Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
kumbe bado hujaguswa? kwetu tigo inasumbua huna mtandao wa Airtel au zantel uweke hapa nikupigie usiku
kuhusu wa mkataba niliahirisha kutokana na maushauri yenu. A'm in a very real trouble I need help. Niwape hongera wale waliokutana na mpenz mmoja na huyo huyo makemisty yao yakaendana. Hawajui adha 2nazopata sie wengine. Full kizunguzungu.
Kuja tufunge namimi bana! PM tu nitakupataWandugu naomba msaada. Mimi nina mchumba wangu 2ko ktk process za harusi. alishanitambulisha kwao na nikakubalika. Mimi ninaishi na mamdogo. Mamdogo ndiye aliyenilea so nikama mamangu. SO Nilimpeleka Mchumba wangu kwanza kwa mamdogo kumtambulisha kabila ya ha2a nyingine na mamdogo ndiye aliyewaambia ndugu zangu wengine. na akasema kuwa atagharamia kichen party na send off kwa kuwa mimi nikama mtoto wake. ndugu zangu karibu wote wanamjua huyo kijana.sasa cha ajabu mamdogo ameanza kunikatisha tamaa. ananiambia mbona huyo mwenzako anaoneka haja2lia? Nimzuri 2 wasura hana kingine hakufai mwanangu. Tafuta mwingine mbona wanaume wako wengi? na maneno mengine mengine kibao. Mimi nikamjibu nampenda hivyo hivyo alivyo mamdogo.baada ya kuona sielekei kumwacha akaanza kumwaga upupu kwa ndugu zangu wote kwamba yule kaka hanifai. Ndugu zangu wakaanza kumchukia huyu kijana. Cha kushangaza naona mamdogo yuko karibu sana na mchumba wangu nikimuuliza anasema wanashughulikia mambo ya ndoa ye2. Siku moja mawifi zangu (ukweni) wakaniita na kuniuliza hivi huyo ni mamdogo wako kabisa? Nikawajibu ndio. yeye na mamangu ni wa2mbo moja walishangaa na kusema mbona sasa anafanya mambo ya ajabu vile? Nikawauliza mambo gani hayo wakasema nisubiri niolewe kwanza ndo wataniambia coz wanaogopa kuuvunja uhusiano we2. (mimi na kaka yao) katika chunguza yangu nimegundua mamdogo ananichukulia mchumba wangu. Nimuachie mchumba wangu au Nifanyeje??
This sounds ABSURD to me.
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?
ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?
easy, easy! Easy guys
Sasa imagine huyo N4G ni mkeo wa raha na shida tayari mmeshafunga makufuli ya milele. Halafu asubuhi anakueleza hili mchana lingine na jioni lingine. Kwenye kiibodi tu hapa mnakereka, huyo mumewe?
Sipati picha inakuwaje
huu sasa umekuau ukumbi wa stori za kutunga. Nami nna yangu. Jana nimeota nimelala na mlinzi mmoja wa gadafi, alikuja kujificha tz baada ya kukimbia libya. Je nimwambie waifu, au ataona wivu? Nishaurini
Hivi ni wewe au nimesahau kuwa wiki iliyopita ulikuwa hapa unatafuta mpenzi wa muda( wa mkataba)? leo huyu unaye miaka miwili?
ulikuwa unatafuta mwingine wa nini?
Dena this is bullshit, .....tunamweka mtu tusiyemjua maanani,tunampa ushauri then kumbe anadanganya....!!!!
Wanajamvi wenzangu naomba munielewe when i say a'm single I mean no sex. My self I can not test sex b4 married do you understand? Nieleweke kwamba si2mi thread za uongo kama munavyofikiri ni za kweli. MFA MAJI HAACHI KUTAPA... Inamaana kama naona mwanaume hanifai niendelee kumng'ang'ania huyohuyo? Never!! In short Nina weng nachagua wa kunifaa. baadhi yao thread zao ndo hizo. Ukweli ni kwamba wanaume wote hao ni wa kwangu ila nikiona mmoja haekei kunifaa natafuta msaada ili ikiwezekana niachane naye nisijitie matatizoni. shida yangu nahitaji mmoja 2 mwaminifu. Musinishambulie kuweni waelewa ndugu
ndio mimi
unajua michelle huyu kaka alikua ananichanganya sana sasa nikaona bora nitafute wamkataba nimtupe yeye chini labda naweza 2lia lakini wap namkosa na yeye tena u wi wi !
kuhusu wa mkataba niliahirisha kutokana na maushauri yenu. A'm in a very real trouble I need help. Niwape hongera wale waliokutana na mpenz mmoja na huyo huyo makemisty yao yakaendana. Hawajui adha 2nazopata sie wengine. Full kizunguzungu.