Siku ya ijumaa alikuwa mzima kabisa wa afya ila kufikia Jumamosi mida ya saa kumi na moja asubuhi alikimbizwa hospitalini Bugando na kufika muda wa saa moja asubuhi akaaga dunia. Jirani yangu ni Mmiliki wa Nyamuge Medium Schools- Nyasaka. Inasikitisha sana.