MMU Thread Collection - General Topics discussed and posted in the Forum before Sept 2012

Status
Not open for further replies.
Habari wana MMU na JF as whole,

Kutokana na malalamiko ya baadhi ya members na mimi mwenyewe kuunga mkono malalamiko hayo nimeomba kwa mkuu Invisible katika thread ya Ngabu kuweza andaa thread ambayo itakusanya thread zote ili kupunguza idadi ya Stickys ambazo zote zitakuwa katika sticky thread ambayo ni hii nimeandaa.

Nimechukua nafasi kuandaa hii thread ikilenga ku upadate mara kwa mara thread ambazo zimejadiliwa hapa MMU ziwe hazikubaliki ama kukubalika kwa wote mradi ziwe ndani ya yale ambayo yanafanywa katika jamii na kwa namna moja ama nyingine hizo thread in a way ziwe zina elimisha/burudisha/ongeza ufanisi ama uelewa nakadhalia.

Nawaomba wanafamilia wote wa MMU tukumbushane ni thread gani ambazo zinatakiwa ziwe updated katika thread hii. Nilichofanya hapa ni kuchukua links ya thread zote zilizoluwa zimebandikwa hapo na kuongeza nyingine kadhaa ambazo nakumbuka na baadhi ambazo zimekuwa suggested kwa an alternative (pm) na kuziweka hapa.

Naamini na kujua kuwa kuna threads zipo nyingi mno. Hivyo kuna zile kwa wewe kama my fellow member ukiziweka in a post kukumbusha kwa namna moja ama nyingine inakuwa inaturudisha nyuma na kutukumbusha huko. Nitaomba ushirikiano wenu wa dhati katika hili, na natanguliza shukrani kwa ushirikiano wenu.


  1. Utatu wenye utata - umri, pesa na mapenzi - JamiiForums
  2. Mambo ya kuzingatia katika kuchagua mwenza wa maisha - JamiiForums
  3. Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada - JamiiForums
  4. Mwanaume KAMILI - JamiiForums
  5. Tofauti ya umri katika mahusiano na kwa wanandoa (mume na mke) - JamiiForums
  6. Haya huchangia Mwanaume kuwa mchovu kitandani - JamiiForums
  7. Matumizi ya simu katika Mahusiano - JamiiForums
  8. Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi? - JamiiForums
  9. Kwani lazima kuoana? - JamiiForums
  10. Suala la kuwa na imani tofauti linapotatiza taasisi ya ndoa - JamiiForums
  11. My thoughts, what are yours? - JamiiForums
  12. Wajua jinsi ya kumdhibiti mpenzi anayepiga mizinga? - JamiiForums
  13. KITCHEN PARTY BUBU.. Nafasi ya MKE ndani ya NDOA (Kwa wanawake tu!!!) With Love to You Cheusie - JamiiForums
  14. Umuhimu wa chakula katika mapenzi/mahusiano - JamiiForums
  15. Do you feel LOVED? - JamiiForums
  16. NDOA: Zamani vs Siku hizi - JamiiForums
  17. Wazazi/mzazi wa binti - JamiiForums
  18. Tahadhari kwa wanawake walioolewa - JamiiForums
  19. Mafanikio kimaisha - JamiiForums
  20. Mtizamo: Let love lead the way - JamiiForums
  21. To revive 'intimancy' in your marriage - JamiiForums
  22. Eti hatujui... kipimo gani kinatumika? - JamiiForums
  23. Aina za ndoa - JamiiForums
  24. Usha flirt naye sana - JamiiForums
  25. Bi dada... Utafanya nini? Mmeo anatembea na binti wa Salon...! - JamiiForums
  26. Mdahalo: Kids Vs Spouses - JamiiForums
  27. Sisi ndio wanaume bwana! - JamiiForums
  28. Nani kama Mama Vs Nani kama Baba - JamiiForums
  29. In love, its about teamwork - JamiiForums
  30. Jibu kwa The Boss (Nyumba ndogo) - JamiiForums
(Hii thread hii should be a closed one aisee, alter Roulette hebu fanya mambo kama hongo nitakupa)

The guide: Ukishaamua kuwa na 'nyumba ndogo' - JamiiForums (same applies hapa The Boss....:canada:)

  1. Kumwambia mwanamke 'FANYA MAARIFA' - JamiiForums
  2. Zawadi ya ngono - JamiiForums
  3. Mwanaume mtaalamu jikoni - JamiiForums
  4. Can Men and Women Be Friends? - JamiiForums
  5. The best way to breakup. Is there any? - JamiiForums
  6. Kumdhalilisha Mpenzi/Mke/Mme - JamiiForums
  7. The Power of Letting Go.... - JamiiForums
  8. Mawasiliano katika mahusiano - JamiiForums
  9. When Women Take Charge..! - JamiiForums
  10. Mahusiano na Wakwe/Mawifi Nini kifanyike? - JamiiForums
  11. "A man should provide for his wife. PERIOD" - JamiiForums
  12. Mahusiano yanapovunjika, wanawake ndio huumia zaidi...! - JamiiForums
  13. Fumanizi: Kwanini wanawake hupenda kuwalaumu wanawake wenzao? - JamiiForums
  14. Mwanamke: Je, unatafuta mchumba? Fuata kanuni hii hakika utapata mchumba mwenye tabia uzitakazo - JamiiForums
  15. Ulimtambua vipi kuwa huyu ndiye mwenyewe? - JamiiForums
  16. CONFESSION: Madhara ya Vidonge vya Uzazi Wa Mpango - JamiiForums


Take Note:-

Nilikuwa nikienda katika profiles za members mbali mbali ambao nimekumbuka haraka haraka na ku copy links tokana na topic head. Nyingi hapo sijaangalia content hivyo kama haifai tutaambiana tu. It should be noted as plenty as possible zaweza kusanywa. Ilikuwa ziwe kwa mtiririko wa topic name but nikashindwa na hivo kuziweka randomly.

Pamoja Saana with Love,

AshaDii.
lakini uzi wetu wa kula tunda kimasihara upewe ulinzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom