Mnaikumbuka ripoti ya CCM kuhusu kupungua kwa rushwa?

Kamanda

Senior Member
Dec 5, 2007
150
176
Wapambanaji ndani ya JF

Nimeamua kuwashirikisha katika taarifa ya tathmini ya rushwa iliyotolewa na Chama Cha mapinduzi mwaka 2005 ili tushiriki kuona kama ufisadi umepungua au umeongezeka kwa kulinganisha na hali ya sasa.

Nimeongea na Katibu Mkuu wa chama hicho, Yusuf Makamba,kwa uchokozi tu, nikitaka kupata mtazamo wake, yeye anadai rushwa imepungua sana, akisema matukio ya Richmond, BoT na EPA ni ya muda.

Anasema kwa hali ilivyo sasa, ukiacha matukio yale ya kifisadi, rushwa imepungua. Akaniuliza; "Hivi sasa umesikia mtu amekamatwa na rushwa? Heee makubwa.

Sasa nime-attach tahthmini hiyo hapa.

Yuitafakari jamani, then tupashane mawazo ya kila mmoja wetu
 

Attachments

  • tathmini ya rushwa- CCM.doc
    91 KB · Views: 251
Wapambanaji ndani ya JF

Nimeamua kuwashirikisha katika taarifa ya tathmini ya rushwa iliyotolewa na Chama Cha mapinduzi mwaka 2005 ili tushiriki kuona kama ufisadi umepungua au umeongezeka kwa kulinganisha na hali ya sasa.

Nimeongea na Katibu Mkuu wa chama hicho, Yusuf Makamba,kwa uchokozi tu, nikitaka kupata mtazamo wake, yeye anadai rushwa imepungua sana, akisema matukio ya Richmond, BoT na EPA ni ya muda.

Anasema kwa hali ilivyo sasa, ukiacha matukio yale ya kifisadi, rushwa imepungua. Akaniuliza; "Hivi sasa umesikia mtu amekamatwa na rushwa? Heee makubwa.

Sasa nime-attach tahthmini hiyo hapa.

Yuitafakari jamani, then tupashane mawazo ya kila mmoja wetu

Hakuna muda ambao CCM imewahi na Viongozi hohehahe kama wakati huu .Makamba ni Kilaza wa kupindukia na sijui what keeps him a an SG for CCM.Unapoteza muda wako kuongea na Makamba mtu ambaye ameshindwa hata ku secure uchaguzi wa Serikali ya mtaa kwao na kila cheo kwake ni kuteuliwa ? Ni bingwa wa kujipendekeza na kughani Jukwaani lakini kichwani sijui .
 
Back
Top Bottom