Ngoja na mie nianzishe kwa tulosoma Bulyang'ondi school of reality.
Naikumbuka Tambaza ilikua nomaaaaaa ilifutwa olevel nafikiri 94 au 95 flani hv,ni nomaaaa kuna mambo ya kupiga simu kwenye tundu la choo!
msimsahau na marijan shaban (RIP),alitunga....umeondoka jojina...akiwa tambaza.
masikhara?acha masihara