MMU EXCLUSIVE INTVW IJUMAA @Mtambuzi kufunguka how he is KEEPING IT REAL in Marriage for 10 YEARS!

Naomba kufahamu unapataje hao watu unawaalika kwa interview??mchakato unakuwaje??isije ikawa watu wanahonga??tunataka uwaziiiiii????

Hahahaaaaa! KASHFA YA UFISAD MAPEMA YOTE HII!!!!!!!!!!! Zinduna unaitwa huku! Mbona waungwana hamna jema walakini!!!!!!!!!!

Mchakato uko hivi!

1.Tunatafuta topic interesting kama hiyo ya kesho

2.Tunaangali nani atafaa kujibu tuhumu willingly n yet bado awe entartaining.

3.Tunamualika na kumuomba acomfirm kama atashiriki bila shinikizo na hatoboa hadhira!

4. Akikubali tunamuuliza personal issues au chochote asichotaka kuulizwa juu ya topic, then we are good to go!!!!!

Maadam umeuliza kuna topic kama 3 hivi nzuri sana ila hazijapata Mgeni, kama kuna mtu interested kualikwa kuja kujibu plus ana uelewa/experiance na hiyo topic so that we can learn from him/her

Topic zenyewe

1. Keeping it together while going through a painfull Divorse after ---- number of years! (Giving it all away! The heart can hold on no longer!)

2. Challanges of raising your son/daughter with your partner who is not the real parent of the child. (step daughter/son)

3. Finding New Love after disapointments and heart break of a painfull marriage.

Anaetaka kufunguka na kushare na wenzie basi afanye ku PM tu tuangalie uingie lini kwenye ratiba! TOENI USHUHUDA wenzenu wajifunze.

Hata kama una interesting topic, jst PM na ungependa kuwa guest.
 
Last edited by a moderator:
he heeeeeeeeeeee, afadhali..... hiyo kesho natamani ingekuwa leo.
ujiandae pia kutuambia analysis zako za sura na tabia za watu.......
mi nimeona picha moja inafanana kabisa na mimi lakini tabia ni opposite kabisa....... unalo hilo rafiki.
maandalizi mema
 
Cant wait kwakweli,atatueleza siku hiyo jinsi ya kutambua sura original na za kukodi aka mkorogorized
 
Nashukuru kwa ufafanuzi ila topic zako zote ngumuuuuu!!!!!Ngoja waje wazoefu wakuPM
Hahahaaaaa! KASHFA YA UFISAD MAPEMA YOTE HII!!!!!!!!!!! Zinduna unaitwa huku! Mbona waungwana hamna jema walakini!!!!!!!!!!

Mchakato uko hivi!

1.Tunatafuta topic interesting kama hiyo ya kesho

2.Tunaangali nani atafaa kujibu tuhumu willingly n yet bado awe entartaining.

3.Tunamualika na kumuomba acomfirm kama atashiriki bila shinikizo na hatoboa hadhira!

4. Akikubali tunamuuliza personal issues au chochote asichotaka kuulizwa juu ya topic, then we are good to go!!!!!

Maadam umeuliza kuna topic kama 3 hivi nzuri sana ila hazijapata Mgeni, kama kuna mtu interested kualikwa kuja kujibu plus ana uelewa/experiance na hiyo topic so that we can learn from him/her

Topic zenyewe

1. Keeping it together while going through a painfull Divorse after ---- number of years! (Giving it all away! The heart can hold on no longer!)

2. Challanges of raising your son/daughter with your partner who is not the real parent of the child. (step daughter/son)

3. Finding New Love after disapointments and heart break of a painfull marriage.

Anaetaka kufunguka na kushare na wenzie basi afanye ku PM tu tuangalie uingie lini kwenye ratiba! TOENI USHUHUDA wenzenu wajifunze.

Hata kama una interesting topic, jst PM na ungependa kuwa guest.
 
Hahahaaaaa! KASHFA YA UFISAD MAPEMA YOTE HII!!!!!!!!!!! Zinduna unaitwa huku! Mbona waungwana hamna jema walakini!!!!!!!!!!

Mchakato uko hivi!

1.Tunatafuta topic interesting kama hiyo ya kesho

2.Tunaangali nani atafaa kujibu tuhumu willingly n yet bado awe entartaining.

3.Tunamualika na kumuomba acomfirm kama atashiriki bila shinikizo na hatoboa hadhira!

4. Akikubali tunamuuliza personal issues au chochote asichotaka kuulizwa juu ya topic, then we are good to go!!!!!

Maadam umeuliza kuna topic kama 3 hivi nzuri sana ila hazijapata Mgeni, kama kuna mtu interested kualikwa kuja kujibu plus ana uelewa/experiance na hiyo topic so that we can learn from him/her

Topic zenyewe

1. Keeping it together while going through a painfull Divorse after ---- number of years! (Giving it all away! The heart can hold on no longer!)

2. Challanges of raising your son/daughter with your partner who is not the real parent of the child. (step daughter/son)

3. Finding New Love after disapointments and heart break of a painfull marriage.

Anaetaka kufunguka na kushare na wenzie basi afanye ku PM tu tuangalie uingie lini kwenye ratiba! TOENI USHUHUDA wenzenu wajifunze.

Hata kama una interesting topic, jst PM na ungependa kuwa guest.


Hiyo topic ya kwanza napendekeza Mbu na MwanajamiiOne kwa pamoja
au mmoja wapo hasa MBU..but pamoja watapendeza since ndio cuople ya MMU
yenye aka kabisa 'soulmates'....wakikubali itapendeza mno....wajaribu..
 
Last edited by a moderator:
Nikigeneralize experience yangu haitakuwa fair...kwa maadili ta kitabibu (medical ethics), Daktari haruhusiwi kuwa na mahusiano ya ki'mapenzi au kingono' na mgonjwa wake...so naamini maDaktari wengi hawafanyi hivyo mnavyodhani! Tatizo ni hulka ya kike kupenda mtu anayemjali (si lazima kimapenzi), na Daktari akijali basi anapendwa (si lazima kimapenzi)...basi wivu unawajaa tele!

kweli Kabisa Dk Riwa
 
Last edited by a moderator:
mbona muda mbaya huo. sis ma bankteller hatuwezi kuwa online mida hiyo!

We unapendekeza mda gani, ili tukifanya maboresho ya kipindi uzingatiwe! Wengine MAFISADI PAPA/ NYANGUMI watu tuko JF 24/7 na twala na kulala mjini hapa kama si UFREEMANSON/CHUMA ULETE ni nini zaidi!?
 
Nikigeneralize experience yangu haitakuwa fair...kwa maadili ta kitabibu (medical ethics), Daktari haruhusiwi kuwa na mahusiano ya ki'mapenzi au kingono' na mgonjwa wake...so naamini maDaktari wengi hawafanyi hivyo mnavyodhani! Tatizo ni hulka ya kike kupenda mtu anayemjali (si lazima kimapenzi), na Daktari akijali basi anapendwa (si lazima kimapenzi)...basi wivu unawajaa tele!


ili niamini hilo naomba uanze kunijali loh........(@asprin usipite pande hii)
 
Back
Top Bottom