Mmiliki wa mabasi ya J4 apiga wawili kwa risasi

Kwani kuwa na silaha si ruksa kulingana na sheria zake na umiliki wake' na matumizi yake pia! ss suala la mtu kuitumia either kwa kujihami au lah inahusu vipi ccm!!? hayo ni matatizo ya mtu binafsi na mnashangaza nyie mnao husisha hata ugomvi wa kuku ku'uhusisha na na siasa mara ccm, kwahiyo mnataka nchi iongozwe na nani ili hata hao kuku wakigombana yawe matatizo yao binafsi na sio siasa!? ' kwanza hii nadharia mmeitoa wapi!?! Tuachane na ligi za kipuuzi

Aaaargh kumbe ulikuwa unaweka ligi ya kipuuzi. . . . .haya salam zao
 
Ana basi mpya zinapiga route za Mwanza Kampala,Kampala Mwanza kila siku na zina mwendo kama zimebeba meno ya tembo.

Pale nyakato anakaa mtaa gani?. Au ndio huyu anayekaa mitaa ya nundu.? Weka Picha yake nitakupa taarifa zake
 
Waliouawa ni Ali Mohamedi na Claudia Sikarwanda. Star TV imeripoti kuwa mmiliki wa mabasi ya J4 Bw.Juma Mahende amewapiga wafanyabiashara wenzake wawili kwa risasi mbele ya ofisi yake na kufariki papohapo.Hatari hii imetokea Mwanza.

Jeshi la polisi limemkamata na kumtia ndani muuaji. Kamanda wa polisi wa Bw.Mkumbo amethibitisha kutokea kwa tukio hili. Ndugu wa marehemu wanasema jamaa waliouawa na muuaji walikuwa wanadaiana 25Milion. Inashangaza na kuhudhunisha kama haya yanaweza kutokea Tanzania.

Roho za wapenzi wetu (hata kama wana makosa) zinapotea kwa namna ya kikatili. Cha ajabu usishangae kukutana mitaani na muuaji akiwa huru.

Tatizo ni serekali kuwa mikononi mwa watu ndo maana wanakua hawaogopi wala kutetereka ktk kufanya maovu
 
Tunaona vibaka wakiuliwa kila siku na mpaka kuchomwa moto.

Tunataka tujuwe upande wa pili wa shillingi, kwanini amewapiga risasi?

We kilaza nini...unataka ujue upande upi sasa na kuchomwa moto unaona ni halali.
 
umesahau ya mwangosi, pinda pia alisema wapigwe tu...



Mhhhh! Hata Kikwete hawezi na haitatokea kujiamuria na kupiga mtu risasi, sembuse raia wa kawaida?? Hakuna haja ya upande wa pili wa shilingi, maana huo upande haupo tena duniani.
 
Tunaona vibaka wakiuliwa kila siku na mpaka kuchomwa moto.

Tunataka tujuwe upande wa pili wa shillingi, kwanini amewapiga risasi?

Nadhani ukishajua upande wa pili ndo utatambua upande gani ulikuwa kosa,c ndio?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom