Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,831
Ndugu zanguni wana MMU nawasalimuni salamu za upendo wa dhati kabisa.NAWAPENDA SANA.
Jamani hapa mtaani kwetu kuna dada mmoja alikuwa na mpenzi wake wakaachana, lakini siku za jirani kapata katoto ka Kiarabu.
Kaarabu hako kakamwambia yule mdada apunguze tumbo,m dada mbiombio akaenda kwa Wamasai.
Wamasai wakampa dawa na maelekezo namna ya kutumia.
Mdada kanywa dawa hiyo jioni baada ya kutoka kazini. Dada kaharisha usiku kucha na mpaka asubuhi akawa ameishiwa na maji kabisa mwilini,
walipo mpeleka hospitali akafa madaktari wakiwa kwenye heka heka za kumuwekea drip.
Jamani bora tutumie njia nyingine kuliko hiyo mijidawa.
Nawatakieni siku njema.
Jamani hapa mtaani kwetu kuna dada mmoja alikuwa na mpenzi wake wakaachana, lakini siku za jirani kapata katoto ka Kiarabu.
Kaarabu hako kakamwambia yule mdada apunguze tumbo,m dada mbiombio akaenda kwa Wamasai.
Wamasai wakampa dawa na maelekezo namna ya kutumia.
Mdada kanywa dawa hiyo jioni baada ya kutoka kazini. Dada kaharisha usiku kucha na mpaka asubuhi akawa ameishiwa na maji kabisa mwilini,
walipo mpeleka hospitali akafa madaktari wakiwa kwenye heka heka za kumuwekea drip.
Jamani bora tutumie njia nyingine kuliko hiyo mijidawa.
Nawatakieni siku njema.