Mnafiki SITTA jana ITV

Marytina

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
9,284
7,141
jana kwenye taarifa ya habari saa mbili ITV niliona Mzee SITTA akizindikwa kuwa mzee wa mkoa wa TABORA
Sherehe hii kwa Tabora ina maana kuwa SITTA ni mtu aliyesaidiana sana maendeleo ya Tabora

SITA akihutubia alisema kuwa yeye na wenzake watetengeneza mtandao wa kuondoa dhuluma dhidi wa walalahoi unaofanywa na serikali na ua CCM,Mgeni mwalikwa alikuwa JAMES LEMBELI mzee wa ndege za Barrick

My take:SITTA ni mnafiki namba mmoja kuwahi kutokea katika siasa za leo.Tuliozaliwa lmiaka ya late 1980 tulikuwa tunaambiwa na baadhi ya wazee kuwa Maalim Seif ni mnafiki kuliko wazanzibar wote na sasa tumeanza kuamini.

Sitta hana punje ya uzalendo ila anakerwa na kunyimwa uwaziri mkuu, Sitta pia anatakiwa abebeshwa zigo la Dowans
Sitta mpaka kesho anaishi nyumba ya Spika, alijenga ofisi ya spika urambo?alikubali kuondoa dowans bungeneni kwa ahadi ya kuendelea na uspika?aliunga mkono posho, mkwewe alidakwa na takukuru akisambaza simu ila sheria imemwogopa.
 
Ni vigumu sana kukubaliana nawe maana kwa maoni yako tu naona nawe ni mnafiki bin mzandiki!
 
Ni vigumu sana kukubaliana nawe maana kwa maoni yako tu naona nawe ni mnafiki bin mzandiki!
ebu nitajie kipi cha maana alichofanya SITTA kama si kutulipisha mabilioni ya Dowans kwa chuki feki zake dhidi ya mafisadi???
 
bonge la nafiki hilo zee,uoza ni wa sisiemu na serekali yake,aache unafiki huyo mzee,alakini hawa wazee magamba wanazeeke vibaya kwa sababu y dhulma wanayowafanyia watanganyika,makipo hapahapa.
 
mhh
i blv aujatumwa?
thou sijui km ni mnafiki au si mnafiki

Rose1980, hapa mimi bado niko bado natafakari kuhusu mwelekeo na misimamo ya BAADHI ya wana JF wenzetu waliojiunga kuanzia July 2010 wakati tukielekea uchaguzi mkuu. Naona kuna wengine walijiunga ili kutekeleza interest binafsi, maana kada la hawa watu ni bifu, majungu, uongo, uzandiki, hadithi za kufikirika nk. tu kwa kwenda mbele. Tafakari, chukua maamuzi!!
 
Rose1980, hapa mimi bado niko bado natafakari kuhusu mwelekeo na misimamo ya BAADHI ya wana JF wenzetu waliojiunga kuanzia July 2010 wakati tukielekea uchaguzi mkuu. Naona kuna wengine walijiunga ili kutekeleza interest binafsi, maana kada la hawa watu ni bifu, majungu, uongo, uzandiki, hadithi za kufikirika nk. tu kwa kwenda mbele. Tafakari, chukua maamuzi!!
kama huna kundi unafanya nini kwenye siasa?
SITTA alikuwa kipenzi cha watz lakini mambo aliyoyafanya mwishoni wa 2010 na 2011 yamedhihirisha ni mnafiki sana.
Kama ana uzalendo kwa nini alipingana na wanaotaka posho zifutwe (900 bilioni kwa mwaka)
 
jana kwenye taarifa ya habari saa mbili ITV niliona Mzee SITTA akizindikwa kuwa mzee wa mkoa wa TABORA
Sherehe hii kwa Tabora ina maana kuwa SITTA ni mtu aliyesaidiana sana maendeleo ya Tabora

SITA akihutubia alisema kuwa yeye na wenzake watetengeneza mtandao wa kuondoa dhuluma dhidi wa walalahoi unaofanywa na serikali na ua CCM,Mgeni mwalikwa alikuwa JAMES LEMBELI mzee wa ndege za Barrick

My take:SITTA ni mnafiki namba mmoja kuwahi kutokea katika siasa za leo.Tuliozaliwa lmiaka ya late 1980 tulikuwa tunaambiwa na baadhi ya wazee kuwa Maalim Seif ni mnafiki kuliko wazanzibar wote na sasa tumeanza kuamini.

Sitta hana punje ya uzalendo ila anakerwa na kunyimwa uwaziri mkuu, Sitta pia anatakiwa abebeshwa zigo la Dowans

Sina confidence na huyu jamaa hata kidogo...
 
ebu nitajie kipi cha maana alichofanya SITTA kama si kutulipisha mabilioni ya Dowans kwa chuki feki zake dhidi ya mafisadi???



Ina maana wewe unawapenda mafisadie!!!!?????
Basi nimekuogopa tena kama ni hivyo wewe ni mnafki kuliko watanzania wote!!
 
Sitta ana mahesabu ya kupitishwa agombee Urais 2015 na chama fulani ambacho siyo CCM ndiyo maana anahangaika kutengeneza muonekano wake uwe wa kizalendo. Subirini mtasikia, iwapo mpango wake hautagundulika mapema.
 
jana kwenye taarifa ya habari saa mbili itv niliona mzee sitta akizindikwa kuwa mzee wa mkoa wa tabora
sherehe hii kwa tabora ina maana kuwa sitta ni mtu aliyesaidiana sana maendeleo ya tabora

sita akihutubia alisema kuwa yeye na wenzake watetengeneza mtandao wa kuondoa dhuluma dhidi wa walalahoi unaofanywa na serikali na ua ccm,mgeni mwalikwa alikuwa james lembeli mzee wa ndege za barrick

my take:sitta ni mnafiki namba mmoja kuwahi kutokea katika siasa za leo.tuliozaliwa lmiaka ya late 1980 tulikuwa tunaambiwa na baadhi ya wazee kuwa maalim seif ni mnafiki kuliko wazanzibar wote na sasa tumeanza kuamini.

sitta hana punje ya uzalendo ila anakerwa na kunyimwa uwaziri mkuu, sitta pia anatakiwa abebeshwa zigo la dowans
kwenye kijani hapo na wewe umetumwa uje kumsafisha nani,mbona wanafiki kwenye chama chenu wengi tu,wakisema ukweli wanaaambiwa wasubiri vikao vya chama,kwenye vikao vyenyewe vya chama hakuna lolote kama vikao vya harusi tu,mwache aseme ukweli hakuna unafiki wowote ule.
 
jana kwenye taarifa ya habari saa mbili ITV niliona Mzee SITTA akizindikwa kuwa mzee wa mkoa wa TABORA
Sherehe hii kwa Tabora ina maana kuwa SITTA ni mtu aliyesaidiana sana maendeleo ya Tabora

SITA akihutubia alisema kuwa yeye na wenzake watetengeneza mtandao wa kuondoa dhuluma dhidi wa walalahoi unaofanywa na serikali na ua CCM,Mgeni mwalikwa alikuwa JAMES LEMBELI mzee wa ndege za Barrick

My take:SITTA ni mnafiki namba mmoja kuwahi kutokea katika siasa za leo.Tuliozaliwa lmiaka ya late 1980 tulikuwa tunaambiwa na baadhi ya wazee kuwa Maalim Seif ni mnafiki kuliko wazanzibar wote na sasa tumeanza kuamini.

Sitta hana punje ya uzalendo ila anakerwa na kunyimwa uwaziri mkuu, Sitta pia anatakiwa abebeshwa zigo la Dowans
maria 1047, wewe upo kundi gani ndani ya wanamagamba?
 
Sitta ana mahesabu ya kupitishwa agombee Urais 2015 na chama fulani ambacho siyo CCM ndiyo maana anahangaika kutengeneza muonekano wake uwe wa kizalendo. Subirini mtasikia, iwapo mpango wake hautagundulika mapema.
labda afufue CCJ
 
kwenye kijani hapo na wewe umetumwa uje kumsafisha nani,mbona wanafiki kwenye chama chenu wengi tu,wakisema ukweli wanaaambiwa wasubiri vikao vya chama,kwenye vikao vyenyewe vya chama hakuna lolote kama vikao vya harusi tu,mwache aseme ukweli hakuna unafiki wowote ule.
mtu wa porini, hebu badilisha rangi - sisi wengine tuna alegi na hilo li-rangi ulilo highlight - kwanza maneno hayasomeki kama walivyo wao.
 
[h=2]Re: Mnafiki SITTA jana ITV[/h]

quote_icon.png
By Mama Mdogo
Rose1980, hapa mimi bado niko bado natafakari kuhusu mwelekeo na misimamo ya BAADHI ya wana JF wenzetu waliojiunga kuanzia July 2010 wakati tukielekea uchaguzi mkuu. Naona kuna wengine walijiunga ili kutekeleza interest binafsi, maana kada la hawa watu ni bifu, majungu, uongo, uzandiki, hadithi za kufikirika nk. tu kwa kwenda mbele. Tafakari, chukua maamuzi!!







kama huna kundi unafanya nini kwenye siasa?
SITTA alikuwa kipenzi cha watz lakini mambo aliyoyafanya mwishoni wa 2010 na 2011 yamedhihirisha ni mnafiki sana.
Kama ana uzalendo kwa nini alipingana na wanaotaka posho zifutwe (900 bilioni kwa mwaka)


Mama mdogo hapo juu uliyoyasema ni ukweli mtupu!!
Inaelekea kuna watu wameingia JF kwa nia zao mbaya ila hawawezi badilisha kitu kwani watanzania wa leo wanaona ukweli, wanaujua ukweli na wanaweza kuchambua mambo na kufanya maamuzi yenye manufaa!!
Kwa hiyo kama wanajidanganya wanaweza kubadilisha hayo wanajichosha tu heri wamwache Sitta aseme kuisadia serikali isiyoweza kukemea uovu!
 
kwenye kijani hapo na wewe umetumwa uje kumsafisha nani,mbona wanafiki kwenye chama chenu wengi tu,wakisema ukweli wanaaambiwa wasubiri vikao vya chama,kwenye vikao vyenyewe vya chama hakuna lolote kama vikao vya harusi tu,mwache aseme ukweli hakuna unafiki wowote ule.
NIMEJITOLEA KUWAELEKEZA WANA jf KUWA KAMA SITTA anaujua ukweli kuhusu Dowans basi auseme hadharani na ajiuzuli kupinga malipo.
 
Makes sense, pamoja na mapungufu yake, bado Sitta angalau ni mzalendo kulinganisha na wenzake ambao Nyerere aliwakabidhi nchi yetu, wakaifanya yao.

hana uzalendo huyu mtu hata kidogo. Kwanini alijenga ofisi ya spika urambo? Au alitaka kuwa spika wa maisha?
Kwa nini ali-align na wachumia tumbo wengine wa magamba kuhalalisha maposho hayo ambayo ni mzigo kwa taifa?
Kwa nini alizuia richmond kujadiliwa early mwaka jana? Si ndo maana tumefikishwa kwenye kulipa mamia ya mabilioni wakati hali zetu zinazidi kudorora?
Namhate sana huyu mzee na magamba wote.
Hakuna afadhali mle, wote ni magamba tu. Lazima yavuliwe ili tubaki salama. Tena ingekuwa amri yangu, CCM ingefutiliwa mbali na wanachama wahusika waliotufikisha hapa wangefunguliwa mashtaka kwenye special tribunal.
Majiniwatu haya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom