba zetu....