Mmoja wa Wagombea Urais 2015 ahusishwa na Mgomo wa Madaktari?

Another pezzonovante! siku hizi kama Sio Lowasa basi ni Chadema!

Mwacheni Mmeru wa watu nae aishi kwa amani jamani...Khaaaa
 
JK hajawasaidia waislam wala hatuhitaji msaada mkuu tunataka hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...(please get your facts)

EL amewasaidia sana wakristo maana yeye ndio aliyeandaa MoU (richmond no.1) ya makanisa na serikali kafanya tricks kama za Richmond safari hii ikamuondoa kwa aibu kubwa shenzzzzzzzzzi
Mkuu hatuna sababu ya kubishana maana nilichoandika ni kwamba JK hawasaidii waislaam. Kuhusu Lowassa pamoja na kwamba ndiye muasisi wa mpango mzima wa elimu na Afya nchini hawasaidii pia wakristu maana umeona matokeo ya mgomo watu wanashabikia bila kujua athari zake...Hata huo muafaka watu wanaushangilia pia bila kujua madhara yake ndio maana maradhi yamezidi nchini na wanafunzi wanazidi kushindwa mitihani kwa asilimia kubwa kupita wakati wowote...

Sasa tukiendeleza siasa hizi za Udini kiasi kwamba unambie Mkandara inakubidi uchague upande, mkuu wangu nitawaacha mlipo maana najua nachagua upande wa JK au Lowassa ambao wote ni bogus..Hivi umesahau kwamba Lowassa alishiriki sana kuiangusa CUF bara na walipohakikisha imekufa bara wakaingia kwa Chadema nako wameisha hakikisha Chadema haiwezi kupata kura za waislaam hivyo kazi yao ya kuwamaliza upinzani imekwisha, sasa wanarudi ktk vita yao wenyewe ndani kutafuta mritihi wa JK pengine hata kumwondoa kabla ya wakati wake. wana Chadema wanisome vizuri kabisa kwamba itakuwa kazi kubwa sana kupata kura za waislaam na hakuna sababu zaidi ya Udini uliopo na CCM wamehakikisha dhana hiyo imeshika makali yake. Waislaam wengi wahataki hata kusikia jina la Chadema kama ilivyokuwa CUF mwaka 2005.

Nakubaliana na watu wengi kwamba JK hafai kabisa, hakuna kitu kina run smooth bali ni ufisadi mtupu kwa kwenda mbele. Alishindwa vipi kutosaini muswada wa katiba kwa hofu ya wanaCCM lakini ameweza kutosaidi posho za wabunge za kukaa!....si anawaogopa wabunge wa CCM mbona kaacha hilo! - Hata hivyo fikra za kumwondoa JK na kumweka Lowassa kama mrithi? dah hapo tena nawaachia na siasa zenu, na bahati mbaya zimejijenga ktk msingi wa udini ila nitaendelea kulaani vitendo hivi toka pande zote mbili.

Nimechukua muda mrefu sana kufikia kuamini siasa za Udini kutumika na nadhani ulinambia sii mara moja wala mara mbili lakini sikuamini. Maadam sasa hivi ninazo taarifa za ndani zaidi kuhusu watu wengi wanaolamba miguu ya hawa watu ili mambo yao yafanikiwe ndipo niliposhika tama na kubakia mtupu.. Kuhusu Mbowe, Zitto na Mnyika kusema kweli sina taarifa hizo lakini najua hata wao wanaangaliwa kwa ukaribu zaidi na siasa za CCM ktk Udini wamesimama upande gani..
 
Mkuu hatuna sababu ya kubishana maana nilichoandika ni kwamba JK hawasaidii waislaam. Kuhusu Lowassa pamoja na kwamba ndiye muasisi wa mpango mzima wa elimu na Afya nchini hawasaidii pia wakristu maana umeona matokeo ya mgomo watu wanashabikia bila kujua athari zake...Hata huo muafaka watu wanaushangilia pia bila kujua madhara yake ndio maana maradhi yamezidi nchini na wanafunzi wanazidi kushindwa mitihani kwa asilimia kubwa kupita wakati wowote...

Sasa tukiendeleza siasa hizi za Udini kiasi kwamba unambie Mkandara inakubidi uchague upande, mkuu wangu nitawaacha mlipo maana najua nachagua upande wa JK au Lowassa ambao wote ni bogus..Hivi umesahau kwamba Lowassa alishiriki sana kuiangusa CUF bara na walipohakikisha imekufa bara wakaingia kwa Chadema nako wameisha hakikisha Chadema haiwezi kupata kura za waislaam hivyo kazi yao ya kuwamaliza upinzani imekwisha, sasa wanarudi ktk vita yao wenyewe ndani kutafuta mritihi wa JK pengine hata kumwondoa kabla ya wakati wake. wana Chadema wanisome vizuri kabisa kwamba itakuwa kazi kubwa sana kupata kura za waislaam na hakuna sababu zaidi ya Udini uliopo na CCM wamehakikisha dhana hiyo imeshika makali yake. Waislaam wengi wahataki hata kusikia jina la Chadema kama ilivyokuwa CUF mwaka 2005.

Nakubaliana na watu wengi kwamba JK hafai kabisa, hakuna kitu kina run smooth bali ni ufisadi mtupu kwa kwenda mbele. Alishindwa vipi kutosaini muswada kwa hofu ya wanaCCM lakini ameweza kutosaidi posho za kukaa....si anawaogopa CCM mbona kaacha hilo! Hata hivyo fikra za kumwondoa JK na kumweka Lowassa kama mrithi? dah hapo tena nawaachia na siasa zenu, na bahati mbaya zimejijenga ktk msingi wa udini ila nitaendelea kulaani vitendo hivi toka pande zote mbili.

Nimechukua muda mrefu sana kuamini siasa za Udini kutumika na nadhani ulinambia sii mara moja wala mara mbili lakini sikuamini. Maadam sasa hivi ninazo taarifa za ndani zaidi kuhusu watu wengine wanaolamba miguu ya hawa watu ili mambo yao yafanikiwe ndipo niliposhika tama na kubakia mtupu.. Kuhusu Mbowe, Zitto na Mnyika kusema kweli sina taarifa hizo lakini najua hata wao wanaangaliwa kwa ukaribu zaidi na siasa za CCM wamesimama upande gani..

Mkuu tatizo siyo JK wala EL; tatizo ni watu wenyewe kukubali kupelekwa pelekwa na wajinga fulani meaning wanasiasa tena wasio na upeo mkubwa..

Sawa mkuu hata mimi sidhani kama nina upande wowote lakini kama mtu atatumia chuki zake dini kutosema ukweli kuhusu JK nitamtetea; at least hana madhara kwa waislam na nchi japo hana faida kwa yeyote ile...

Hao wengi wanania kabisa ya kudhuru uislam na waislam I will never support them, labda habari zangu za uchunguzi zitoe picha tofauti ..time will tell..
 
Kuna siku tutaambiwa kuwa aliyeleta mgomo ni cardinali Pengo
Mkuu lisemwalo lipo maadam hawakusema ni Kardinal Pengo basi haikuwepo..Jiulize kwa nini iwe Lowassa na sio Kardinal, Anna Kilango au Sheikh Ponda!..Unasema madaktari sio cheap mbona wanadai posho na kuwaacha watu wafe - kuna U cheap zaidi ya hilo..
 
Mkuu lisemwalo lipo maadam hawakusema ni Kardinal Pengo basi haikuwepo..Jiulize kwa nini iwe Lowassa na sio Kardinal, Anna Kilango au Sheikh Ponda!..Unasema madaktari sio cheap mbona wanadai posho na kuwaacha watu wafe - kuna U cheap zaidi ya hilo..
I use to respect you a lot but now I am worried

If you are good reader or follower, the cause of all this ni dharau, intimidation, and silly pride... By the government. And take note that they were not looking for posho but rights

would U wake up three in the morning being paid nine hundred dollars a month (gross) and run twenty kilometers to save a drunkard or anyone for seven dollars a night? And when you ask unaambiwa ni wito?

My bro, you don't know shit about ADHA of being a doctor in bongo, and you better be quiet sometimes coz you are one of those similar to the former French queen

Some leave the country and thinks its ok, but other remained and claimed their stake....

Take this note, if they were cheap, Chadema offer was more handsome, and just for your information.... Lowasa is not a doctors darling since long

And the drivers for change this time were not old people... It was the the new blood we never used to care in the field

Kusema doctors ni cheap ni dharau to the highest magnitude noting that w always call kuomba msaada sijui kuna mamayangu, bibi yangu, mjomba wangu, oh naomba msaada mkuu, nakutegemea wewe tu hapo bugando..... OMG

Take that and you may shove it up your anything
 
I use to respect you a lot but now I am worried

If you are good reader or follower, the cause of all this dharau, intimidation, and silly pride... By the government. And take note that they were not looking for posho but rights

would U wake three in the morning being paid nine hundred dollars a month (gross) and run twenty kilometers to save a drunkard or anyone for seven dollars a night? And when you ask unaambiwa ni with?

My bro, you don't know shit about ADHA of being a doctor in bongo, and you better be quiet sometimes coz you are one of those similar to the former French queen

Some leave the country and thinks its ok, but other remained and claimed their stake....

Take this note, if they were cheap, Chadema offer was more handsome, and just for your information.... Lowasa is not a doctors darling since long

And the drivers for change this time were not old people... It was the the new blood we never used to care in the field

Take that and you may shove it up your anything
Bro I'm sorry! dont need your respect simply because I have to aligned with doctors claim..This kind of unsuspected interstellar law doesn't work with me so take back your respect.

Mkuu, if those doctors value their service in dollars why in the hell did they signed the contact? wewe umeshaambiwa utapewa dollar 900 kwa nini umechukua kazi ile as if value of serving life..sasa mimi au Lowassa kutokuwa madaktari ndio inamwondoa ktk kuelewa matatizo ya madaktari, halafu the same doctors ask and expect the govenment to solve their problems..hao huko walikuiwa madaktari au?

Hii akili ya Kibongo kufikiria kwamba matatizo ya daktari anayajua daktari, hivyo waziri wa Afya lazima awe daktari humuoni kama ni ujinga mkubwa kuamini admin pia inahusiana na Udaktari..U may call me names lakini haiondoi ukweli kwamba wewe daktari bingwa ulienda kuomba elimu ukapewa bure kisha ukaambiwa kazi yako malipo ya mshahara wako ni huu, hali yetu ktk hospitali zetu ni hizi na unajua matatizo yote kabla hujaingiza mguu wako, ukubali na kuweka saini kukubali mashatri hayo... Umefanya kazi huoni mafao jikate!...Badala ya kupanga kwa pamoja walk out ungeweza kabisa kwenda kutafuta kazi private Hospitals au kuacha profession hiyo mbona sisi tumeacha profession zetu tunabeba mabox? ndio Ubepari huo mkuu wangu. Mbebwe kwa sababu ati mmesoma!

Kibaya zaidi hamuwezi kushinikizwa kuwaacha wagonjwa kama humanshield ili matakwa yenu yasiklilizwe hii sio Iraq wala Afghanstan. Mnaua watu makusiudi kwa sababu mnadai haki zenu wakati mahakama zipo, bunge lipo, rais yupo kwa nini msiingia Ikulu bila kualikwa.. na tumewasikia toka mwanzo mkibadilisha madai kila siku pale mnapoona mnakosea mnarekebisha kesho. Mwanzo wa madai yenu ilikuwa posho za vikao kama wabunge, tulipowasema mkabadilisha kuwa hali ya kazi.. Wewe mwajiriwa hutaki mazingira hayo acha lakini sio kumwacha mgonjwa asitibiwe. Nimefiwa na jamaa yangu kutokana na mgomo huu hivyo hata wewe hujui uchungu wa kuondokewa na jamaa yako wakati angeweza kabisa kuponeshwa ati sababu ya kudai haki yako! siwaungi mkono nyie wala hiyo serikali maana nyote mnachokitaka ni kodi ya mwananchi kuingia mifukoni mwenu.
Hii ni nooo! noo! huwezi kuyarudisha maisha yake kwa thamani yoyote ya fedha inayoipata.. Mkuu niheshimu usiniheshimu hainipunguzii kitu.
 
@mkandara

Nimewachallenge hao madaktari tangu mwanzo kwamba hayo madai yao ni illusions hakuna serikali inaweza kutekeleza immediately kwasababu kiuchumi hawako realisitc..

Ningependa madaktari wote wasiorizika na mshahara wa serikali na marupurupu yake waache kazi watafute either private au wajenge hospitali zao binafsi (wanaweza kuchukua mkopo benki) walipane kama wapendavyo..

Hili litasaidia sana serikali kutafakari na kupandisha maslahi yao kwasababu wengi wangekuwa hawataki kwenda goverments hospitals lazima wangefanya maarifa..

Lakini wanajua kwamba hilo haliwezekani siyo private wala kwa wao kujenga hospitali wametumia human shield kuongeza mapato yao

Nafikiri kuna haja ya kuingia bond na wanaosomea udakatari kwa pesa za umma wafanye kazi not less thn five yrs kwa mshahara wa serikali then baada ya hapo anaruhusiwa kwenda ndani au nje ya nchi..
 
Halafu unakuja na hoja eti jukwaa la siasa halina mvuto siku hizi,limejaa udini,wakati mwenyewe ndiye unaongoza kwa posts za udini
 
Halafu unakuja na hoja eti jukwaa la siasa halina mvuto siku hizi,limejaa udini,wakati mwenyewe ndiye unaongoza kwa posts za udini
Kwa hiyo kupinga MuO na CSSC ni Udini?..lakini hukubali kupinga OIC kama ni udini isipokuwa ni uzalendo sio?..
 
Kwa hiyo kupinga MuO na CSSC ni Udini?..lakini hukubali kupinga OIC kama ni udini isipokuwa ni uzalendo sio?..

OIC iko wapi kwenye hii thread?Ianzishie thread yake basi kama vipi.Jadili issues kwa facts mkuu acha hisia.Embu ona unavyomshambulia Lowasa,eti chanzo cha mgomo wa madaktari,kweli?facts ziko wapi?MTM kakufafanulia vizuri kuhusu chanzo cha mgomo mpaka ukafikia ulipofikia na huitaji kuwa na udokta kama wa Bilal kukubaliana na ukweli huo
 
Hi habari ni sehemu ya Minyukano ya Kisiasa kati ya Mahasimu wawili wa Kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Yatazuka mengi sana ya kweli na yasiyo ya kweli ili kuchafuana Kisiasa kati yao. Lakini ukweli unabaki palepale CCM hawastahili tena kuwa Madarakani. Nasema hivi kwa sababu kila dalili zinaonyesha kwamba hali kwao ni mbaya mno mpaka wamefikia hatua ya kunyukana wenyewe kwa wenyewe. Bahati nzui Watanzania wengi sasa wameanza kutambua ukweli kwamba hawa jamaa hawafai. Ndio maana hata katika Chaguzi zao wanatumia mamilioni ya pesa kuhonga wapiga kura ili washinde. Ndani ya CCM kuna vijana kama wanne hivi ambao wako very smart yaani hupenda kusimamia ukweli kwenye masuala yenye Maslahi ya Taifa lakini kamwe hawawezi kuonekana usafi wao kutokana na kuzungukwa na Watu wachafu wenye kujali maslahi yao binafsi kuliko maslahi ya Taifa. Waswahili husema samak akioza mmoja kwenye tenga basi hakuna aliyesalimika. Nawashauri Vijana wenzangu mlio safi ndani ya CCM huko sio mahali mnapostahili kuwepo kana mna dhamira ya dhati kuleta maendeleo ya Taifa letu.
NINA HAKIKA MESSAGE SENT!!!
 
Bro I'm sorry! dont need your respect simply because I have to aligned with doctors claim..This kind of unsuspected interstellar law doesn't work with me so take back your respect.

Mkuu, if those doctors value their service in dollars why in the hell did they signed the contact? wewe umeshaambiwa utapewa dollar 900 kwa nini umechukua kazi ile as if value of serving life..sasa mimi au Lowassa kutokuwa madaktari ndio inamwondoa ktk kuelewa matatizo ya madaktari, halafu the same doctors ask and expect the govenment to solve their problems..hao huko walikuiwa madaktari au?

Hii akili ya Kibongo kufikiria kwamba matatizo ya daktari anayajua daktari, hivyo waziri wa Afya lazima awe daktari humuoni kama ni ujinga mkubwa kuamini admin pia inahusiana na Udaktari..U may call me names lakini haiondoi ukweli kwamba wewe daktari bingwa ulienda kuomba elimu ukapewa bure kisha ukaambiwa kazi yako malipo ya mshahara wako ni huu, hali yetu ktk hospitali zetu ni hizi na unajua matatizo yote kabla hujaingiza mguu wako, ukubali na kuweka saini kukubali mashatri hayo... Umefanya kazi huoni mafao jikate!...Badala ya kupanga kwa pamoja walk out ungeweza kabisa kwenda kutafuta kazi private Hospitals au kuacha profession hiyo mbona sisi tumeacha profession zetu tunabeba mabox? ndio Ubepari huo mkuu wangu. Mbebwe kwa sababu ati mmesoma!

Kibaya zaidi hamuwezi kushinikizwa kuwaacha wagonjwa kama humanshield ili matakwa yenu yasiklilizwe hii sio Iraq wala Afghanstan. Mnaua watu makusiudi kwa sababu mnadai haki zenu wakati mahakama zipo, bunge lipo, rais yupo kwa nini msiingia Ikulu bila kualikwa.. na tumewasikia toka mwanzo mkibadilisha madai kila siku pale mnapoona mnakosea mnarekebisha kesho. Mwanzo wa madai yenu ilikuwa posho za vikao kama wabunge, tulipowasema mkabadilisha kuwa hali ya kazi.. Wewe mwajiriwa hutaki mazingira hayo acha lakini sio kumwacha mgonjwa asitibiwe. Nimefiwa na jamaa yangu kutokana na mgomo huu hivyo hata wewe hujui uchungu wa kuondokewa na jamaa yako wakati angeweza kabisa kuponeshwa ati sababu ya kudai haki yako! siwaungi mkono nyie wala hiyo serikali maana nyote mnachokitaka ni kodi ya mwananchi kuingia mifukoni mwenu.
Hii ni nooo! noo! huwezi kuyarudisha maisha yake kwa thamani yoyote ya fedha inayoipata.. Mkuu niheshimu usiniheshimu hainipunguzii kitu.

its ok...

but kuita doctors cheap is rather dispectful to the people who have given their all for years under everything you know or dont know. i lost my blood uncle on day 1 of the mgomo....

congrats, but they say... usinunue ndizi kwa hitma ya jirani
 
OIC iko wapi kwenye hii thread?Ianzishie thread yake basi kama vipi.Jadili issues kwa facts mkuu acha hisia.Embu ona unavyomshambulia Lowasa,eti chanzo cha mgomo wa madaktari,kweli?facts ziko wapi?MTM kakufafanulia vizuri kuhusu chanzo cha mgomo mpaka ukafikia ulipofikia na huitaji kuwa na udokta kama wa Bilal kukubaliana na ukweli huo
achana nae huyo.... hajui kuwa matatizo yalianzia wakati yule mama anatangaza kazi bila kufuata taratibu, majibu ya dharau, kuhamisha watu wakiwa darasani na barua za vitisho, na kila walipokua reminded ndio kama alizidisha, kuna wakati alifikia kutoa kashfa, na akaanza kuburuza kila mtu

she went on, huku mponda akimegewa vibahasha na kukaa - kwenye hadi admin, promotion, placement, kila sehemu kavuruga, she wasnt patient, karibia kila program pale aliichokonoa bila kuangalia long term effects

walichakachua bajeti ya wizara, vibaya sana tu... sikika tried to do something lakini wakazimwa pia

and sadly, when it came to simple madai, tena haki yao, akavuka mpaka

we are losing doctors and other health care professionals because of less than 10 people who frustrate the system to be comfortabel etc.

hayo ya MOU sitaki kuingia kwani ni thread nyingine, lakini tukumbuke kwamba 40% ya health services ziko kwa FBO na kwangu mimi ile MOU ni tool nzuri sana ya government control to churches facilities kwasababu they can send their staffs (watu wao) huko kufanya kila kitu, ni health facilities zinazofuata government system, hivi nani kwenye private sector anafuata government system ya health care delivery???

If you look at it in a business perspective, ile ni service agreement, and the government is not paying service charges, it is paying its own overheads in maintaining is service level agreement with the vendor...

its all build around objectives za waliotutawala mwanzo... mmoja alikuja kuchukua, mmoja akajua akichukua bila kuweka huduma haitakua nzuri.... MYOPIC MINDS WILL NEVER REALIZE
 
Joka la Mndimu hilo na kutapatapa.

Hata kama ana nguvu gani huyo Lowassa, siye aliyepanga mshahara wa madaktari uwe kiduchu, posho za dharura ziwe kiduchu, madaktari kukosa nyumba, Blandina Nyoni na Haji Mponda kuwajibu hovyo, Kikwete na Pinda kuwakwepa kwa wiki tatu.......yote hayo ili tu wapate nafasi ya kugoma kumfurahisha Lowassa na Rostam.

Za kuambiwa changanya na za kwako.

Habari hizi siyo ngeni. Hao jamaa walipokuwa wanakutana posho za vikao vyao na gharama nyingine alikuwa analipa Edward Lowassa na mashuhuda na wapambe wake wanajua hilo.
 
Siyo gazeti la udaku, hli ni gazeti kama mengine. Hizi taarifa ni za kweli kwa maana kuna watu wake wa karibu pia wanayasema haya haya. Lowasa na rostam wanamtingisha Kikwete sasa hivi. Wanalipiza kisasi Kikwee kuwaponza
Ondoeni upuuzi wenu nyie, msiwafanye madaktari hawawezi kupanga na kuamua mambo yao mpaka washawishiwe na hao mafisadi wenu!
 
jamani! Jamani! Jamani! Kwanini tusiangalie mada? Kwani madai ya hao madakitari si sahihi/kweli? au mnataka kutuambia madaktari wetu hawajui haki zao mpaka huyo lowasa awapiganie? Mimi sijui bana, wasihusishe mgomo huu na mamabo ya kisiasa?

tumia akili wewe maDR wanalipwa chini na wanajua haki zao sawa.... lakini je kuna tatizo gani ikiwa Mh Lowassa mbunge wa Monduli mtafuta Urais kwa nguvu na mwenye kufaidika zaidi na kufeli kwa kikwete kiuongozi akitumia umafia, mtandao wake na fedha kuuainisha huu mgomo...hapa sina uhakika kama ni yeye 100% ila sitoshangaa akihusishwa kama vile alivyotuhujumu kwenye umeme (na bado tutakaa gizani tukiwa tunaelekea uchaguzi wa 2015 kwa sababu za kijinga zisizoeleweka ili mnene huyu apate points za kumsaidia urais) na ninauona mkono wake katika matatizo ya Ewura na waagizaji mafuta ili kuinterupt supply ya nishati hiyo muhimu na kupandisha bei za vitu haswa mikoani.(kwani hii Ewura ilikua haijui kwamba mafuta yanapanda na kushuka kwenye soko la dunia kabla ya mwaka jana? zote siasa za mh EL)
 
Back
Top Bottom