Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Kwanini watu wa JF tusijitolee kulipia Dedicated Server ya Ikulu kama mchango wetu?
Loo!!! mtatuua na michango kila kukicha, Mara ujenzi wa shule, Madawati, Dawa,Pesa za mgambo,Usafi wa mtaa,Mafuta ya mwenge,ujenzi wa barabara ya kijiji etc, wananchi tumechoka mbaya halafu tumwage maji baharini? hii ni sawa na Chenge kuomba nauli ya kwenda Bariadi