Mnachukuliana vipi na marafiki wa aina hii?

icca

Senior Member
Nov 8, 2014
180
169
Habarini za asubuhi wana jamvi, Msaada wa mawazo kidogo.

Ni mda wa miezi zaidi ya miwili sasa nakaa na rafiki yangu, Tulikutana eneo la kazi mimi na yeye tukiwa ndo wanawake io hali ikatufanya tuwe marafiki, tunasaidiana katika mambo mengi na ni mtu mzuri.

Miezi miwili iliopita mambo yake hayakwenda sawa akaniomba aje akae kwangu kwa mda mfupi akijipanga ili aende kupanga, Ila sasa naona kabisa uvumilivu umeniisha na sijui anaondoka lini na naona nikimuuliza atajisikia vibaya.

Ratiba ya kwangu imebadilika kabisa, mimi si mtu wa kutoka napenda kuwahi kurudi nyumbani na kupata mda mwingi wa kupumzika, yeye anachelewa kurudi akirudi ni hekaheka atataka tuongee nisipomjibu anajisikia vibaya, atabamiza milango, uo usiku ndio atataka apike, kunakua hakuna utulivu na kachumba ni kamoja tu,..najikuta tu nina hasira na kisirani.

Mnachukuliana vipi na watu wa haina hii?
 
Kosa kubwa sana unalifanya ni kutotambua ukweli kwamba wanawake huwa hamkai chumba kimoja kwa muda mrefu mkaweza kuvumiliana hata muwe marafiki kiasi gani hilo haliwezekani.

Mwambie ukweli, atanuna (mtanuniana) yataisha na maisha yataendelea. Hakikisha anahamia kwake kwa mbinu yyt ile, kwa mfano; mlete mwanaume wako na hakikisha anakaa hapo hadi mida mibovu wakati huo yeye akae nje asubiri mmalize maongezi yenu (ikiwezekana kila siku mfululizo) nakuhakikishia hatoweza kuvumilia atatafuta namna ya kuondoka
 
Hamia kwangu mama, tupo wote eneo hilo hilo unaloishi...(utani pembeni)

Kama ni rafiki yako basi kaa chini mzungumze, vitu wapenda na vitu hupendi...yanaweza yasiwe mazungumzo ya moja kwa moja, bali unaweza ukayazungumza wakati wa stori zenu tu za kawaida
 
Habarini za asubuhi wana jamvi,
Msaada wa mawazo kidogo.

Ni mda wa miezi zaidi ya miwili sasa nakaa na rafiki yangu, Tulikutana eneo la kazi mimi na yeye tukiwa ndo wanawake io hali ikatufanya tuwe
Msaidie kiasi cha pesa ambacho ni sawa na kodi ya miezi mitatu, mwambie akapange chumba chake, baada ya miezi mitatu kuisha hopefully atakua ameshajipanga tayari na ataweza kujilipia kodi mwenyewe. Tafuta tu sababu yoyote kama vile mzazi au ndugu yako anakuja kukutembelea na atafikia hapo kwako kwa muda mrefu, au unakosa uhuru wa kumleta boyfriend/mchumba wako hapo, etc. Kwa hiyo umeona bora umsaidie kwa kumpa hiyo kodi ya miezi mitatu.
 
Kosa kubwa sana unalifanya ni kutotambua ukweli kwamba wanawake huwa hamkai chumba kimoja kwa muda mrefu mkaweza kuvumiliana hata muwe marafiki kiasi gani hilo haliwezekani.

Mwambie ukweli, atanuna (mtanuniana) yataisha na maisha yataendelea. Hakikisha anahamia kwake kwa mbinu yyt ile, kwa mfano; mlete mwanaume wako na hakikisha anakaa hapo hadi mida mibovu wakati huo yeye akae nje asubiri mmalize maongezi yenu (ikiwezekana kila siku mfululizo) nakuhakikishia hatoweza kuvumilia atatafuta namna ya kuondoka
Hii ni mbinu ya kivita kabisa

Kudos mkuu
 
Kosa kubwa sana unalifanya ni kutotambua ukweli kwamba wanawake huwa hamkai chumba kimoja kwa muda mrefu mkaweza kuvumiliana hata muwe marafiki kiasi gani hilo haliwezekani.

Mwambie ukweli, atanuna (mtanuniana) yataisha na maisha yataendelea. Hakikisha anahamia kwake kwa mbinu yyt ile, kwa mfano; mlete mwanaume wako na hakikisha anakaa hapo hadi mida mibovu wakati huo yeye akae nje asubiri mmalize maongezi yenu (ikiwezekana kila siku mfululizo) nakuhakikishia hatoweza kuvumilia atatafuta namna ya kuondoka

Kosa kubwa sana unalifanya ni kutotambua ukweli kwamba wanawake huwa hamkai chumba kimoja kwa muda mrefu mkaweza kuvumiliana hata muwe marafiki kiasi gani hilo haliwezekani.

Mwambie ukweli, atanuna (mtanuniana) yataisha na maisha yataendelea. Hakikisha anahamia kwake kwa mbinu yyt ile, kwa mfano; mlete mwanaume wako na hakikisha anakaa hapo hadi mida mibovu wakati huo yeye akae nje asubiri mmalize maongezi yenu (ikiwezekana kila siku mfululizo) nakuhakikishia hatoweza kuvumilia atatafuta namna ya kuondoka
Mhm hapa kuna kila mazimgira mtu ataliwa kimasikhara🤣🤣🤣🤣 kama sio threesome
 
Kosa kubwa sana unalifanya ni kutotambua ukweli kwamba wanawake huwa hamkai chumba kimoja kwa muda mrefu mkaweza kuvumiliana hata muwe marafiki kiasi gani hilo haliwezekani.

Mwambie ukweli, atanuna (mtanuniana) yataisha na maisha yataendelea. Hakikisha anahamia kwake kwa mbinu yyt ile, kwa mfano; mlete mwanaume wako na hakikisha anakaa hapo hadi mida mibovu wakati huo yeye akae nje asubiri mmalize maongezi yenu (ikiwezekana kila siku mfululizo) nakuhakikishia hatoweza kuvumilia atatafuta namna ya kuondoka
Umemaliza kila kitu.
 
Hii iliwahi kumtokea Dada mmoja alimkaribisha rafiki yake waishi pamoja, rafiki akawa mzigo kila kitu anamuachia mwenzake hajui cha Bili ya Luku wala Bili ya Maji ikabidi yule Dada amuachie chumba akaenda kupanga sehemu nyingine baada ya kodi kuisha naye akasepa akaenda kuishi kwa wazazi wake, kuishi na mtu inahitaji moyo sana.
 
Haukufanya makosa kumkubalia mara ya kwanza aje! Kwako ila kwa nini? Ulimkubalia?
 
Acha kisarani ,mtoto wa kike
Vitu vidogo kama hivyo utaweza kuishi na mawifi wewe....?😅😅
 
Kosa kubwa sana unalifanya ni kutotambua ukweli kwamba wanawake huwa hamkai chumba kimoja kwa muda mrefu mkaweza kuvumiliana hata muwe marafiki kiasi gani hilo haliwezekani.

Mwambie ukweli, atanuna (mtanuniana) yataisha na maisha yataendelea. Hakikisha anahamia kwake kwa mbinu yyt ile, kwa mfano; mlete mwanaume wako na hakikisha anakaa hapo hadi mida mibovu wakati huo yeye akae nje asubiri mmalize maongezi yenu (ikiwezekana kila siku mfululizo) nakuhakikishia hatoweza kuvumilia atatafuta namna ya kuondoka
Najua kabisa kwamba tukikaa wote mda mrefu hatutawezana,lakini nilishindwa kumkatalia vile na yeye aliwahi kunisaidia uko nyuma.
Natamani apate kwake aende ndo sijui itakua lini.

Kumleta mwanaume wangu ndani naona haitakua busara.
 
Haukufanya makosa kumkubalia mara ya kwanza aje! Kwako ila kwa nini? Ulimkubalia?
Anapafahamu kwangu, anajua nakaa mwenyewe na alinambia itakua mda mfupi tu haitazidi ata wiki mbili.
sasa naona uvumilivu unanishinda, nmemiss uhuru wangu, kumwambia nashindwa na aliwahi nisaidia pia.

Niishi nae vipi,
 
Anapafahamu kwangu, anajua nakaa mwenyewe na alinambia itakua mda mfupi tu haitazidi ata wiki mbili.
sasa naona uvumilivu unanishinda, nmemiss uhuru wangu, kumwambia nashindwa na aliwahi nisaidia pia.

Niishi nae vipi,
Huna lolote ww mbinafsi tu.....huna urafiki wa kweli hafu huyo mwenzio anaonekana Ana urafiki wa kweli ila ww ndo kivuruge

Kwa kifupi ww huwezi Kuishi na rafiki.
 
1643353838004.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom