Mmiliki wa JF anawezaje kujua majina ya wateja wake?

J33

JF-Expert Member
Jun 11, 2014
1,552
1,503
Sakata la kukamatwa kwa mmiliki na mwanzilishi wa JamiiForums limenipa maswali mengi sana lakini moja kubwa ni hili.

Mteja amefungua email yenye majina yasiyo yake, amekuja amejisajili jf kwa email hiyo na wakati anasajili line ya simu alitumia kitambuliaho fake na katika sim yake hawasilian na MTU yeyote wala hajajisajili kwenye mtandao wa kijamii mwingine.

Je, Melo atapata wapi taarifa zake awape polisi? Na mbona Kuna uwezekano mkubwa wa polisi wao wenyewe kuweza kumpata mteja kwa njia ya kusearch location kuliko wamiliki wa JF? Naomba wataalamu wanifafanulie.

NB: Nataka tu kujua jambo hili halinihusu mm binafs maana taarifa zangu hapa JF zipo wazi sina cha kuficha Ila nataka kujua.
 
Inawezekana ila ni ngumu sana....kwani simu anayo si ina Imei
Kama ndio ivyo police wetu so wanaweza tu kupata izo taarifa kwann watake mmiliki ndio azitoe? Wakipewa za uongo?
 
Email umefungua baada ya kuweka namba ya simu. Process ndefu
 
Kwa mujibu wa staff member wa JF ni kwamba, tekinolojia waliyoitumia ni vigumu hata wao JF kupata Siri za member wao, Kwa mfano mtu akijisajiri Kwa jina la "Maembe " huwezi ku track na kumjua, labda yeye ndo atoe details zake mwenyewe.
Police walijaribu Sana kupata information zetu Kwa tekinolojia yao wakashindwa ndo wakaamua ni bora wamkamate Melo ili awasaidie kutupata, bahati mbaya Sana ni kwamba na yeye hawezi kutokana na tekinolojia iliyotumika hairuhusu mtu kutambuliwa, labda waifungie tu JF Kwa nguvu.
Nimeukosa tu uzi wa staff member aliouweka ili kututoa wasiwasi.
 
Kwa mujibu wa sheria kandamiizi ya makosa ya kimtandao.....polisi wa kitengo cha cyber crime....wana haki ya kupewa taarifa na mmiliki wa mtandao pale zitakapokuwa zinahitajika......

Kutokutoa ushirikiano kwa polisi wa kitengo hicho ni kosa kisheria.......

Kama Bwana Mello ambaye ni mmiliki wa Jf aligoma kutoa taarifa kwa kitengo hicho basi amevunja sheria....

Haya ni matokeo ya nidhamu ya uoga wa waTanzania......

Tungetakiwa tusimame kidete kama taifa tangu ule mswada wa hiyo sheria kandamizi haujasainiwa.......lakini sasa hivi ni too late........tunavuna matokeo ya ujinga wetu...na uoga wetu.....

Who is next....!!??



FREEDOM IS NOT FREE.....
 
IP address yako tu ndio inahitajika, lakini JF kwenye database hawawezi kujua jina lako hata hili jina unalolitumia hapa kwenye database halionekani kama linavyoonekana hapa.
 
Kwa mujibu wa sheria kandamiizi ya makosa ya kimtandao.....polisi wa kitengo cha cyber crime....wana haki ya kupewa taarifa na mmiliki wa mtandao pale zitakapokuwa zinahitajika......

Kutokutoa ushirikiano kwa polisi wa kitengo hicho ni kosa kisheria.......

Kama Bwana Mello ambaye ni mmiliki wa Jf aligoma kutoa taarifa kwa kitengo hicho basi amevunja sheria....

Haya ni matokeo ya nidhamu ya uoga wa waTanzania......

Tungetakiwa tusimame kidete kama taifa tangu ule mswada wa hiyo sheria kandamizi haujasainiwa.......lakini sasa hivi ni too late........tunavuna matokeo ya ujinga wetu...na uoga wetu.....

Who is next....!!??



FREEDOM IS NOT FREE.....
Mbona wamiliki wa TWITER hawakamatwagi. Vipi liveleak.com...
 
Kwa mujibu wa sheria kandamiizi ya makosa ya kimtandao.....polisi wa kitengo cha cyber crime....wana haki ya kupewa taarifa na mmiliki wa mtandao pale zitakapokuwa zinahitajika......

Kutokutoa ushirikiano kwa polisi wa kitengo hicho ni kosa kisheria.......

Kama Bwana Mello ambaye ni mmiliki wa Jf aligoma kutoa taarifa kwa kitengo hicho basi amevunja sheria....

Haya ni matokeo ya nidhamu ya uoga wa waTanzania......

Tungetakiwa tusimame kidete kama taifa tangu ule mswada wa hiyo sheria kandamizi haujasainiwa.......lakini sasa hivi ni too late........tunavuna matokeo ya ujinga wetu...na uoga wetu.....

Who is next....!!??



FREEDOM IS NOT FREE.....

Nimekuelewa sana Tatizo la wantanzania wajinga bado wengi mswada kama huo wanafikiria labda wamewekewa vyama pinzani kumbe wantanzania wote
 
Kwa mujibu wa staff member wa JF ni kwamba, tekinolojia waliyoitumia ni vigumu hata wao JF kupata Siri za member wao, Kwa mfano mtu akijisajiri Kwa jina la "Maembe " huwezi ku track na kumjua, labda yeye ndo atoe details zake mwenyewe.
Police walijaribu Sana kupata information zetu Kwa tekinolojia yao wakashindwa ndo wakaamua ni bora wamkamate Melo ili awasaidie kutupata, bahati mbaya Sana ni kwamba na yeye hawezi kutokana na tekinolojia iliyotumika hairuhusu mtu kutambuliwa, labda waifungie tu JF Kwa nguvu.
Nimeukosa tu uzi wa staff member aliouweka ili kututoa wasiwasi.
Nakubaliana na ww 100% huu ndio ukwel japo bado naona police wana uwezo wa kuwapata wanaowatafuta kwa njia nyingine na si kumtumia Mello ambaye hana uwezo. Na pia kufungia jf haitasaidia chochote maana I aweza kufunguliwa forum nyingine popote dunian na taarifa zikaendelea kuwekwa tu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom