MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Na wengine kila Maamuzi ya Awamu ya 5 yalipokuwa yakifanywa mkialikwa Ikulu mkipewa muda wa Kuzungumza na Hadhira mlikuwa mkiyaafiki tena na mpaka Kupongeza leo mpo katika Awamu yenu hii ya 6 mmeyabadili bila hata Aibu ya Unafiki uliowajaa kutoka Bara mpaka Visiwani.
Kwangu Mimi KEROZENE Mchawi ni bora ( nafuu ) kiliko Mnafiki ambaye kuna Mtaalam Mmoja wa Saikolojia aliniambia Mnafiki hayuko mbali sana na kuwa na tabia au Uwezo hata wa Kukuua huku akikuchekea au akikuonyesha Tabasamu lenye Kukurembulia Macho kama kala Kungu au Whisky za Kiitaliano.
Wanafiki wakubwa Mungu awalaani tu!!
Kwangu Mimi KEROZENE Mchawi ni bora ( nafuu ) kiliko Mnafiki ambaye kuna Mtaalam Mmoja wa Saikolojia aliniambia Mnafiki hayuko mbali sana na kuwa na tabia au Uwezo hata wa Kukuua huku akikuchekea au akikuonyesha Tabasamu lenye Kukurembulia Macho kama kala Kungu au Whisky za Kiitaliano.
Wanafiki wakubwa Mungu awalaani tu!!