President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Kila ninapowaza utajiri wa rasilimali za nchi yetu na kulinganisha na umaskini wa watu wa Taifa hili, napigwa na butwaa! Naamini kwa roho nyeupe kabisa bila ya kinyongo dhidi ya CCM, kuwa hapa tulipofikishwa na chama tawala pametosha, CHADEMA => IKULU 2015