Taratibu usije ng'atwa wewe...lol
lol.. Asha.... Asha .......Asha.......Asha,
haya bana, sijui hata nisemaje mie,
wewe mkareeeeeeeeee....................
You always sound good.............
BTW:hebu rudi kule kwenye rangi za ndani utoe majibu, usikimbie ati...............
Really!! sounds good to meUna quote nyiiingi.. but hio defines you Gaga... asante dear..
Bacha Bacha maneno yako mwenyewe yakufurahisha??? ha ha ha
Asante kwa the word Mkareeeeee...lol...
Kumbe umegundua nimekimbia... ha ha ha... ile topic ngum bana!!
usikimbie bana, unaniangusha hivyo...................
I always count on your words..............
rudi bana.......................................
Usivue Gamba bana.... NIMEWEZAJA??? mmh let me see...
Am a person of many talent, I sleep five hours min six max (whether at JF or not)
Threads kwangu si tu kwa kujifurahisha na mzaha, nathamini michango ya kila mmoja..
Zimetoka tu katika Thread zangu tatu, sikutafuta Random...
I love JF especially MMU...
Mkuu Ashadii this is realy special, twajadili kwembe mwenzetu una take note hahahahaa! Bt sijajiona mimi bhana or huwa nalonga pumba teh! Ukiongeza niongeze na mimi bhana, pia mkumbuke mzee mwanakijiji na ngoswe, wapo safi kwa quotes sana!Yes it does sound good and only applies to a person who is full of life!!
Pole GaguMkuu Ashadii this is realy special, twajadili kwembe mwenzetu una take note hahahahaa! Bt sijajiona mimi bhana or huwa nalonga pumba teh! Ukiongeza niongeze na mimi bhana, pia mkumbuke mzee mwanakijiji na ngoswe, wapo safi kwa quotes sana!
Mhhhhhh...Asha mbona unanitisha zaidi?
Hapo kwenye red...ukiombwa mlale zaidi hapo inakuwaje?
usijali mpendwa, nitavipiga mikwara hivi vyuku visiyatotoe.Na hivi nipo kijijini saizi mpaka nifike hakikisha hayajatotolewa...
Mkuu Ashadii this is realy special, twajadili kwembe mwenzetu una take note hahahahaa! Bt sijajiona mimi bhana or huwa nalonga pumba teh! Ukiongeza niongeze na mimi bhana, pia mkumbuke mzee mwanakijiji na ngoswe, wapo safi kwa quotes sana!