Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kwa mujibu wa ibara ya 190 ya rasimu ya Katiba ya JMT iliyoundwa na tume ya Jaji warioba ni kuwa kutakuwa na tume huru.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je, hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.
Mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe saba wa tume watakuwa wanateuliwa na rais. Kama mwenyekiti akitoka bara,makamu atatoka Zanzibar vivyo hivyo makamu akitoka Zanzibar mwenyekiti atatoka bara.
Pia ibara ya 191 imeanisha kuwa kutakuwa na kamati ya uteuzi. Ambayo itachambua majina ya waliomba kisha kumpelekea rais na yeye atateua jina walilopitisha. Na kisha jina kurudishwa bungeni na kisha kuthibitishwa na bunge.
Je, hao wajumbe wa kamati ya uteuzi mnajua wanapatikana vipi? Hata kama nafasi za Ujaji zitakuwa ni za kuomba kisha kuteuliwa na rais mnajua watakuwa na mamlaka gani? Hawatakuwa na nasaba za kisiasa?
Hao wataoomba nafasi za kuingia tume huru ya uchaguzi mtakuwa na uhakika hawana nasaba za kisiasa?
My take; Kama mnataka kuingia madarakani ni bora mkajenga imani kwa wananchi kuwa nyie ni wanansiasa mnaofaa kwa kila namna. Maana hata ikipatikana hiyo mnayoita tume huru mtapigwa tu.