Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Wewe ndo unaichakachua eti umfundishe ice cream
Habari yake Valuu bana mambo ya Tip top hayo mie akha simo kabisa
Wewe ndo unaichakachua eti umfundishe ice cream
Sasa unataka kuharibu kabisa hebu soma hapa chini au umechanganya na zile za ID yako nyingine ya nanihiiiiiiiiiiiiiiiiiinooooooooo.......................
Join Date : 16th April 2011
Location : Dar
Posts : 3,047
Thanks 731Thanked 745 Times in 516 Posts
Rep Power : 31
Ngoja nami nikifungua yuzifule sredi ntakuwa sikupaishi hewani LOL
Aisee.... we mtoto mzuri sana....
Nakuombea kwa Mungu akuongezee baioloji nyingine...moja kwa ajili ya kumwaga maji machafu na kufaidi uroda, na nyingine kwa ajili ya kuniletea vitukuu!..............Huyu Ashadii we mwache tu, nikitema mate chini baioloji yake itahamia usoni walahi...mpk aniombe radhi......
Si ndo nashangaa unalalamika speed ni ndogo...lol
Unaniruhusu niongeze kwa kutoa uzi mwingine... sipendi niudhi babu wa kipenzi...lol
Hahahaha...ROFL!OMG.... Ngoja nifanye mambo hata kama nitabaniwa...lol
Never get angry. Never make a threat. Reason with BABU
Mpendwa Babu Asprin,
Dhumuni la ujumbe huu ni kukujuza kua AshaDii ana kiri kufanya makosa
kutomhusisha babu hata kama wlikutania sehemu nyingine ..
Hivyo matumaini yake makubwa utamsamehe!
Natanguliza shukrani...
Mjukuu to be...lol
n.b.. pandisha macho juu
Nimekupata deargreat job tho ....Thanks dear, nina bahati mbaya kila nikirusha uzi hao wawili hawapo, tunashare saana views lakini si katika uzi wangu, Asprin nammendea mjukuu nimejaribu in eveyway nipate quote but Hola!Alafu AD sijapanga tokana na ubora, of course except ya kwanza...lol
Babu babu babuNaomba meza hayo mate ADI ametuma research teamKuleta yako...Aisee.... we mtoto mzuri sana....Nakuombea kwa Mungu akuongezee baioloji nyingine...moja kwa ajili ya kumwaga maji machafu na kufaidi uroda, na nyingine kwa ajili ya kuniletea vitukuu!..............Huyu Ashadii we mwache tu, nikitema mate chini baioloji yake itahamia usoni walahi...mpk aniombe radhi......