inawah kuchemsha au inashida ganNawatahadhrisha na wale wa Mwanza -Dar, kuna gari wanaipamba Sana luxury Scania injili nyuma inaitwa Kureed hunters,usiijaribu Hata Kwa nusu Nauli
Duu, Kama ni hivo basi Shabibi, ABC n.k wanapata hasara, maana wao mkidhapanca wananyoka
Inakera kweli kweli yaani.... Kibaya zaidi mtu unakata tiketi unapanda unasubili lijae likijaa ndo mnaanza kusimama simama yaani upumbavu balaa.inatia hadira saaaaaaanaBasi we Ni bo----ya. Wenzako Frester na Kisibo wanatoka hapo wamejaza. Hiyo Gari watu hawapandi unabaki kuokoteza watu wa buku mbili mbili, wakati chombo Ni mpya kabisa. Chombo inapita hadi minadani jamani. Inashusha na kupakia kila eneo Kama mchomoko.
Nakwambia hao wa buku mbili mbili nao wataikimbia kwa sababu itafika sehemu na wao wataona inawachelewesha.
Yaani Kuna Lori tumetoka nalo Sekenke haki ya mungu tumefika nalo Dodoma eti. Hata Noa zimetuacha njiani. Jing--a Sana Hawa jamaa. Hiyo Gari wanaishushia hadhi kabisa Hawa mbu--++++zi
Ile video ni njia ya Mpanda. Inaenda kote kote..Mpanda au Kigoma. Kuna ile CUW nayo iko vizuri.Nimeona video insta imepelekwa kigoma mamaeee lile vumbi alilotimua si mchezo mpaka mchukua video alishindwa kuona mbele.....sijui ni kibondo pale hakuna lami
Abiria hakuna mdau usilalamike.....
Naijua iyo hali maana nilipitia usimamizi wa mabasi miaka ile
Isharudi barabarani ile iliyopata ajali.....ila lile basi sio jipya kabisa lazima tu liwe na majangaNawatahadhrisha na wale wa Mwanza -Dar, kuna gari wanaipamba Sana luxury Scania injili nyuma inaitwa Kureed hunters,usiijaribu Hata Kwa nusu Nauli