MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,876
- 6,579
Serikali nyingi katika bara letu ni vikundi vya wahuni/wajanja wachache wanaowakamua wanyonge kwa manufaa yao binafsi kupitia kodi. Ila pia wanawakamua wazungu kupitia misaada wanayotoa kwa mataifa ya bara hili.
Mali asili zote na vivutio vya utalii ni vitega uchumi vyao binafsi.
Mali asili zote na vivutio vya utalii ni vitega uchumi vyao binafsi.