QueenBee
Member
- Mar 15, 2012
- 63
- 7
Huyu SIX amesha expire. Hata kusimama straight hawezi. Urais hata wa siku sita hauwezi. NI KWELI NI MNAFIKI na ana madhambi mengi sana tokea alipokuwa CDA Dodoma mpaka sasa ni wizi mtupu. Mzee huyu ameshasafirisha hata Magogo kutoka misitu ya kwetu huku Tabora leo usafi kaupata wapi. Vijana huyo NO.