MR UNINFORMED
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,067
- 1,201
- Thread starter
- #21
Asante.
1. Yard ya ubungo iko nyuma ya business park pale shekilango.
2. Magari yanayouzwa ni aina yote....used za japan na used za bongo ili mradi uwe linashikiliwa na tra na uwe umeshindwa kulipa cha zakayo au kwa sababu ingine.
3. Sizijui yard zote zilizoko dsm ila nafahamu baadha kwa majina tu....kuna kwa bakresa, icd mivinje nadhan....kwa ufupi sizijui zote.
1. Yard ya ubungo iko nyuma ya business park pale shekilango.
2. Magari yanayouzwa ni aina yote....used za japan na used za bongo ili mradi uwe linashikiliwa na tra na uwe umeshindwa kulipa cha zakayo au kwa sababu ingine.
3. Sizijui yard zote zilizoko dsm ila nafahamu baadha kwa majina tu....kuna kwa bakresa, icd mivinje nadhan....kwa ufupi sizijui zote.
Nina maswali kidogo kwako mkuu
1. Yard ya ubungo iko maeneo gani?
2. Magari yanayouzwa ni used kutoka Japan yaliyoshindwa kulipiwa bandarini au hata used bongo yapo ?
3. Kwa hapa Dar yard nyingine ya TRA iko wapi?
Jibu maswali yangu then issue ya Wambura niachie mimi