Panga La Shaba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 209
- 68
Lazaro Nyalandu anatokea Singida!
Kwa mujibu wa gazeti la Dira , inadaiwa, kuwa kuna waziri katika Wizara ya Viwanda na Biashara mwenye uraia wa Marekani. Kwamba Waziri huyo anatumia hati mbili za kusafiria. Pichani kushoto ni Waziri Cyril Chami na kulia ni Naibu wake Lazaro Nyalandu.
Gavana bilali naye pia alikua mmarekani