Ha ha ha mi nilidhan cause ni kukosa malezi ya kutosha ya mama yao kila mmoja hakupata muda wa kutosha kuenjoy maziwa ya mama so wali2mia kusuck vidole vyao kama nyonyo mbadala
et na ww si unapenda pia mambo ya chumvin?
halaf naskia una singo
ha ha ha mwanangu wa kwanza hadi wa kumi wote watanyonya vidole.....
Wanajf habari zenu!! Brothers wangu watatu wana watoto wasiopishana sana kiumri,yaani kama miaka 5,miaka 4 na mwingine miaka 3. Hawa watoto wote wananyonya vidole. Mwanzoni mwa huu mwezi wameletwa home likizo baada ya kufunga chekechea zao. Juzi kati kuna rafiki yangu alikuja home akawaona wakinyonya vidole,akaniambia eti sababu ya watoto hao kunyonya vidole ni kwamba mama zao walinyonywa sehemu za siri kwenye tendo lililosababisha mimba za hao watoto. WanaJF,kuna ukweli wowote hapo? Wajuzi tiririkeni
mnhhh watoto wana nyonya vidole toka enzi ambazo french kiss tu haijulikani bongo..
enzi za mkoloni na Nyerere...