Ana-frustration zinazotokana na uongozi mbovu wa CCM.Kwahiyo ulitaka kutuambia ulikuwa unaishi Kigogo Luhanga au ulitaka kutuambia tulipuke na sisi?
Kajinga sana na Uzi wake wa Kihehe.Ana-frustration zinazotokana na uongozi mbovu wa CCM.
Hebu kaa utulie uweke kumbukumbu zako sawa pamoja na matukio yaliyotokea tank hilo la gesi lilipolipuka alafu uandike uzi upya kwa mtiririko mzuriWakazi WA dar WA Kitambo hiko mnakumbuka tank la gesi la songas pâle ubungo lilipolipuka Enzi hizo nipo primary(kabla ya 2004) nilikua naishi kigogo luhanga kwenye magheto toka mkoloni
KabisaKajinga sana na Uzi wake wa Kihehe.
Mkuu Hata Ufa kwenye ubongo ni jambo la kawaida kwa wenye vichwa vikubwa huyo ana Stress zake.Hebu kaa utulie uweke kumbukumbu zako sawa pamoja na matukio yaliyotokea tank hilo la gesi lilipolipuka alafu uandike uzi upya kwa mtiririko mzuri
Tank halikulipuka, Ila lilikuwa likivuja. Kilichokuwa kikiwaka ni ule mtiririko uliokuwa ukivuja kutoka kwenye tankWakazi WA dar WA Kitambo hiko mnakumbuka tank la gesi la songas pâle ubungo lilipolipuka Enzi hizo nipo primary(kabla ya 2004) nilikua naishi kigogo luhanga kwenye magheto toka mkoloni
We kinabo tuache wahehe na balaa la mtu asiyejulikanaKajinga sana na Uzi wake wa Kihehe.
Sijajua hilo Neno Kinabo lina maana gani!We kinabo tuache wahehe na balaa la mtu asiyejulikana
Wakazi WA dar WA Kitambo hiko mnakumbuka tank la gesi la songas pâle ubungo lilipolipuka Enzi hizo nipo primary(kabla ya 2004) nilikua naishi kigogo luhanga kwenye magheto toka mkoloni
Maana yake mfalmeSijajua hilo Neno Kinabo lina maana gani!
Olundi Sawa MkuuMaana yake mfalme
Kumbe ilikuwa zahma kubwa?Wakati huo IGP alikuwa Mahita
RPC wa Dsm alikuwa Tibaigana
Waziri wa Nishati akiwa Daniel Yona
Kijana toka TPA ndo alinusuru Jiji letu kwa kujitosa kwny moto kuziba leakage
Toka tpa au fire?Wakati huo IGP alikuwa Mahita
RPC wa Dsm alikuwa Tibaigana
Waziri wa Nishati akiwa Daniel Yona
Kijana toka TPA ndo alinusuru Jiji letu kwa kujitosa kwny moto kuziba leakage
Kumbe ilikuwa zahma kubwa?
Toka tpa au fire?