FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,045
- 40,705
Unakuta mwishowe tunaanza kugombania parking bila sababu, huku mziki juu na huku mziki juu, mwishowe wote tunakosa, maana yake nini hii, why?
Kwani maeneo ya kwenda kupigia watu kelele na hiyo kwaya yenu yameisha? Aaagh!
Kwani maeneo ya kwenda kupigia watu kelele na hiyo kwaya yenu yameisha? Aaagh!