'Mmiliki' wa DOWANS afariki dunia!

Mkeshaji

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,262
1,416
Sijui kama ilishawahi postiwa hapa!

Habari nilizonazo ni kuwa mmoja kati ya watu ambao Mh. Ngeleja aliwataja kuwa ni wamiliki wa Dowans, Bw. Guy Picard amefariki dunia nchini kwao Canada.

Bw. Picard alikuwa anasumbuliwa na saratani ya utumbo kwa muda mrefu na alikuwa nchini Canada kwa matibabu.

Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema Peponi roho ya marehemu Picard.
Inna lillah waina illahi rajiun!
 
Sijui kama ilishawahi postiwa hapa!

Habari nilizonazo ni kuwa mmoja kati ya watu ambao Mh. Ngeleje aliwataja kuwa ni wamiliki wa Dowans, Bw. Guy Picard amefariki dunia nchini kwao Canada.

Bw. Picard alikuwa anasumbuliwa na saratani ya utumbo kwa muda mrefu na alikuwa nchini Canada kwa matibabu.

Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema Peponi roho ya marehemu Picard.
Inna lillah waina illahi rajiun!

Angalia kwenye RED mark( Mmiliki au ni mmoja kati ya wamiliki wa Dowans??) anaweza kuwa na 10% share kumbe papa yupo)
 
Sijui kama ilishawahi postiwa hapa!

Habari nilizonazo ni kuwa mmoja kati ya watu ambao Mh. Ngeleje aliwataja kuwa ni wamiliki wa Dowans, Bw. Guy Picard amefariki dunia nchini kwao Canada.

Bw. Picard alikuwa anasumbuliwa na saratani ya utumbo kwa muda mrefu na alikuwa nchini Canada kwa matibabu.

Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema Peponi roho ya marehemu Picard.
Inna lillah waina illahi rajiun!


Kama Balali...wamemficha huyu,after I dont think if he is realy the owner of this company.
 
Haiwezekani mtu maarufu kama RA afariki dunia tusijue, siyo kweli bana RA bado yuko hai kabisa.
 
Sijui kama ilishawahi postiwa hapa!

Habari nilizonazo ni kuwa mmoja kati ya watu ambao Mh. Ngeleje aliwataja kuwa ni wamiliki wa Dowans, Bw. Guy Picard amefariki dunia nchini kwao Canada.

Bw. Picard alikuwa anasumbuliwa na saratani ya utumbo kwa muda mrefu na alikuwa nchini Canada kwa matibabu.

Mwenyezi Mungu ailaze mahali pema Peponi roho ya marehemu Picard.
Inna lillah waina illahi rajiun!
Huyu jamaa at one point was the Managing Director of Songas. Let him rest in peace...but with due respect, why was he the part of ill intentions against the public of Tanzania? How could he become the CEO of non existing company? ni Njaa??
 
Pamoja na msiba huo, lile deni wanalotudai bado liko pale pale na linazidi kuongezeka kufuatia riba inayopanda kwenye tozo ya msingi.

Kwa kesi za jinai, mshtakiwa akifariki huo ndio mwisho wa kesi. Kwa kesi za madai, mshitaki au mshtakiwa akifariki, kesi inaendelea na warith wanalipwa madai yao.

Dawa ya deni kulipa, tayari Tanesco imejipanga kupandisha umeme kwa asilimia 155% ili kufidia deni la dowans.

Masikini atakuwa amekufa na kinyongo cha deni lake. Laana ya deni la marehemu ni mbaya!. Hebu na tujihimu tulipe mapema kabla haijatushukia.

Rip mmiliki wa Dowans!?
 
Waache wafu wazike wafu wao kwani hata Balali tulimuona?Sisi tutakacho ni haki yetu kudangaywa inatosha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom