Wakuu yule mfanyabiashara mkubwa na mmiliki wa hotel ya regency ya mikocheni amefiwa na first born wake. Msiba upo nyumbani kwake mikocheni. Pole kwa wanafamilia.
Kwani nini mkuu? R. I. P mtotoPoleni wafiwa ila kwa mtoto huyo tusingemwandika labda ingelikuwa yeye mwenyewe
Poleni wafiwa ila kwa mtoto huyo tusingemwandika labda ingelikuwa yeye mwenyewe
what d'you mean?
Mimi mbona nilifiwa na mjomba Wangu na
Nilikujulisha mbona hujaniandika humu
Mtu ni kitu ndugu Yangu ..!!
Pole
Unataka kujifananisha Na Rey ama Alex massawe...!!!
Mtu ni kitu ndugu Yangu ..!!
Pole
Unataka kujifananisha Na Rey ama Alex massawe...!!!
Utumwa wa luga ungeniliuliza na maanisha nini ningekuelewa tu!
Ni habari ndani ya habari au!?.,anaitwa raymond rafiki mkubwa wa alex massawe,mtoto aliyefariki anaitwa flora,ni binti wa 24yrs kama sikosei...
Utumwa wa luga ungeniliuliza na maanisha nini ningekuelewa tu!