Mmmh!....HII SASA IMEZIDI; YAANI HATA IKULU INATUMIA "@YAHOO.COM" ??!!!

Kwanini watu wa JF tusijitolee kulipia Dedicated Server ya Ikulu kama mchango wetu?

Loo!!! mtatuua na michango kila kukicha, Mara ujenzi wa shule, Madawati, Dawa,Pesa za mgambo,Usafi wa mtaa,Mafuta ya mwenge,ujenzi wa barabara ya kijiji etc, wananchi tumechoka mbaya halafu tumwage maji baharini? hii ni sawa na Chenge kuomba nauli ya kwenda Bariadi
 
Steve D,

Tatizo la "wajanja" si kutaka 10%, ni machoism na ushindani wa kijinga wa Wanasiasa na Watendaji wa Tanzania ambao kila mmoja wao ni mjuaji na anataka awe na kauli ya mwisho na sauti kubwa!

Look at the CCM crisis brewing, kila mtu anaropoka vyake!
 
Ikulu hawana website inayofanya kazi. Game theory amewalalamikia sana kwa hili.

Kuna wakati ndugu Ansbert Ngurumo aliwahi kummwagia misifa kibao Salva Rweyemamu. Kwamba he is professional; na anaijua kazi yake. Sijui hasa alichomaanisha. Lakini kwa mwendo wa mambo mpaka sasa, hii kurugenzi ya mawasiliano Ikulu ni sifuri, tena yenye masikio.

Anuani ya barua pepe ndiyo hiyo ya yahoo. Aibuuuu!

Ni afadhari kutumia hiyo ya yahoo. Maana wakifungua ya kwao unaweza kuambiwa inatumia shilingi bilioni moja kwa mwezi. Kurugenzi ya mawasiliano ikulu ni kama idara ya propaganda haina kazi ya maana na kuifanya iwepo. Idara ya habari maelezo inatosha sana
 
huyu ahsante uchafuzi...salva rweyemamu....ambaye mnasikia mkewe alikuwa amejilipua uk..kama mkimbizi wa rwanda[enzi jamaa akiwa rai......hajakamata channel]..hivi huyo mkeo ameshaukana ukimbizi na kurejelea uraia wa tanzania...nashangaa hata kama salva alifaulu vipi vetting ya usalama kwa kazi hii kubwa..anyway...

..........haya!

Huu ni mzaha na ni hatari!! Usalama wa taifa uko wapi?
 
Wakuu heshima mbele,
Siku chache zilizopita kulikuwa na thread hapa ikijadili kuhusu mfuo wa mawasiliano wa ikulu na mtumizi ya website au barua pepe,suala hili pia lilipata kuibuliwa kule bungeni.Niliufatilia sana mjadala huu japo sikuweza kutoa maoni yoyote.Kwa hakika sasa nimethibitisha ubabaishaji wa kurugenzi ya mawasiliano pale.Nimeshtuka sana pale nilipoona press release ya serikali kabisa ikitumia anwani ya @yahoo.com. Hivi kweli are we serious?serkali inashindwaje kuwa na domain name ya barua pepe kama hiyo @ikulu.go.tz?

Mimi kama mdau ambaye kwa kiasi fulani nimesoma mambo ya cyber crimes and law,moja ya vitu ambavyo hackers/scammers hutumia katika kuwadanganya watu ni hizi general public addresses like @gmail.com,@yahoo.com nk.na mara nyingi inashauriwa unapopokea tarifa inayoclaim kutoka ofisi fulani maalumuahalafu ofisi hiyo mawasiliano yake ni @yahoo.com au @gmail lazima uwe na mashaka kuhusu veracity yake.Nilipoingia katika website ya serikali leo,hiki ndicho nilichokutana nacho, na hii ni moja ya anwani niliyokutana nayo ikulumawasiliano@yahoo.com:
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

UNITED REPUBLIC OF TANZANIA[
/CENTER]


Telephone: 255-22-2114512 , 2116898

E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com

press@ikulu.go.tz

Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,

THE STATE HOUSE,

P.O. BOX 9120,

DAR ES SALAAM.

Tanzania.





TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Rais Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, amesema Marehemu Levy Mwanawasa wa Zambia ameishi na kuwatumikia wananchi wa Zambia kwa mapenzi, kujitolea, heshima na kwa dhati kubwa na wananchi wa Zambia wanaweza kumlipa hilo kwa kumuenzi katika matendo yake haya.



Rais Kikwete amewaambia waombolezaji katika viwanja vya bunge mjini Lusaka leo wakati wa Misa ya kumuombea Marehemu iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kimataifa, viongozi wa dini na wananchi kutoka sehemu mbalimbali nchini.



“Ameishi maisha yake na kuwatumikia watu wake kwa mapenzi, heshima na kwa ustaarabu, kitu mnachoweza kumrudishia ni kumuenzi, fuateni na tekelezeni yale aliyobakiza”.



Rais Kikwete ametoa salamu hizo kwa niaba ya viongozi wa Afrika watu wake na Tanzania ambapo amewaambia wananchi wa Zambia kuwa Mrehemu Mwanawasa alikuwa rafiki na mwenzake kama alivyokuwa kwa viongozi wengine katika ukanda huu na duniani kwa ujumla.



“Yeye na mimi tulipatana sana kama ilivyo kawaida kwa viongozi wa nchi mbili rafiki na majirani, siku zote tulikuwa tunawasiliana na kila mara kulipotokea jambo linalotuhusu sote tulishauriana na kwa kweli utamaduni huu ulikwenda vizuri kwa faida ya nchi zetu mbili” amesema na kumuelezea kuwa alikuwa kiongozi wa kutumainiwa na rafiki mkubwa kwa Watanzania, nchi jirani Afrika na dunia kwa ujumla na kwamba Tanzania na bara la Afrika limepoteza mtu muhimu”.



Rais Kikwete amesema viongozi na waombolezaji wamekuja kutoka karibu na mbali na Zambia kuja kuwafariji wa Zambia na kumshukuru Mungu kwa maisha na aliyomjalia Mwanawasa.





Premi Kibanga,

Lusaka, Zambia



03 September, 2008


Are they serious au tuseme wamepitwa tu?(inadvertence)​



Hodi hodi?
@yahoo.com? :mad:
Rais ikulu wanafanyaje kazi?
Au bado kuna mesenja kibao wa kupeleka mafaili hapo?
internal communication ikoje?
calendar, tasks, na privacy ikoje?
Au labda wanayo internal email server.

Wanatakiwa wachukue hatua za haraka, ndiyo maana mambo mengi hayaendi kwa kasi mpya. No follow ups - where is share point kwa serikali yetu?
Maana kuwa na email server siyo kazi yake ni kutuma na kupokea emails tu;​
 
with this world of TEKNOHAMA kama ikulu ndo ilivyo basi hatuendi popote. hata usalama wa taifa uko shakani. VERY MUCH disappointed.
 
Jamaa wa Ikulu wanadai kwamba hiyo ya yahoo inapatikana kirahisi wakati wowote na wakiwa mahali popote duniani.


Bwahahahaha... Hahahahah!
Oh lord, what a shame.


IT bado ipo nyuma sana hapa Home...lWazee wetu ukiwaambia unasoma Computer tu....wanafikiri wewe unasomea Ufundi/technician....Ukubwa wa IT wengi hawaujui...lkn inapofanya serikali inakuwa AIBU....mie naona hapa watu wa kwanza kulaumiwa ni TCRA....nafikiri kwa role yao wanatakiwa kuangalia kama kila wizara au idara ya serikali inaperfom...

either kuna watu wazembe au mafisadi au whatever .......


Hili ni tatizo kubwa hata kuwa kikwazo kwenye juhudi za watu wa IT. Kuna fikra kwamba huyu kazi yake ni ku-fix computer and printers problems; hapo mtu unakuwa under-utilized kwa maana ya kwamba wakati mwingine unapewa kazi nyepesi ambazo zingetakiwa kufanywa na secretary.

Hali inaweza kuwa tofauti sehemu nyingine, kudhani kwamba mtu wa IT anaweza kufanya kila kitu. Blunders hufanyika kwenye ku-recruit IT staff bila shaka. Kuna post inayo-relate na hii issue, imeandikwa na David Stanley.





.
 
Wataalamu wangeachiwa wafanye kazi yao si kuingiza siasa kwenye shughuli za kitaalamu. naungana na lazydogy-Kuna fikra kwamba huyu kazi yake ni ku-fix computer and printers problems; hapo mtu unakuwa under-utilized kwa maana ya kwamba wakati mwingine unapewa kazi nyepesi ambazo zingetakiwa kufanywa na secretary.

Maana watu wengi wanajua computer ni kuchapa na kuprint!!!!!!!!!
 
Kwanini watu wa JF tusijitolee kulipia Dedicated Server ya Ikulu kama mchango wetu?

Kwa kazi gani inayofanyika hapo Ikulu? Usanii, utapeli na kunyima wananchi haki zao? Sioni cha kushangaza. Hapo ikulu kumejaa wasanii, matapeli, na wakandamizaji. Worst than 419 scam.
 
Ni afadhari kutumia hiyo ya yahoo. Maana wakifungua ya kwao unaweza kuambiwa inatumia shilingi bilioni moja kwa mwezi. Kurugenzi ya mawasiliano ikulu ni kama idara ya propaganda haina kazi ya maana na kuifanya iwepo. Idara ya habari maelezo inatosha sana

Asante sana wadau kwa kuchangia mjadala huu kwa kweli mie niliguswa sana na hali hiyo,japo samahani kwa kupotea kidogo nilibanwa na kazi fulani.Sijui kama hawa bwana wanasikia au kusoma hizi comments zetu, maana sawa kutumia hiyo @yahoocom sio mbaya labda inawasaidia mawasiliano, lakini kwa taaisis kama serikali tena ikulu,aaahh hapana hili halikubaliki.Kutumia anwani hiyo ya yahoo ni kuruhusu phishing kiurahisi,cybersquatting nk.Mbali ya hapo wale jamaa ambao hutuma e-mail kama hizi hapa chini:

HELLO,

Good day and Compliments, I am writing this letter in confidence believing that if it is the wish of God for you to help me and my family, God almighty will bless and reward you aboundantly and you would never regret this.

My family and I are true Christians and worship God truthfully. I got your contact during my search for this assistance. I am a female student from University Burkina Faso, Ouaga. I am 26 yrs old. I'd like any person who can be caring, loving and home oriented. I will love to have a long-term relationship with you and to know more about you.

I would like to build up a solid foundation with you in time coming if you can be able to help me in this transaction. Well, my father died a year ago and left I and my younger sister behind. He was a king, which our town citizens titled him over sixteen years before his death. I was a princess to him and I am the only person who can take care of his wealth now because my younger sister is still young and my mother is not literate enough to know all my father's wealth.He left the sum of USD 7, 350, 000.00 dollars (Seven Million, Three Hundred and Fifty Thousand US Dollars)in his account.This money was annually paid into my late fathers account from Gold Minning Company (GMC) operating in our locality for the compensation of youth and community development in our jurisdiction.

I don't know how and what I will do to invest this money somewhere in abroad, so that my father's kindred will not take over what belongs to my father and our family, which they were planning to do without my consent because I am a female as stated by our culture in the town. Now,I urgently need your humble assistance to move this money from the security company to your bank account, That is why I felt happy when I saw your contact because I strongly believe that by the grace of God, you will help me invest this money wisely.

I am ready to pay 20% of the total amount to you if you help us in this transaction and another 10% interest of Annual After Income to you, for handling this transaction for us, which you will strongly have absolute control over it. If you can handle this project sincerely and also willing to assist me in lifting this fund, kindly reach me. Please, note that this transaction is 100% risk free and I hope to commence the transaction as quick as possible.

I will send you my picture as soon as I hear from you.

Yours sincerely,
Princess Bella Blanch
ni rahisi sana kutumia opportunity kama hiyo kuwaibia watu sema tushukuru hatuna watanzania wengi macrooks kwenye IT(IT misuse) otherwise hali ingekuwa ngumu kweli kweli.
Kauli kwamba eti @yahoo inapatikana kirahisi wakiwa nje ya nchi sio kweli,huku ni kitania fani ya IT,kama sisi wengine tu blogu zetu zinapatikana popote duniani na mtu anaweza kuwasiliana nasi itakuwa wao?No,i this issue something is wrong somewhere,something must be done to get rid of this situation.
 
Rev,
Yaani naamini hata Shy pamoja na u-controversy wake bado angeweza kuwasaidia katika hili - wamlishe kiapo tu cha kutunza siri za serikali na kumpa budget ya 30million tshs, am sure he'll handle that! Tatizo lao kama unavyo point ni upuuzi wa kutaka 10% katika kila aina ya project hapa Tanzania. They totally forget kuwa kuna pahala katika ulimwengu wa sasa commissions hazina upenyo. Inatia aibu kwa kweli, hata mimi hapa ninatumia SteveD(at)Jamiiforums.com, sembuse civil servants kwenye idara maalum serikalini, particularly Ikulu!!

Hao unaosema "wajanja wengi" ni more or less kuwa ni "wapuuzi" machoni pa watu wenye kujali maendeleo ya nchi yao, haswa pale kipimo hicho kinapolinganishwa na strategic nature and necessity ya Ikulu kujiendeshea vitu kama email servers wenyewe.




Mkjj,

Hii ni changamoto kubwa. Lakini ningeikubali tu kama kweli kufanya hivyo kungelitokana na umasikini wa kupindukia kiasi kwamba Serikali yetu isihimu kulipia mail server. Ukumbuke kuwa kuna bajeti imetengwa na kutumika katika hili tayari. Wahusika katika hili swala wamekosa mwelekeo na malengo. It's a 3 weeks project. Kitu ambacho kinaweza kumudiwa na kikampuni kidogo tu, IKULU inashindwa kukimudu. Sorry for harsh words, lakini hii haina neno jingine bali ni "upumbavu!"



Pundit,
Hilo la ku-route internet traffic nchi nyingi za Africa bado zinasumbuka nalo, and i can forgive them since it's an infrastructural expensive feat. Lakini hili la webmail server... no no no; nothing short of outright disgrace. Kumbuka Hotmail/Yahoo gateways si kwamba ziko America tu, bali some are situated within Africa na kwingineko ambako Tanzania inaweza kuwa ina mambo fulani ambayo inasimama against nchi hiyo, hivyo inaweza ku-access correspondence kama hizo at will wakiamua.

Unajua nini... mara nyingi tunaongea kwa kukosoa hapa JF, lakini lengo letu tuliowengi si kukosoa tu, bali kupata solution za matatizo yetu hapa nchini. It's simply an instinctual tone we use when writing. Itakuwa jambo la busara kweli kama wahusika katika idara za serikali watajiandikisha hapa na kuestablish mawasiliano ili wale wenye kuweza kusaidia walau kwa kutoa mawazo tuweze kufanya hivyo. It won't cost an arm and a leg to set a secure mail server for Ikulu.

SteveD.

SteveD
You have said it all.Big Up! wawe wanakuja kusoma humu.
 
Tatizo la Serikali yetu haijaichukulia IT kwa uzito unao stahili. Mimi ninavyojua katika taasisi kuna kuwa na IT Department ambayo ndo inashughulikia mambo yote ya Tekinolojia. Sasa mmeona ikulu wa IT department? Zunguka kwenye Wizara zote except fedha na utumishi hautakuta IT Department.

Nchi nyingine kama Botswana na nchi za ulaya wana mtu/ofisi ya Chief Information Office or Chief Information Technology Officer ambaye kazi yake na majukumu yake ni kuratibu shughuli zote za IT serikalini.

Hapa kwenu tunajiendea tu, kila mtu anafanya anavyojisikia hakuna utaratibu.

Mara nyingi Non IT people wanaona IT kana ni internet tu (website na email). Hivyo kutoona haja ya kuwa na proper IT management kwenye taasisi zao.

TCRA wao ni regulatory authority ya communication (Data communication), hivyo hawausiki na IT za maofisini au website. Kazi yao wanaifanya vizuri na hawastahili kulaumiwa kwa hili.

Hili la IKULU sasa linatuthibitishia aibu hii ambayo marekani wameamua kutudhalilisha nao mchana kweupeeeeeeeeeeee
According to the U.S. State Department, infrastructure in Tanzania is extremely poor. In terms of the road network, for instance, only 3,704 kilometers (2,296 miles) of a total of 88,200 kilometers (54,684 miles) of highway is paved. Paved highways link Dar es Salaam to Tunduru, Dodoma, Tanga, and Arusha. The remaining 84,496 kilometers (52,388 miles) of highway is un-paved, making it extremely difficult to reach certain areas from Dar es Salaam, such as Lindi and Mtwara, during the rainy season. At the same time, many rural roads are virtually impassable, as seasonal washouts are commonplace. Although the road network has suffered as a result of many years of government debt-related negligence, funds allocated for road maintenance and rehabilitation have increased in the past 10 years.

With a combined total of 3,569 kilometers (2,213 miles) of railway track, there are 2 railway systems that operate independently in Tanzania. In addition to operating the internal railway network, the Tanzania Railways Corporation (TRC) connects the country with Uganda, Kenya, Burundi, and Rwanda. Many parts of the TRC railway network are in need of major repairs. The Tanzanian/Zambian Railway Authority (TAZARA), in contrast, connects the port of Dar es Salaam with Zambia. Following the end of apartheid (the system of racial segregation in South Africa that prompted many countries to




Communications
Country Newspapers Radios TV Setsa Cable subscribersa Mobile Phonesa Fax Machinesa Personal Computersa Internet Hostsb Internet Usersb
1996 1997 1998 1998 1998 1998 1998 1999 1999
Tanzania 4 279 21 0.0 1 N/A 1.6 0.05 25
United States 215 2,146 847 244.3 256 78.4 458.6 1,508.77 74,100
Dem. Rep. of Congo 3 375 135 N/A 0 N/A N/A 0.00 1
Kenya 9 104 21 N/A 0 N/A 2.5 0.19 35
aData are from International Telecommunication Union, World Telecommunication Development Report 1999 and are per 1,000 people.
bData are from the Internet Software Consortium (http://www.isc.org) and are per 10,000 people.
SOURCE: World Bank. World Development Indicators 2000.

restrict economic ties with the country), the amount of income generated by TAZARA, in addition to the port of Dar es Salaam, has drastically declined as a result of new competition with the South African Railway system and the South African ports of Durban and Port Elizabeth.

There are a total of 11 airports in Tanzania with paved runways. Dar es Salaam International Airport, Kilimanjaro International Airport, and the Zanzibar Airport handle international air traffic. Several international airlines provide transportation to countries around the world, while the Tanzanian airline, Air Tanzania, has regional and domestic routes across Southern Africa.

The Tanzanian Electric Supply Company (TANESCO) supplies the country with electricity, 95 percent of which is derived from hydroelectric power. As a result of this dependency, power shortages often occur in times of regional drought. The government has taken measures to diversify energy sources, including support for projects to develop the Songo Songo natural gas reserve and the Mchuchuma coal fields.

Telecommunications infrastructure in Tanzania is considerably underdeveloped. With only 4.5 telephone mainlines per 1,000 people (est. 1999), telephone services are highly unpredictable and extremely expensive. The situation contrasts sharply with the United States, where there are 640 telephone lines per 1,000 people (est. 1996). In conjunction with the international donor community, the Tanzanian government has sought to ameliorate the situation through increased investment for telecommunications infrastructure. In 1999, the international donor community commenced sponsorship of a 5-year, US$250 million program to rehabilitate and expand the existing telephone network.

source:http://www.nationsencyclopedia.com/...-INFRASTRUCTURE-POWER-AND-COMMUNICATIONS.html
 
Kwanini watu wa JF tusijitolee kulipia Dedicated Server ya Ikulu kama mchango wetu?

Kwani unadhani kuwa Ikulu hawa pesa za kulipia hiyo server? Mbona yule jamaa aliyetengeza website ya maoni alilipwa zaidi dola laki tatu? Si unajua kuwa gharama ya kulipia dedicated server kwa mwaka mzima hazidi hata dola elfu tatu? Ikulu wana hela hizo wala hawahitaji mchango wetu, ila ni washamba tu wa IT.
 
Back
Top Bottom