Kamanda
Senior Member
- Dec 5, 2007
- 150
- 176
Wapambanaji ndani ya JF
Nimeamua kuwashirikisha katika taarifa ya tathmini ya rushwa iliyotolewa na Chama Cha mapinduzi mwaka 2005 ili tushiriki kuona kama ufisadi umepungua au umeongezeka kwa kulinganisha na hali ya sasa.
Nimeongea na Katibu Mkuu wa chama hicho, Yusuf Makamba,kwa uchokozi tu, nikitaka kupata mtazamo wake, yeye anadai rushwa imepungua sana, akisema matukio ya Richmond, BoT na EPA ni ya muda.
Anasema kwa hali ilivyo sasa, ukiacha matukio yale ya kifisadi, rushwa imepungua. Akaniuliza; "Hivi sasa umesikia mtu amekamatwa na rushwa? Heee makubwa.
Sasa nime-attach tahthmini hiyo hapa.
Yuitafakari jamani, then tupashane mawazo ya kila mmoja wetu
Nimeamua kuwashirikisha katika taarifa ya tathmini ya rushwa iliyotolewa na Chama Cha mapinduzi mwaka 2005 ili tushiriki kuona kama ufisadi umepungua au umeongezeka kwa kulinganisha na hali ya sasa.
Nimeongea na Katibu Mkuu wa chama hicho, Yusuf Makamba,kwa uchokozi tu, nikitaka kupata mtazamo wake, yeye anadai rushwa imepungua sana, akisema matukio ya Richmond, BoT na EPA ni ya muda.
Anasema kwa hali ilivyo sasa, ukiacha matukio yale ya kifisadi, rushwa imepungua. Akaniuliza; "Hivi sasa umesikia mtu amekamatwa na rushwa? Heee makubwa.
Sasa nime-attach tahthmini hiyo hapa.
Yuitafakari jamani, then tupashane mawazo ya kila mmoja wetu