GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,869
Nimebahatika Kusikilizishwa 'Kiduchu' aliyoyasema ( kwani ni Kipindi kilichorekodiwa ) na kitaruka leo Jumatatu Saa 3 Kamili Usiku na kwa nilivyomsikia ni wazi Mzee Warioba kuhusiana na Suala la Katiba mpya ni kama vile kaamua 'Kujilipua' na kwamba kama noma na iwe noma tu.
Tafadhali natoa Angalizo mapema tu kuwa Mzee wa Watu kwa yale mtakayoyasikia juu ya shauku yake pia kutaka Katiba Mpya siyo muanze 'Kumchukia' na kuona si mwana CCM au hampendi 'Mama' bali Maoni yake yaheshimiwe mno.
Nawapenda sana Wazee wasiokuwa Wanafiki, Waoga na siyo Watu wa Kujipendekeza na kuwa 'Chawa' kwa Viongozi ( Watawala ) kama akina Mzee Warioba, Butiku na hata Msekwa bila Kuwasahau wengine wachache kama Mimi pia Mzee Mtarajiwa GENTAMYCINE.
Tafadhali natoa Angalizo mapema tu kuwa Mzee wa Watu kwa yale mtakayoyasikia juu ya shauku yake pia kutaka Katiba Mpya siyo muanze 'Kumchukia' na kuona si mwana CCM au hampendi 'Mama' bali Maoni yake yaheshimiwe mno.
Nawapenda sana Wazee wasiokuwa Wanafiki, Waoga na siyo Watu wa Kujipendekeza na kuwa 'Chawa' kwa Viongozi ( Watawala ) kama akina Mzee Warioba, Butiku na hata Msekwa bila Kuwasahau wengine wachache kama Mimi pia Mzee Mtarajiwa GENTAMYCINE.