Mmiliki wa JF anawezaje kujua majina ya wateja wake?

Email umefungua baada ya kuweka namba ya simu. Process ndefu
email si unafungulia intanent cafe,kwamfano zamani ilikua huezi kujisajili jf kwa simu mpaka uwe na email.
Sema labda kwenye simucard kama utasajili fake nani ngumu mno kwasasa kusajili line kwa jina bandia
 
Kumbu kumbu zangu zinaniambia kuwa mchakato wa huo muswada ulianza kabla ya awamu ya tano......ambapo mikutano ya kisiasa ilipigwa marufuku....
Kumbukumbu hizo hizo pia zikusaidie kukukumbusha mswada huu ulipitishwaa lini na ulifikaje kwa rais kusiniwa na ulipitishwa kwa utaratibu gani mkuu, na ushiriki wa wananchi ulikuwaje? Mfumo wa kuupigia kura ulikuwaje ukiwa bungeni ulikuwaje.
 
Kumbukumbu hizo hizo pia zikusaidie kukukumbusha mswada huu ulipitishwaa lini na ulifikaje kwa rais kusiniwa na ulipitishwa kwa utaratibu gani mkuu, na ushiriki wa wananchi ulikuwaje? Mfumo wa kuupigia kura ulikuwaje ukiwa bungeni ulikuwaje.

Kwa hiyo unataka kusema kuwa muswads huo ulijadiliwa siku moja na siku hiyo hiyo ukapitishwa na kuwa sheria...!!??
 
email si unafungulia intanent cafe,kwamfano zamani ilikua huezi kujisajili jf kwa simu mpaka uwe na email.
Sema labda kwenye simucard kama utasajili fake nani ngumu mno kwasasa kusajili line kwa jina bandia

Ukweli ambao wengi wanaukwepa au kuuogopa ni kuwa kama wakiamua.....wakiamua kukukamata wanakukamata tu.....,

Kama wanakamatwa watalaamu wa kuchangua mifumo ya computer.....na kutiwa nguvuni....itakuwa mtu anayetumia tu computer tena programu au website ambazo zimeshaandaliwa....!!!
 
Kwa hiyo unataka kusema kuwa muswads huo ulijadiliwa siku moja na siku hiyo hiyo ukapitishwa na kuwa sheria...!!??
Ndugu haakuna haja ya kuanza kuelezana upya jambo ambalo nadhan hata wewe ulikuwa unalifuatilia kitu cha msingi ni kuwa kama kuna mahali palikupita kuanzia mswada hadi kupita kuwa sheria basi kafanye marejeo kwanza mkuu wangu.
 
Mimi sijifichi hiyo J33 ni code name tu. Ukitaka hata jina langu nakupa sina tatizo la kunifanya nijifiche. Mimi hoja yangu ni ckutaka kujua nan anaweza kuwatambua hao
? Ni Melo au Police? Na Je ikitokea Melo akakubali kutoa taarifa then akatoa za uongo Police watajuaje kama si sahihi?

Mimi sijifichi hiyo J33 ni code name tu. Ukitaka hata jina langu nakupa sina tatizo la kunifanya nijifiche. Mimi hoja yangu ni kutaka kujua nan anaweza kuwatambua hao wapayukaji? Ni Melo au Police? Na Je ikitokea Melo akakubali kutoa taarifa then akatoa za uongo Police watajuaje kama si sahihi?
Police wao ndio jukumu lao ni utaalam tu hapo ,lakini melo ni moderator tu(Policy ya jamiiforam jina halisi siyo LAzima au tarehe ya kuzaliwa siyo lazima hata URL ya jf hawajui IPO wapi, watawapata tu watu wao
 
Ndugu haakuna haja ya kuanza kuelezana upya jambo ambalo nadhan hata wewe ulikuwa unalifuatilia kitu cha msingi ni kuwa kama kuna mahali palikupita kuanzia mswada hadi kupita kuwa sheria basi kafanye marejeo kwanza mkuu wangu.

Hakuna shida ndugu.....
Uwe na wakati mwema....
 
Kwa mujibu wa sheria kandamiizi ya makosa ya kimtandao.....polisi wa kitengo cha cyber crime....wana haki ya kupewa taarifa na mmiliki wa mtandao pale zitakapokuwa zinahitajika......

Kutokutoa ushirikiano kwa polisi wa kitengo hicho ni kosa kisheria.......

Kama Bwana Mello ambaye ni mmiliki wa Jf aligoma kutoa taarifa kwa kitengo hicho basi amevunja sheria....

Haya ni matokeo ya nidhamu ya uoga wa waTanzania......

Tungetakiwa tusimame kidete kama taifa tangu ule mswada wa hiyo sheria kandamizi haujasainiwa.......lakini sasa hivi ni too late........tunavuna matokeo ya ujinga wetu...na uoga wetu.....

Who is next....!!??



FREEDOM IS NOT FREE.....
You're next!
 
Amoxlin mie cna neno na mtu.

Wanaogopa hata kutabiriwa watakufa kabla ya mhula ila waandishi kutabiriwa kufa wao ni sawa.
 
Kama mimi jina langu duh..!
kila kitu changu fake,
ID fake
Email fake
Location fake
Wi-Fi fake
IMEI fake
Samahani Mkurugenzi wa TCRA
Nafikiri Magufuri tukimng'oa kila kitu changu kitakuwa OG
Uwezo wako wa akili ni mdogo,pamoja na huko u fake ukileta mambo ya ovyo unatafutwa na unapatikana ulipo.Uhuru usio na nidhamu ni fujo.
 
Wakati Sheria inatungwa na kupitishwa kwa ubabe simlikuwepo? Achamsome namba najua miccm iliyoko umu inafrahiii.Kuna usemi wa Wahaya "Orutega mukasho rwija nanyoko "
 
Kama mimi jina langu duh..!
kila kitu changu fake,
ID fake
Email fake
Location fake
Wi-Fi fake
IMEI fake
Samahani Mkurugenzi wa TCRA
Nafikiri Magufuri tukimng'oa kila kitu changu kitakuwa OG
Wewe ndiye nilikuwa nakutafuta kesho tuonane ofisi za TCRA zilizo jirani na wewe
 
Mbona wamiliki wa TWITER hawakamatwagi. Vipi liveleak.com...
Kuna tofauti kati ya Twitter na JF na pia Kuna tofauti Kati ya Tanzania(Gizani) na Marekani(Nuruni), na Pia kuna tofauti kati ya TCRA na Chombo husika cha Marekani, pia Kuna Tofauti kati ya JACK(mmiliki wa Twitter) na Max(Mmiliki wa Jf).
 
Siku hizi internet cafe hazina mashiko sana kama zaman. Simu za kisasa zimerahisisha mambo kias kwamba wazo la kwenda kufungua email internet cafe halipo. Mtu anajifungulia tu email fake kwa simu akijua yupo salama.
email si unafungulia intanent cafe,kwamfano zamani ilikua huezi kujisajili jf kwa simu mpaka uwe na email.
Sema labda kwenye simucard kama utasajili fake nani ngumu mno kwasasa kusajili line kwa jina bandia
 
Sakata LA kukamatwa kwa mmiliki na mwanzilishi wa jamiiforums limenipa maswali mengi sana lakini moja kubwa ni hili. Mteja amefungua email yenye majina yasiyo yake, amekuja amejisajili jf kwa email hiyo na wakati anasajili line ya simu alitumia kitambuliaho fake na katika sim yake hawasilian na MTU yeyote wala hajajisajili kwenye mtandao wa kijamii mwingine, Je Mela atapata wapi taarifa zake awape polisi? Na mbona Kuna uwezekano mkubwa wa polisi wao wenyewe kuweza kumpata mteja kwa njia ya kusearch location kuliko wamiliki wa jf ? Naomba wataalamu wanifafanulie.
NB, Nataka tu kujua jambo hili halinihusu mm binafs maana taarifa zangu hapa jf zipo wazi sina cha kuficha Ila nataka kujua.
IP address
 
Siku hizi internet cafe hazina mashiko sana kama zaman. Simu za kisasa zimerahisisha mambo kias kwamba wazo la kwenda kufungua email internet cafe halipo. Mtu anajifungulia tu email fake kwa simu akijua yupo salama.
una maana simu hiyohiyo uliyosajili line yake kwa kitambulisho cha mpigakura na unayoitumia kulipa luku?
Utakut jamaa wanafahamu hadi mlangoni kwako
 
Ndo hivyo pia hata kama simu hiyo haukusajilia line au email ila si inatumika kwa mawasiliano(ya internet). Vocha si inatumika hivyo mitandao ya simu nayo inakuona. Hapo hakuna ujanja.
una maana simu hiyohiyo uliyosajili line yake kwa kitambulisho cha mpigakura na unayoitumia kulipa luku?
Utakut jamaa wanafahamu hadi mlangoni kwako
 
Kama mimi jina langu duh..!
kila kitu changu fake,
ID fake
Email fake
Location fake
Wi-Fi fake
IMEI fake
Samahani Mkurugenzi wa TCRA
Nafikiri Magufuri tukimng'oa kila kitu changu kitakuwa OG
Nimesikitika sana kuhusu location. Maana mimi mwenyewe nipo Bongo lakini katika location naonekana nipo USA. Dah! Kazi ipo!

 
Back
Top Bottom