Tysher
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 207
- 76
Wanajf habari zenu!! Brothers wangu watatu wana watoto wasiopishana sana kiumri,yaani kama miaka 5,miaka 4 na mwingine miaka 3. Hawa watoto wote wananyonya vidole. Mwanzoni mwa huu mwezi wameletwa home likizo baada ya kufunga chekechea zao. Juzi kati kuna rafiki yangu alikuja home akawaona wakinyonya vidole,akaniambia eti sababu ya watoto hao kunyonya vidole ni kwamba mama zao walinyonywa sehemu za siri kwenye tendo lililosababisha mimba za hao watoto. WanaJF,kuna ukweli wowote hapo? Wajuzi tiririkeni