Kipeperushi
Senior Member
- Aug 17, 2011
- 167
- 33
Kuna thread moja nimeiona jamvini kama siku mbili tatu zilizopita (bahati mbaya sikumbuki ilirushwa na nani..., naomba mnisamehe kwa hili). Kifupi mrushaji wa thread hiyo (nahisi alikuwa ni m-beijing) alitaka kujua toka kwetu "wahusika" kama alivyotuita, kwamba tunataka wake zetu wawe na sifa zipi ili at least mtu unapotoka mbele ya "wahusika" wenzako unaweza kujisifia kwamba 'yes..!' mimi nina mwanamke haswaaa...! Jamani "wahusika" wenzangu nashuru sana mlimpa m-beijing huyu kitu ambacho nahisi kitamsaidia kumfanya "mhusika" mwenzetu ajisifie kuhusu mwanaJF huyu. Labda pamoja na majibu mazuri toka kwa "wahusika" wenzangu, naomba niwaulize wa-beijing humu jamvini; hivi mnajua kwamba mara nyingi vipodozi mnavyotumia huwa vinapunguza utamu au ladha ya 'mzigo' huo hapo bondeni? Kwa mujibu wa upekuzi niliowahi kuufanya nimegundua kwamba 'nyama ya kuku wa kienyeji' huwa ni tamu jamani..! Mimi mchango wangu kwa m-beijing huyu ni kwamba moja ya qualification ya my wife ni kwamba awe ni 'kuku wa kienyeji bana..! Hata Mamuu ni wa hivi hivi; tatizo lake ni hili la kutekenyeka saana wakati nachezea au kunyonya chuchu zake tu. Punguzeni uzuri wa dukani jamani mnogeshe mambo pale kwa six by six...! Samahani jamani ni ushauri wa bure tu, sio lazima sana, kama unapendelea yale 'mananihii' ya kichina sawa, lakini kaa ukijua habari ndio hii...! Karibuni.