The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Nilikuwa napitia archives ya YouTube, nikakutana na hii hotuba yenye maneno makali kwelikweli ya Tundu Lissu dhidi ya watawala.....
Ilikuwa ni Septemba, 2017 alipopata nafasi ya kuchangia azimio lililoingizwa na wabunge wa CCM ndani ya bunge kumpongeza Rais Magufuli....
Ni kuhusu zile kamati za uchunguzi za akina Prof. Osoro na Mruma kuhusu mikataba ya uchimbaji na sekta ya madini kwa ujumla....
Wakitegemea kuwa jamaa (TL) ataiabudu na kuisifia sanamu iitwayo "MEKO", mambo yalikuwa tofauti sana....
Jamaa alishusha nyundo za uhakika za kuuponda uamuzi huo wa Meko na kamati husika huku akitumia facts, takwimu na historia....
Hii iliwaudhi sana wanaCCM wa ndani na nje ya Bunge. Nadhani hii ndiyo ilichangia sana kuharakisha mission ya kumuua siku hiyo hiyo ambayo kwa uwezo wa Mungu Yehova, ili- fail vibaya.....
Kiukweli Bunge kukosa wabunge kama hawa is a big tragedy na sisi wafuatiliaji wa bunge tumekosa ladha nzuri ya bunge halisi....
Hebu mtazame na msikilize wewe mwenyewe ktk video hii hapa chini.....
Hiyo ya dakika 11 na sekunde 29 alichangia asubuhi na mchana akapigwa Risasi....!!
Hii
Ilikuwa ni Septemba, 2017 alipopata nafasi ya kuchangia azimio lililoingizwa na wabunge wa CCM ndani ya bunge kumpongeza Rais Magufuli....
Ni kuhusu zile kamati za uchunguzi za akina Prof. Osoro na Mruma kuhusu mikataba ya uchimbaji na sekta ya madini kwa ujumla....
Wakitegemea kuwa jamaa (TL) ataiabudu na kuisifia sanamu iitwayo "MEKO", mambo yalikuwa tofauti sana....
Jamaa alishusha nyundo za uhakika za kuuponda uamuzi huo wa Meko na kamati husika huku akitumia facts, takwimu na historia....
Hii iliwaudhi sana wanaCCM wa ndani na nje ya Bunge. Nadhani hii ndiyo ilichangia sana kuharakisha mission ya kumuua siku hiyo hiyo ambayo kwa uwezo wa Mungu Yehova, ili- fail vibaya.....
Kiukweli Bunge kukosa wabunge kama hawa is a big tragedy na sisi wafuatiliaji wa bunge tumekosa ladha nzuri ya bunge halisi....
Hebu mtazame na msikilize wewe mwenyewe ktk video hii hapa chini.....
Hiyo ya dakika 11 na sekunde 29 alichangia asubuhi na mchana akapigwa Risasi....!!
Hii