Mmh! Watu wa Arusha si mngekaa kimya kama wale wa Kagera?

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Nimejaribu kupita maeneo mengi kuanzia hapa sokoni kilombero, nikapandisha juu kule Sanawari na Floria mpaka Sakini na kupitia njia ya kwa Morombo. Habari ni moja tu, rambirambi na na RC Gambo ndio habari ya mjini. Ni kusema awa wananchi wamelishwa maneno na baadhi ya viongozi au ndio uelewa wao tu?

Leo hii ndio nimeona kua mkoa huu kwenye mwamko wa kufuatilia mambo ni tofauti kabisa na mikoa mingine. Yaani wao ni kutaka kujua sababu ya kila kitu chanzo chake.Taifa hili tungaekua na mwamko wa aina hii nafikiri tungekua na vizazi bora sana.


Lakini pamoja na hayo yote, Mbona RC Gambo keshatolea ufafanuzi wa kila jambo? Kwanini msiende mahakamani kushtaki kama kuna walakini jamani mna nini?

Wanasihi sana Wanaarusha mtulie tu kama walivyotulia wanakagera! Yatapita tu haya,kikubwa tuchape kazi taifa lisonge mbele.
 
Kagera labda hata hawakujua kama walipewa michango kutoka sehemu mbalimbali maana sources nyingi hawakuzitangaza.
Only watu wenye smartphone na wachche wasiokuwa nazo ndo walielewa nini kinaendelea,.
 
Arusha siyo Kagera... Arusha consciousness ipo juu sana. Alafu huwa hatupendi ujinga.
 
Ila wanakafera nao wanaroho ngumu. Yaani misaada iliyotolewa na wasamaria wema, wamedhurumiwa halafu mkubwa kutoka waiti hausi akaenda kuwasuta na kuwakejeli katikati ya mateso yao. Wao wamemwachia Mungu!
 
Nimejaribu kupita maeneo mengi kuanzia hapa sokoni kilombero, nikapandisha juu kule Sanawari na Floria mpaka Sakini na kupitia njia ya kwa Morombo. Habari ni moja tu, rambirambi na na RC Gambo ndio habari ya mjini. Ni kusema awa wananchi wamelishwa maneno na baadhi ya viongozi au ndio uelewa wao tu?

Leo hii ndio nimeona kua mkoa huu kwenye mwamko wa kufuatilia mambo ni tofauti kabisa na mikoa mingine. Yaani wao ni kutaka kujua sababu ya kila kitu chanzo chake.Taifa hili tungaekua na mwamko wa aina hii nafikiri tungekua na vizazi bora sana.


Lakini pamoja na hayo yote, Mbona RC Gambo keshatolea ufafanuzi wa kila jambo? Kwanini msiende mahakamani kushtaki kama kuna walakini jamani mna nini?

Wanasihi sana Wanaarusha mtulie tu kama walivyotulia wanakagera! Yatapita tu haya,kikubwa tuchape kazi taifa lisonge mbele.
Wanyamaze wakati wanakamatwa kweli unaona ni haki?
 
Wakomae hivyo hivyo kama yanayosemwa yametendeka awatakiwi kunyamaza japo watawala wataziba maskio.
 
Kagera kuna wasomi wengi na pia wamestaarabika sana kwa kiwango cha standard gauge mfano Maxence Melo Ta Muganyizi rutabazi Rutashubanyuma Muganyizi Asterius muganyizi emmanuel wakorawaitu wakora Tibaigana kamugisha kafuruki MUFURUKI etc
Hivyo wao waka amua kupiga kimya, na.maishanyaka endelea.

Ila hali ni tofauti kwa wana chuga wengi maana wao wana amini katika hip hop na nguzo zake na pia wao wanadhania ya kwamba kutokana na wao kuwa na mabilionea mengi , basi hao wanao watu humu watakuwa wamepiga mpunga mrefu sana, kumbe waaapiiii....
 
Nimejaribu kupita maeneo mengi kuanzia hapa sokoni kilombero, nikapandisha juu kule Sanawari na Floria mpaka Sakini na kupitia njia ya kwa Morombo. Habari ni moja tu, rambirambi na na RC Gambo ndio habari ya mjini. Ni kusema awa wananchi wamelishwa maneno na baadhi ya viongozi au ndio uelewa wao tu?

Leo hii ndio nimeona kua mkoa huu kwenye mwamko wa kufuatilia mambo ni tofauti kabisa na mikoa mingine. Yaani wao ni kutaka kujua sababu ya kila kitu chanzo chake.Taifa hili tungaekua na mwamko wa aina hii nafikiri tungekua na vizazi bora sana.


Lakini pamoja na hayo yote, Mbona RC Gambo keshatolea ufafanuzi wa kila jambo? Kwanini msiende mahakamani kushtaki kama kuna walakini jamani mna nini?

Wanasihi sana Wanaarusha mtulie tu kama walivyotulia wanakagera! Yatapita tu haya,kikubwa tuchape kazi taifa lisonge mbele.
Kuna kirusi fulani hapo Arusha ambacho ndo kinaeneza huu ugonjwa, nadhani mnakijua hicho kirusi.
 
You cannot compare Arusha to Kagera, it is like comparing a village vs a town.
 
Arusha kuna wanywa viroba wengi na wavuta majani,wakilambishwa kidogo basi mpaka stimu zikate hakuna kinachofanyika tena
 
Ila wanakafera nao wanaroho ngumu. Yaani misaada iliyotolewa na wasamaria wema, wamedhurumiwa halafu mkubwa kutoka waiti hausi akaenda kuwasuta na kuwakejeli katikati ya mateso yao. Wao wamemwachia Mungu!
Ndo inavotakiwa..ukiona mwizi anakimbizwa kimya kimya, unaujua mwisho wake...
 
Kagera kuna wasomi wengi na pia wamestaarabika sana kwa kiwango cha standard gauge mfano Maxence Melo Ta Muganyizi rutabazi Rutashubanyuma Muganyizi Asterius muganyizi emmanuel wakorawaitu wakora Tibaigana kamugisha kafuruki MUFURUKI etc
Hivyo wao waka amua kupiga kimya, na.maishanyaka endelea.

Ila hali ni tofauti kwa wana chuga wengi maana wao wana amini katika hip hop na nguzo zake na pia wao wanadhania ya kwamba kutokana na wao kuwa na mabilionea mengi , basi hao wanao watu humu watakuwa wamepiga mpunga mrefu sana, kumbe waaapiiii....
Sisi Kagera Magufuli alituambia ukweli na tulimwelewa..Serikali haikuleta tetemeko kwani uongo?
 
Back
Top Bottom