AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Habari wana JF...
Ni wazi kua we have got lives beyond hapa JF.... Na ni wazi kua majukumu ni mengi katika jamii ambayo kwa kweli mara nyingi ndio first priorities katika maisha yetu kuliko hata hapa Jamvini... However inapotokea kua Members ambao ni wanafamilia wa hapa MMU wamepotea kitambo... Kuna baadhi ya members hasa sie wanafamilia wa MMU (Mfano mimi) hutokea kwamba Tumewa MISS.... Nyie watu (wanafamilia ya MMU) Popote kule mlipo msitegemee kukaa kwenu kimya basi na rohoni na akilini kwetu hampo!!! ACHENI kutesa mioyo yetu na agalau mtutembelee walau hata post moja tu kwa Week kuhakikisha kua kweli ni wazima wa Afya na kwamba Mwaendelea vizuri... Hivo basi naomba nitaje baadhi ya ambao nimewakumbuka kwa mda huu.... Wale ambao nimesahau kutaja naomba fellow members tukumbushane... Walau waelewe kua We REALLY MISS THEM..... (At lease I do...)
Naamini ni wengi na wengine nimewasahau... Ama siwafahamu tokana na Ukweli kua MMU haijaanza juzi... I repeat Members wengine tutasaidiana kukumbushana (kwa wataopenda)
(This Post has been written with Lots of Love.....)
Pamoja Saana
AshaDii.
Ni wazi kua we have got lives beyond hapa JF.... Na ni wazi kua majukumu ni mengi katika jamii ambayo kwa kweli mara nyingi ndio first priorities katika maisha yetu kuliko hata hapa Jamvini... However inapotokea kua Members ambao ni wanafamilia wa hapa MMU wamepotea kitambo... Kuna baadhi ya members hasa sie wanafamilia wa MMU (Mfano mimi) hutokea kwamba Tumewa MISS.... Nyie watu (wanafamilia ya MMU) Popote kule mlipo msitegemee kukaa kwenu kimya basi na rohoni na akilini kwetu hampo!!! ACHENI kutesa mioyo yetu na agalau mtutembelee walau hata post moja tu kwa Week kuhakikisha kua kweli ni wazima wa Afya na kwamba Mwaendelea vizuri... Hivo basi naomba nitaje baadhi ya ambao nimewakumbuka kwa mda huu.... Wale ambao nimesahau kutaja naomba fellow members tukumbushane... Walau waelewe kua We REALLY MISS THEM..... (At lease I do...)
- Michelle
- Eiyer
- Gaga (I kno u ar fine but jamvini sijakuona mda)
- Stevie Dii
- Mestod
- Bacha
- CPU
- Lizzy
- Gagurito
- Manumbu
- Pearl
- Belinda Jacob
- Magulumalu
- Mentor
- First Lady
- Zion Daghter
- Maty (simuoni kabisa naona tu likes...lol)
- Dinnah
- Kbd
- Rev Masanilo
- Cheusi Mangala (thou she is back)
- Okada
- Elia
- Sharohiphop
- Aisha Adam
- Samora10
- Vikwazo
- The Dirty Paka
- Madabwada
- KonaKali
- Mayassa
- Kaka Mpendwa
- Fixed Point (thank God tumemuona)
- Kaka Mpendwa
- Memo
- Woman of Substance
- Mohammed Shossi
- Nnunu
- Maria Roza
- Nyamayao
- Suzy
- Mkwaruzo
- Yeshua Harmaleck
- Prodigy Son
- Young Corporate
- Journe Gwalu (wee jamaa upo but kwa manati mno)
- Carmel
- Smiles
- Pauline
- Wilbard (Unakuja unaishia nje... MMU needs u)
- Son of Alaska
- Senti 50
- Mynameisyourname
Naamini ni wengi na wengine nimewasahau... Ama siwafahamu tokana na Ukweli kua MMU haijaanza juzi... I repeat Members wengine tutasaidiana kukumbushana (kwa wataopenda)
(This Post has been written with Lots of Love.....)
Pamoja Saana
AshaDii.