Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,333
- 7,486
Lakini mkuu hao ni Marekani wamerudisha kidogo, England, Ufaransa na nchi nyingine wametaifisha hiyo pesa.Nafikiri kuna mahali tunapishana. Hizo pesa hao wazungu wamezichukua na kuamua kuwapelekea wananchi chanjo, si zingewasaidia kwa mambo mengine ya muhimu zaidi?
Hata kuwapelekea chanjo na madawa bado ni msaada. Kwanini wawachagulie cha kuwafanyia?
Wapate Chanjo wawe wazima maisha yaendelee .