Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,511
- 10,417
Wakati anaanzisha hii huduma kuna watu walikaa zaidi ya mwaka bila kulipia na channel zote wanaangalia (mwezi mmoja ofa ndio ilizaa haya) shida ilikuwa ukipata tatizo ukawapigia simu channel zinakata mazima mpaka ulipie