Mnaikumbuka Hotuba ya Kikwete ya kuzindua Bunge mwaka 2005?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Wakati wengi mnaipongeza na kuisifu hotuba ya Mwigulu,nawashauri muipitie upya hotuba ya Raisi Kikwete wakati anazindua Bunge kwa mara ya kwanza mwaka 2005 baada ya kuingia madarakani na namna alivyoongoza nchi hii na kisha mumpime Mwigulu pamoja na hotuba yake huku mkizingatia ukweli kuwa wote wanatoka chama kimoja.

Sina mengi zaidi wenye akili watanielewa.
 
Du tutakoma safari hii. Mm sijawahi kumsikiliza kikwete kwa zaidi ya dk 5 mfululizo. Niliona ni kama hana authority ya alioongea sikuweza kumsikiliza kabisa!
 
Wakati wengi mnaipongeza na kuisifu hotuba ya Mwigulu,nawashauri muipitie upya hotuba ya Raisi Kikwete wakati anazindua Bunge kwa mara ya kwanza mwaka 2005 baada ya kuingia madarakani na namna alivyoongoza nchi hii na kisha mumpime Mwigulu pamoja na hotuba yake huku mkizingatia ukweli kuwa wote wanatoka chama kimoja.

Sina mengi zaidi wenye akili watanielewa.

Na mwenye maacho haambiwi tazama.
 
Du tutakoma safari hii. Mm sijawahi kumsikiliza kikwete kwa zaidi ya dk 5 mfululizo. Niliona ni kama hana authority ya alioongea sikuweza kumsikiliza kabisa!
Kikwete alitoa hotuba yenye kuonyesha kuyafahamu na kuguswa sana na matatizo ya watanzania hasa wa kawaida na pia hotuba ile ilitia matumaini makubwa kwani ilionyesha ana commitment na dhamira ya dhati kutatua matatizo mengi ya wananchi. Mfano migogoro ya wakulima na wafanyakazi,kero za muungano,maslahi ya wafanyakazi,rushwa n.k lakini alichokifanya kila mtu leo hii ni shahidi.
 
Hivi Kikwete naye ni wa kusikiliza hotuba zake...???

Mkuu, kumbuka hio ilikuwa ni hotuba yake ya kwanza kwa umma tangu alipochaguliwa hivyo tulimsikiliza ili kujua tu alikuwa amejipangaje ingawa binafsi sikumpigia kura kabisa na mpaka leo sijutii maamuzi yangu.
 
Ile hotuba ilikuwa nzuri na ya kusisimua sana. ....nakumbuka nilimpa kura yangu jakaya ingawa nilikuwa sikipendi ccm. ......baada ya kusikiliza ile hotuba nikaona nilifanya jambo la busara kumpa 'kula' yangu.....lkn matokeo yake ni kilio na mateso kwa miaka 10
 
Wakati wengi mnaipongeza na kuisifu hotuba ya Mwigulu,nawashauri muipitie upya hotuba ya Raisi Kikwete wakati anazindua Bunge kwa mara ya kwanza mwaka 2005 baada ya kuingia madarakani na namna alivyoongoza nchi hii na kisha mumpime Mwigulu pamoja na hotuba yake huku mkizingatia ukweli kuwa wote wanatoka chama kimoja.

Sina mengi zaidi wenye akili watanielewa.

Haaaaaa kweli Kabisa.... Tunaongozwa kwa emotions
 
Tusikumbushane machungu jamaa aliongea mpka maaskofu wakasema ni chaguo la mungu mimi sijui mungu yupi anaweza kutupa rais muongo namna hii asiye na hata tone la aibu
 
Enzi hizo watu walikuwa wakirefushaa jina lake sijui ndo ilikuwa kama hapa chini
K-Kiongozi
I-Imara
K-Kapakatwa
W-watanzania
E-Endelea
T-Tegemezi
E-....
 
Haaaaaa kweli Kabisa.... Tunaongozwa kwa emotions

Pia tunachagua watu kutokana na uwezo wa kuongea majukwaani na kwenye makongamano, kama Juma123 ukiwa bingwa wa kuongea tu utasikia "kwanini usiingie kwenye siasa ukachukua jimbo"
 
Last edited by a moderator:
Wakati wengi mnaipongeza na kuisifu hotuba ya Mwigulu,nawashauri muipitie upya hotuba ya Raisi Kikwete wakati anazindua Bunge kwa mara ya kwanza mwaka 2005 baada ya kuingia madarakani na namna alivyoongoza nchi hii na kisha mumpime Mwigulu pamoja na hotuba yake huku mkizingatia ukweli kuwa wote wanatoka chama kimoja.

Sina mengi zaidi wenye akili watanielewa.

Haya tumekusikia slip sasa nenda kanye uka sleep!!!
 
Wakati wengi mnaipongeza na kuisifu hotuba ya Mwigulu,nawashauri muipitie upya hotuba ya Raisi Kikwete wakati anazindua Bunge kwa mara ya kwanza mwaka 2005 baada ya kuingia madarakani na namna alivyoongoza nchi hii na kisha mumpime Mwigulu pamoja na hotuba yake huku mkizingatia ukweli kuwa wote wanatoka chama kimoja.

Sina mengi zaidi wenye akili watanielewa.

Ya jana Arusha nishasahau!
Ya 2005 niyatoe wapi?
 
Wakati wengi mnaipongeza na kuisifu hotuba ya Mwigulu,nawashauri muipitie upya hotuba ya Raisi Kikwete wakati anazindua Bunge kwa mara ya kwanza mwaka 2005 baada ya kuingia madarakani na namna alivyoongoza nchi hii na kisha mumpime Mwigulu pamoja na hotuba yake huku mkizingatia ukweli kuwa wote wanatoka chama kimoja.

Sina mengi zaidi wenye akili watanielewa.

Hotuba ya kwanza ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa Bungeni baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

View attachment HOTUBA YA KWANZA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.pdf

Source: KALULUNGA MEDIA, SAUTI YA WASIOSIKIKA. : Hotuba ya kwanza ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa Bungeni baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
CC: Pasco


Je,Kikwete ametekeleza haya?

JK na Mwigulu Nchemba kuna tofauti kati yao ya kukupa wewe hiyo imani?

Waandishi makini walipaswa kufanya mrejeo wa hotuba kama hizi katika vyombo vyao ili kuwakumbusha wananchi juu ya ahadi hizi za wanasiasa.

Waandishi timizeni wajibu wenu kwa umma.
 
Last edited by a moderator:
Wakati wengi mnaipongeza na kuisifu hotuba ya Mwigulu,nawashauri muipitie upya hotuba ya Raisi Kikwete wakati anazindua Bunge kwa mara ya kwanza mwaka 2005 baada ya kuingia madarakani na namna alivyoongoza nchi hii na kisha mumpime Mwigulu pamoja na hotuba yake huku mkizingatia ukweli kuwa wote wanatoka chama kimoja.

Sina mengi zaidi wenye akili watanielewa.

Kuna aliyeongoza vyama na kuleta mafanikio mema Tanzania hii zaidi ya Kikwete?

Tuanze kuwapima wote wa kabla na mafanikio yao tukilinganisha na Kikwete. Utaaibika.
 
Kuna aliyeongoza vyama na kuleta mafanikio mema Tanzania hii zaidi ya Kikwete?

Tuanze kuwapima wote wa kabla na mafanikio yao tukilinganisha na Kikwete. Utaaibika.
Naomba usome hotuba ya Kikwete kwenye comment no.16 ya huu uzi alafu ndio uje uongee na utueleze ni kwa kiasi gani JK aliitendea haki hotuba yake hiyo kabla hatujamwamini huyu Mwigulu.
 
Back
Top Bottom