Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani awajibike au atawajibishwa!

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,034
28,201
Najiuliza hivi mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani yupo wapi?

Anafanya nini na kwanini yupo kama hayupo?

Au anasubiri msiba ajitokeze kulilia mic?

Hauwezekani kila uchao wabunge anaowasimamia tena walewale wanaingia kwenye vurugu na kukosea heshima kiti cha spika lakini hawachukuliwi hatua.

Ushauri wangu kwa Bunge watunge kanuni ya kuwawajibisha wasimamizi wa nidhamu wa wabunge sambamba na wabunge walioshindikana kwa utovu wa nidhamu.Kanuni hii ipeleke adhabu kwa mbunge na chama au kambi husika.

Kanuni hii itawabana wabunge wakorofi na wanaowatuma.

Haiwezekani mtu atoke jimboni mwake kwenda bungeni kusaka kiki badala ya kuhoji na kupendekeza hoja za maendeleo ya jimbo lake.

Uwakilishi wa wananchi umegeuka kuwa ubinafsi na kiburi kwa baadhi ya wabunge hasa wa upinzani.

Nimekuwa inspired na Mwanachadema aliyewahi kuandika juu ya mnadhimu wa kambi ya upinzani akapuuzwa.....
Mnadhimu wa Kambi ya upinzani wakumbushe wabunge wako kuhusu nidhamu bungeni


CC:Mkuchika
 
Najiuliza hivi mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani yupo wapi?
Anafanya nini na kwa nini yupo kama hayupo?

Au anasubiri msiba ajitokeze kulilia mic?

Hauwezekani kila uchao wabunge anaowasimamia tena walewale wanaingia kwenye vurugu na kukosea heshima kiti cha spika lakini hawachukuliwi hatua.

Ushauri wangu kwa Bunge ...watunge kanuni ya kuwawajibisha wasimamizi wa nidhamu wa wabunge sambamba na wabunge walioshindikana kwa utovu wa nidhamu.

Kanuni hii itawabana wabunge wakorofi na wanaowatuma.

Haiwezekani mtu atoke jimboni mwake kwenda bungeni kusaka kiki badala ya kuhoji na kupendekeza hoja za maendeleo ya jimbo lake.

Uwakilishi wa wananchi umegeuka kuwa ubinafsi na kiburi kwa baadhi ya wabunge hasa wa upinzani.

CC:Mkuchika
Umezisoma Kanuni za Bunge? Msimamizi wa nidhamu ni Nani?

Hivi ukivua hiyo miwani yako ya Ukada ni Nani mtovu wa Nidhamu kati ya Spika na Wabunge walioadhibiwa? Mnqyoyafanya sii mapya, mnarudia Makosa yaleyale ya Makinikia, ila kwakuwa mmepigwa upofu, hamna namna!
 
Spika ndio wa kwanza kuwJibishwa kwa kushindwa kutenda haki bungeni kwa kusimamia binge kishabiki na kichama zaidi
 
Hivi nauliza, wanaopitisha mikataba iliyotufikisha hapa na kukosea kiti cha spika nani wakuwajibishwa au kuwajibika? Jingalao tafakari chukua hatua.
 
Wewe ni kipofu na kiziwi? Ni kitu gani kinachoendelea mjengoni cha ukurupukaji na uonevu usichokiona na kukisikia?
Labda kama mmejipanga kutokurudi 2020! Na kimuonekano ni sawa hamtampona kwa haya mnayoyafanya kuufinya ukweli. Mmeshikwa vibaya na kakikosi ka watu wachache wanaowafunua nguo bila kujali Nguni za USO mnazowachapa ila kwenu mmebaki uchi!
 
Najiuliza hivi mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani yupo wapi?
Anafanya nini na kwa nini yupo kama hayupo?

Au anasubiri msiba ajitokeze kulilia mic?

Hauwezekani kila uchao wabunge anaowasimamia tena walewale wanaingia kwenye vurugu na kukosea heshima kiti cha spika lakini hawachukuliwi hatua.

Ushauri wangu kwa Bunge ...watunge kanuni ya kuwawajibisha wasimamizi wa nidhamu wa wabunge sambamba na wabunge walioshindikana kwa utovu wa nidhamu.

Kanuni hii itawabana wabunge wakorofi na wanaowatuma.

Haiwezekani mtu atoke jimboni mwake kwenda bungeni kusaka kiki badala ya kuhoji na kupendekeza hoja za maendeleo ya jimbo lake.

Uwakilishi wa wananchi umegeuka kuwa ubinafsi na kiburi kwa baadhi ya wabunge hasa wa upinzani.

CC:Mkuchika
Kwani maendeleo yanaletwa na bunge?
 
Najiuliza hivi mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani yupo wapi?
Anafanya nini na kwa nini yupo kama hayupo?

Au anasubiri msiba ajitokeze kulilia mic?

Hauwezekani kila uchao wabunge anaowasimamia tena walewale wanaingia kwenye vurugu na kukosea heshima kiti cha spika lakini hawachukuliwi hatua.

Ushauri wangu kwa Bunge ...watunge kanuni ya kuwawajibisha wasimamizi wa nidhamu wa wabunge sambamba na wabunge walioshindikana kwa utovu wa nidhamu.

Kanuni hii itawabana wabunge wakorofi na wanaowatuma.

Haiwezekani mtu atoke jimboni mwake kwenda bungeni kusaka kiki badala ya kuhoji na kupendekeza hoja za maendeleo ya jimbo lake.

Uwakilishi wa wananchi umegeuka kuwa ubinafsi na kiburi kwa baadhi ya wabunge hasa wa upinzani.

CC:Mkuchika
Usifurahie msiba wamwenzio hata ww utakufa tu siasa inakufanya ukashifu msiba wawenzio kweli je huu ni uzalendo kweli ccm mbona mnaliharibu taifa
 
Najiuliza hivi mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani yupo wapi?
Anafanya nini na kwa nini yupo kama hayupo?

Au anasubiri msiba ajitokeze kulilia mic?

Hauwezekani kila uchao wabunge anaowasimamia tena walewale wanaingia kwenye vurugu na kukosea heshima kiti cha spika lakini hawachukuliwi hatua.

Ushauri wangu kwa Bunge ...watunge kanuni ya kuwawajibisha wasimamizi wa nidhamu wa wabunge sambamba na wabunge walioshindikana kwa utovu wa nidhamu.

Kanuni hii itawabana wabunge wakorofi na wanaowatuma.

Haiwezekani mtu atoke jimboni mwake kwenda bungeni kusaka kiki badala ya kuhoji na kupendekeza hoja za maendeleo ya jimbo lake.

Uwakilishi wa wananchi umegeuka kuwa ubinafsi na kiburi kwa baadhi ya wabunge hasa wa upinzani.

CC:Mkuchika

Kesi ya nyani amepelekewa ngedere,hakimu Sokwe na Nyani mwenyewe unategemea kuwepo na HUKUMU yenye haki.Wale akina Lusinde wanaowatukana wapinzani kila siku mmeshawahi kuwapa adhabu hata ya kukaa nje dakika??
 
Kweli we we jinga letu! Wewe ni kipofu na kiziwi? Ni kitu gani kinachoendelea mjengoni cha ukurupukaji na uonevu usichokiona na kukisikia?
Labda kama mmejipanga kutokurudi 2020! Na kimuonekano ni sawa hamtampona kwa haya mnayoyafanya kuufinya ukweli. Mmeshikwa vibaya na kakikosi ka watu wachache wanaowafunua nguo bila kujali Nguni za USO mnazowachapa ila kwenu mmebaki uchi!

Huyo ndiyo wale wale wanaotumwa mitandaoni kusikilizia hali ya hewa kama watanzania bado wanadanganyika na ule uongo wao pale Bungeni au lah
 
Kweli we we jinga letu! Wewe ni kipofu na kiziwi? Ni kitu gani kinachoendelea mjengoni cha ukurupukaji na uonevu usichokiona na kukisikia?
Labda kama mmejipanga kutokurudi 2020! Na kimuonekano ni sawa hamtampona kwa haya mnayoyafanya kuufinya ukweli. Mmeshikwa vibaya na kakikosi ka watu wachache wanaowafunua nguo bila kujali Nguni za USO mnazowachapa ila kwenu mmebaki uchi!
msome huyu mwanachadema mwenzako aliyepuuzwa

Mnadhimu wa Kambi ya upinzani wakumbushe wabunge wako kuhusu nidhamu bungeni
 
Kweli we we jinga letu! Wewe ni kipofu na kiziwi? Ni kitu gani kinachoendelea mjengoni cha ukurupukaji na uonevu usichokiona na kukisikia?
Labda kama mmejipanga kutokurudi 2020! Na kimuonekano ni sawa hamtampona kwa haya mnayoyafanya kuufinya ukweli. Mmeshikwa vibaya na kakikosi ka watu wachache wanaowafunua nguo bila kujali Nguni za USO mnazowachapa ila kwenu mmebaki uchi!
msome huyu mwanachadema mwenzako aliyepuuzwa

Mnadhimu wa Kambi ya upinzani wakumbushe wabunge wako kuhusu nidhamu bungeni
 
Kesi ya nyani amepelekewa ngedere,hakimu Sokwe na Nyani mwenyewe unategemea kuwepo na HUKUMU yenye haki.Wale akina Lusinde wanaowatukana wapinzani kila siku mmeshawahi kuwapa adhabu hata ya kukaa nje dakika??

Laana ya ubaguzi,chuki na visasi ipo juu yenu Chama Cha Mafisi
Kwa hiyo lusinde akitukana na wewe unatukana?
ni lini lusinde alibishana na kumkebehi au kumtukana spika?
 
Kwa hiyo lusinde akitukana na wewe unatukana?
ni lini lusinde alibishana na kumkebehi au kumtukana spika?

Kuna mahali Mnyika alimtukana Lusinde??Au Mnyika alikuwa anataka atendewe haki??Usidhani watanzania wote wapuuzi kama anavyofikiria jamaa yenu Ndugai!Hata mwanangu mdogo ameona upuuzi na upumbavu alioufanya SPIKA.

Msifurahie sababu ati aliyofanyiwa amekomolewa Mpinzani,la hasha hapo ndipo Bajeti na miswada ya kipumbavu inayoua Taifa inapopita bila kupingwa.

Miswada mibovu ya Madini na Gas ilipitishw ahivyo hivyo leo mnapoambiwa ukweli mnaaza kama kawaida ili bajeti ya Mwizi aliyehakikisha Taifa linapoteza inataka kupitishwa basi mnaanza kuruka ruka kama bisi kwenye moto.

Tuambieni Naibu Waziri wa Nishati na Madini mpaka sasa mmeshamuwajibisha?SI ndiyo huyu aliyehakikisha mikataba na miswada mibovu ya sheria ianaandikwa na kuzawadiwa udirector na hao hao wanaotupiga aka wawekezaji??

Hivi hamuwezi hata siku moja mkafikiria positively kwanini Kalemani alipewa cheo na hao wazungu??Acheni unafiki
 
Yaani akili za kitoto hizi! Unategemea spika atakua na maamuzi gani kama unategemea mawazo ya akina shonza na wale wamama wa viti maalamu
 
Wale wasimbe wawili wana shida hata kwenye jamii! wanajifanya majike dume
 
Kuna mahali Mnyika alimtukana Lusinde??Au Mnyika alikuwa anataka atendewe haki??Usidhani watanzania wote wapuuzi kama anavyofikiria jamaa yenu Ndugai!Hata mwanangu mdogo ameona upuuzi na upumbavu alioufanya SPIKA.

Msifurahie sababu ati aliyofanyiwa amekomolewa Mpinzani,la hasha hapo ndipo Bajeti na miswada ya kipumbavu inayoua Taifa inapopita bila kupingwa.

Miswada mibovu ya Madini na Gas ilipitishw ahivyo hivyo leo mnapoambiwa ukweli mnaaza kama kawaida ili bajeti ya Mwizi aliyehakikisha Taifa linapoteza inataka kupitishwa basi mnaanza kuruka ruka kama bisi kwenye moto.

Tuambieni Naibu Waziri wa Nishati na Madini mpaka sasa mmeshamuwajibisha?SI ndiyo huyu aliyehakikisha mikataba na miswada mibovu ya sheria ianaandikwa na kuzawadiwa udirector na hao hao wanaotupiga aka wawekezaji??

Hivi hamuwezi hata siku moja mkafikiria positively kwanini Kalemani alipewa cheo na hao wazungu??Acheni unafiki
Usichanganye hoja mkuu...zipo threads zinazozungumzia mikataba mibovu.

Nani aliyekwambia ukitukana ndio hoja yako inasikilizwa?Nani aliyekwambia usipomheshimu spika ndio hoja yako inasikilizwa?

Kwa nini msijifunze kulobby?

Wakati lowassa analazimishwa kujiuzulu ulisikia vurugu za kupigana au kutukanwa wa spika?

Yaani over-reaction ya Mnyika kuhusu kuitwa hana akili inataka kuniaminisha zile tetesi kuwa ni mgonjwa wa akili...kwa hiyo atakuwa ni paranoid sana kwa yote yanayosemwa au kutendwa dhidi yake.

Turudi kwa kina Mdee na Halima...hawa walioomba na kuombewa msamaha kama wiki tatu hivi zilizopita ni kwa nini kila siku wanaingia kwenye masakata ya purukushani ?Tena zile zinazoweza kuwakatia shanga?

Kwa nini hawakemewi na Chama?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom