Mnaishije na mabosi wenu jamani???

Leornado

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
1,529
196
Mwenzenu nimekumbwa na masahibu ambayo najua wengi pia wamepitia sema tunatofautiana uvumilivu na kuhandle stress.

Napiga mzigo kwenye kampuni binafsi bosi mpya wa sasa nae pia mwajiriwa kama sie wengine.Mwanzoni alikuwa mtu wa kawaida kama sisi ila baada ya wakubwa watatu wa juu kuacha kazi, akapandishwa cheo. Ghafla katubadilikia, ni mateso bila chuki na mie sio mvumilivu wa manyanyaso, sema pakwenda sina kozi nina watoto nasomesha na sijapata kwingine.

Naomba msaada wa mawazo, hapa naandika kutoka ofisini, manake jana jioni tumepandishiana kidogo. Yeye anaelewana sana na mkurugnzi nahisi ndio kinachomfanya atunyanyase wenzie. Plz i need ur help kimawazo na how to handle him li isiniafec manake saa nyingine nahisi kuondoka nimwachie ofisi.
 
ukiwa kazini jaribu kufanya lile lililo kupeleka pale atakuwa hana sababu ya kukunyanyasa na hayo ni mambo ya kawaida sana kwa mabosi wa kibongo,
 
Kwani problem yake ni nini hasa? Labda kama utaeleza kwa kirefu anafanya nini katika kukunyanyasa ndio tunaweza kujua na kukushauri vizuri.
 
mmmmh kaka jipange kwakweli,mtumikie kafiri............,hawa maboss wanasahau walipotoka,na hawajui waendako,kuwa mvumilivu maana unakitu unapata hapo kama una njia nyengine ni vzr kufanya kama unauwezo wa kuanzisha cmy yako ni vzr zaidi ilia usije n ww kuwafanyia wafanyakazi wako mabaya.Mfano jana niko katikati ya kipindi boss ananipigia simu kwann niwewahi kutoka job,whilenilishaomba ruhusa mapema sana,kwakweli nilikwazika mno hata hamu ya kusoma iliisha,nikatafakari na kuchukua hatua kwamba nimeshatoa ada yangu nyingi,najua nachokitaka ktk maisha yangu,alivyokata cm niakendelea kusoma vzr kabisa,leo nimeingia job nikaenda ofisin kwake ukijishusha hupungukiwi na kitu,nikaomba msamaha na kumpa ratiba yangu,kama binadam alitegemea vingine,so maisha ni kuvumilia na kuwa na malengo,ww fanya kazi zako kwa moyo maana ndipo wanaoo na nduguzo wanapata choo,mpotezee tu sijushe tu.
 
Matatizo yake ni mengi sema kinachotukera ni tabia ya kutusemea mbovu kwa bosi na akija ofisini kwetu anatusifia wakati taarifa kutoka kwa bosi ni tofauti. Pia jamaa tulikuw nae ofc moja tunapiga mzigo, sasa iweje kila report na kazi atakayopelekewa anaikashifu na kusema rudia hata mara tano na kama hatuwezi ana watu wake anaowafahamu wngeweza kufnya vizuri zaidi. Kama hiyo haitoshi, hatushirikishi kwenye jambo lolote linlohusu miradi ya dept. yetu, yeye ni kucommand na final say hataki discussion wala maswali. Vikao anaongoza kinguvu nguvu, wkati mwingine ajenda hatuzielewi lakini hatoi ufaanuzi wowote. Tunahisi ana inferiority complex manake katuzidi saana kiumri labda anahofia vijana tutamshinda kimawazo hivyo kupoteza nafasi, yaani hatumuelewi.

AU SIE NDO HATUMUELEWI??
 
mmmmh kaka jipange kwakweli,mtumikie kafiri............,hawa maboss wanasahau walipotoka,na hawajui waendako,kuwa mvumilivu maana unakitu unapata hapo kama una njia nyengine ni vzr kufanya kama unauwezo wa kuanzisha cmy yako ni vzr zaidi ilia usije n ww kuwafanyia wafanyakazi wako mabaya.Mfano jana niko katikati ya kipindi boss ananipigia simu kwann niwewahi kutoka job,whilenilishaomba ruhusa mapema sana,kwakweli nilikwazika mno hata hamu ya kusoma iliisha,nikatafakari na kuchukua hatua kwamba nimeshatoa ada yangu nyingi,najua nachokitaka ktk maisha yangu,alivyokata cm niakendelea kusoma vzr kabisa,leo nimeingia job nikaenda ofisin kwake ukijishusha hupungukiwi na kitu,nikaomba msamaha na kumpa ratiba yangu,kama binadam alitegemea vingine,so maisha ni kuvumilia na kuwa na malengo,ww fanya kazi zako kwa moyo maana ndipo wanaoo na nduguzo wanapata choo,mpotezee tu sijushe tu.

Sasa huyu wa kwetu hamna sababu anaiamini, nakumbuka kuna siku ya ijumaa nilikuwa mgonjwa kweli. Nikampigia simu kumjulisha...akacheka kwa dharau na kusema Ijumaa kila mtu mgomjwa...nifanye fasta nije ofcn ana ishu muhimu kumbe uongo. Sikwenda na jumatatu hakuniuliza wala kuniambia jambo la muhimu alilokuw nalo...yaani
 
Wazo la kuondoka umwachie ofisi si sahihi. Mazingira ya kazi espcly za kibongo yanahitaji uvumilivu. Timiza wajibu wako ipasavyo, usimwonyeshe hasira wala chuki ya aina yoyote atachoka mwenyewe.

Kuna kijana hapa ofisini nae alikuwa anaudhika sana na vijimambo vya ovyo vya boss wetu... Mwishowe akaamua kuacha kazi. Kabla nilimsihi sana akashikilia msimamo wake na kuamua kuandika barua ya kuacha kazi akitegemea labda boss atamwambia kwa nini ama njoo tuzungumze.

Boss hakumwambia chochote kijana akaacha kazi.... Mpaka leo yuko mtaani anahangaika kutafuta kazi na ni legal officer mzuri sana. So my friend maisha ni kuvumilia sio sehemu ya kazi tu hata katika mambo mengine maishani... Ok?
 
Nachokuomba wewe ignore...mambo hivyo vibweka vyake...... Visikuumize usi-mind wala nini.........wewe chapa mzigo. Itabidi uwe jasiri na mvumilivu. Kuna methali isemayo "mvumilivu hula mbivu" ....kibaya zaidi hapo kama anakupiga......lakini maneno tu hayavunji mfupa!!!!!!!
 
Wazo la kuondoka umwachie ofisi si sahihi. Mazingira ya kazi espcly za kibongo yanahitaji uvumilivu. Timiza wajibu wako ipasavyo, usimwonyeshe hasira wala chuki ya aina yoyote atachoka mwenyewe.

Kuna kijana hapa ofisini nae alikuwa anaudhika sana na vijimambo vya ovyo vya boss wetu... Mwishowe akaamua kuacha kazi. Kabla nilimsihi sana akashikilia msimamo wake na kuamua kuandika barua ya kuacha kazi akitegemea labda boss atamwambia kwa nini ama njoo tuzungumze.

Boss hakumwambia chochote kijana akaacha kazi.... Mpaka leo yuko mtaani anahangaika kutafuta kazi na ni legal officer mzuri sana. So my friend maisha ni kuvumilia sio sehemu ya kazi tu hata katika mambo mengine maishani... Ok?

Nashukuru saana ndugu yangu kwa ushauri wako mzuri, naona mie kidogo kauvumilivu ninako ila saa nyingine unakuwa kama mtumwa. Jamaa mwenyewe anatoka nchi jirani.
Plz unaweza kunipa tips labda, jinsi gani ya kumuignore kibongo bongo, manake nimegoogle naona vingi haviapply hapa kwetu TZ.
 
Matatizo yake ni mengi sema kinachotukera ni tabia ya kutusemea mbovu kwa bosi na akija ofisini kwetu anatusifia wakati taarifa kutoka kwa bosi ni tofauti. Pia jamaa tulikuw nae ofc moja tunapiga mzigo, sasa iweje kila report na kazi atakayopelekewa anaikashifu na kusema rudia hata mara tano na kama hatuwezi ana watu wake anaowafahamu wngeweza kufnya vizuri zaidi. Kama hiyo haitoshi, hatushirikishi kwenye jambo lolote linlohusu miradi ya dept. yetu, yeye ni kucommand na final say hataki discussion wala maswali. Vikao anaongoza kinguvu nguvu, wkati mwingine ajenda hatuzielewi lakini hatoi ufaanuzi wowote. Tunahisi ana inferiority complex manake katuzidi saana kiumri labda anahofia vijana tutamshinda kimawazo hivyo kupoteza nafasi, yaani hatumuelewi.

AU SIE NDO HATUMUELEWI??

Matatizo ya wafanyakazi wa sekta ya umma, mnataka mjue kila kitu. Sekta binafsi wajibu wako ni kufanya kazi uliyoajiriwa nayo na wajibu wa mwajiri ni kukulipa kile mlichokubaliana kwenye barua yako ya ajiri. Sasa kama unapenda na vikao vya baada ya kazi, mabosi hawafanani, kuna wanaopenda kupita sehemu hizo na wengine baada ya saa za kazi wanawajibika zaidi kwa familia zao.

Pole lakini soma barua yako ya ajira kama kuna chochote alichokufanyia bosi nje ya makubaliano ya ajira yako.
 
Pole sana ndo mambo ya office hayo jitahidi sana kutekereza yale atakayo kufuatana na misingi na taratibu za kazi kunyanyaswa hakuna anayependa nadhani kwa sababu mlikuwa shimoni wote na yeye sasa hivi anataka kujionyesha kuwa hamko level moja tena so sidhani kama ukishamjua mbwa utapata shida ila ukiona anakuzingua sana na umeshindwa uvumilivu fanya hivi kama wote ni wa jinsia moja msubiri akiingia toilet toa kichapo cha nguvu sana kwake kisha mwambie asikuzoeee ki****ngex2
Nimekwambia toilet kwa sababu huko mara nyingi mtendewa kituko mara nyingi huwa hasemi na ushahidi wake huwa unakuwa mgumu na wa utata kidogo Just try its a risk free..
 
Matatizo ya wafanyakazi wa sekta ya umma, mnataka mjue kila kitu. Sekta binafsi wajibu wako ni kufanya kazi uliyoajiriwa nayo na wajibu wa mwajiri ni kukulipa kile mlichokubaliana kwenye barua yako ya ajiri. Sasa kama unapenda na vikao vya baada ya kazi, mabosi hawafanani, kuna wanaopenda kupita sehemu hizo na wengine baada ya saa za kazi wanawajibika zaidi kwa familia zao.

Pole lakini soma barua yako ya ajira kama kuna chochote alichokufanyia bosi nje ya makubaliano ya ajira yako.

Tatizo kutaka kujua kila kitu, ila ulikuwa ni utaratibu wa kupeana feedback ya yaliojiri na yeye huo utaratibu anajua. Akiulizwa anatoa neno moja tu, FINISHED. Ngoja nijaribu uvumilivu na kukaa mbali nae labda itasaidia. Jamaa hata lunch hatoki tena na sisi.
 
Tatizo kutaka kujua kila kitu, ila ulikuwa ni utaratibu wa kupeana feedback ya yaliojiri na yeye huo utaratibu anajua. Akiulizwa anatoa neno moja tu, FINISHED. Ngoja nijaribu uvumilivu na kukaa mbali nae labda itasaidia. Jamaa hata lunch hatoki tena na sisi.

Kwenye barua yako ya ajira umeambiwa utakuwa unapewa feedback? Utaratibu mdogo ndiye anatakiwa atoe "feedback" kwa bosi wake na siyo bosi ampe wa chini yake "feedback"
 
Kwenye barua yako ya ajira umeambiwa utakuwa unapewa feedback? Utaratibu mdogo ndiye anatakiwa atoe "feedback" kwa bosi wake na siyo bosi ampe wa chini yake "feedback"

U r ryt ndugu yangu, bt ithot in a gud superior-subordinate relationship the flow of communication/ feedback is in both ways na sio kupanda juu tu from Subordinates???

Barua ya kazi inahimiza team work na sio individualism. Basi tu nahesabu ni mkosi kuwork na jamaa.
 
U r ryt ndugu yangu, bt ithot in a gud superior-subordinate relationship the flow of communication/ feedback is in both ways na sio kupanda juu tu from Subordinates???

Barua ya kazi inahimiza team work na sio individualism. Basi tu nahesabu ni mkosi kuwork na jamaa.

Labda ili usaidike ungetueleza nature ya shughuli za ofisi yako, maana kuna kazi nyingine hazifanywi na mtu mmoja bila ya mwingine kupitia
 
hayo ndio maisha kupambana unaanguka unajifuta unaendelea na mapambano!anza kufikiria kujiajiri kazi kibao na kipato kizuri kuliko hicho ki salary cha kulipa bili ya maji na umeme tuu!
 
fanya kilichokupeleka kazini huku ukitafuta kazi ingine kwa siri kubwa, usimshirikishe yeyote hata mfanyakazi rafiki yako wa kazini.......siku kikieleweka umesha pewa offer letter na umeridhia unampatia jamaa notice ya kuacha kazi ndani ya masaa 24 huku unacheka. Believe me makampuni mengi huwa yanaathirika sana hasa ukiwa kwenye senior level ambapo replacement yake ni gharama na inachukua muda mrefu.

Mwisho kabisa, chukulia hizi changamoto kama funzo maishani mwako.........anza kufikiria nawewe siku moja uwe mwajiri na sio kuajiriwa tu. Ukiendekeza ajira za kufanya kazi kama employee kubali yote, hata siku moja bosi wako akija akikuambia nenda nyumbani kwangu kamuogeshe mtoto wangu aende shule itabidi ufanye hivyo kwa sababu kwenye contract zote kuna kipengele kinacho tamka kwamba utafanya kazi zingine pia utakazokuwa umepangiwa na bosi wako
 
Thanx sana ndugu zangu kwa msaada wa kimawazo, kweli kujiunga na jamii forums kuna faida nyingi saana. Tuendelee na moyo huu wa kusaidiana huwezi jua maisha yanatupeleka wapi. Nimefarijika kwa kweli na michango yenu.

Sisi tunajishughulisha na shirika la misaada kwa nchi zinazoendelea.

MBARIKIWE.
 
Mie Boss wangu ni Mnoko sana lakini kwa vile mie najua nachokifanya na anajua najua kuliko yeye akiniletea za kuleta nampa kubwa na ninamwambia siogopi kufukuzwa kazi kwani sio kampuni yangu hii
Ingawa moyoni najua bado nahitaji kuendelea kuwepo.
Baadae utamuona katulia kama maji mtunguni
 
Nashukuru saana ndugu yangu kwa ushauri wako mzuri, naona mie kidogo kauvumilivu ninako ila saa nyingine unakuwa kama mtumwa. Jamaa mwenyewe anatoka nchi jirani.
Plz unaweza kunipa tips labda, jinsi gani ya kumuignore kibongo bongo, manake nimegoogle naona vingi haviapply hapa kwetu TZ.

Kama sikosei huyo anatoka Kenya, hao watu ndivyo walivyo wanatumia kila mbinu ili kupanda juu
 
Back
Top Bottom