kama kuna mtu anajua mmiliki halali wa jengo la club ya Yanga pale Jangwani naomba atoe ufafanuzi hapa,
Jengo la Yanga halafu unatafuta mmiliki? Huu ni uchizi sasa, ukiacha jengo hilo Yanga pia inamiliki jengo lingine kariakoo mtaa wa mafia.
weka uthibitisho basi Matola, wacha kutokwa na povu, period
weka uthibitisho basi Matola, wacha kutokwa na povu, period