Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Kwahiyo atabaki na mavi yakeNaona wengi hawajamuelewa mleta mada. Anaongelea ile harufu inauotoka wakati mtu anatoa mzigo.
Mbona simple tu,
Weka dirisha kubwa.
Weka milango miwili, na distance kati ya milango isipungue mita 1.
Hakikisha ukiwa ndani ya choo ukimuita mtu aliye sebuleni asiweze kusikia sauti.
Pia kwanin mlango wa choo utazamane na sebule? Siku ukipata mgeni mwenye aibu atashindwa kuingia chooni.
Kibaya uwe unaharisha kwa kutoa sauti kama sabufa utaghairi kunya